<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226</id><updated>2012-02-14T21:15:26.948+03:00</updated><title type='text'>MITIKI -KILIMO KWANZA</title><subtitle type='html'>Karibuni kwenye blog yangu ambayo najaribu kutoa elimu kidogo niliyo nayo. Wazo lilianzia kwenye miti ya mitiki, baadae nikaongeza ufugaji wa samaki, kisha nikagundua kwamba ninaweza kuongelea chochote kuhusu kilimo na ufugaji kwa kutumia utaalam wa darasani pamoja na ule wa kienyeji (under field conditions)   Nimeamua kutumia njia hii ili iweze kuwasaidia wale ambao wako mbali na wataalam wa misitu,kilimo na ufugaji kwa msaada zaidi na maswali tuwasiliane (mitiki1000@gmail.com)</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>136</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-9060430690352879207</id><published>2011-12-19T19:48:00.003+03:00</published><updated>2011-12-19T20:39:09.652+03:00</updated><title type='text'>MGOGORO WA KILIMO CHA MAHINDI MKOANI SINGIDA</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-VhYfwQpO_Ow/Tu92tNcC21I/AAAAAAAABS4/bltoUKJBUPE/s1600/darasa%255B1%255D.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-VhYfwQpO_Ow/Tu92tNcC21I/AAAAAAAABS4/bltoUKJBUPE/s400/darasa%255B1%255D.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687895373465705298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umeibuka mgogoro mkoani Singida mara baada ya mkuu wa mkoa &lt;strong&gt;Dr.Parseko Kone&lt;/strong&gt; kupiga marufuku kilimo cha mahindi mkoani humo. Mmoja wa waliopinga mpango huo ni &lt;strong&gt;Mheshimiwa Salome Mwambu &lt;/strong&gt;mbunge wa &lt;strong&gt;Iramba mashariki &lt;/strong&gt;kwa tiketi ya &lt;strong&gt;CCM.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitetea kilimo cha mahindi &lt;strong&gt;MH Mwambu&lt;/strong&gt; alisema kwamba hilo silo tamko la mkoa kwa sababu hakuna hata kiongozi mmoja wa mkoa au wilaya ambaye alijaribu kuwashirikisha wananchi kwenye mchakato huo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia alisema kwamba kilimo cha mahindi kilikuwepo kwa miaka mingi mkoani humo na zao hilo likiwa ni la biashara na chakula kwa wananchi wenyewe&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-9CitvPG7wz4/Tu92gsoQWzI/AAAAAAAABSs/-lTdnp848zE/s1600/maize.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 294px; height: 229px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-9CitvPG7wz4/Tu92gsoQWzI/AAAAAAAABSs/-lTdnp848zE/s400/maize.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687895158500121394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;MAONI YANGU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wote wawili walikuwa na nia njema sana kwa wananchi wa Singida, mkuu wa mkoa alikuwa anajitahidi kukabiliana na njaa mkoani mwake na ndio maana akawa anasisitiza kilimo cha mazao ya kinga ya njaa,ambayo ni yale yanayohimili ukame na uhaba wa mvua kama mtama, ufuta na uwele n.k&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mh mbunge naye alikuwa akiwatetea wananchi wake kwa sababu ndio wapigakura wake na yeye ndiye mwakilishi wao, akiangalia anaona kwamba miaka mingi watu wamekuwa wakitegemea mahindi kama zao la chakula na biashara, ndio maana akashauri kwamba watu wasikatazwe kulima mahindi bali walazimishe kupanda na mazao ya kinga ya njaa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla wote wamefanya maamuzi bila ya kuwashirikisha wataalamu wa kilimo na hali ya hewa, kila mtu alikuwa anatetea kibarua chake. kama wange washirikisha wataalamu basi nina imani kwamba mabo yangekuwa mazuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkoa wa Singida ni moja ya mikoa inayopata mvua moja kubwa kwa mwaka, na hali yake ni ya ukame kiasi ingawa mvua zinaweza kuwa kubwa zikiambatana na upepo ambao pia huleta madhara kama ya kuharibu mazao  na makazi ya watu, mabadiliko tabia  nchi yamesababisha kuwe na mvua zisizotabirika na tume shuhudia mara kadhaa zikiwa chini ya kiwango. mkoa huu pia  umeathirika na ukataji miti kwa ajili ya kuni, mkaa na matumizi mengine, na pia ufugaji uliokithiri umesababisha uharibifu wa udongo na kusababisha mmong'onyoko wa udongo kwenye baadhi ya sehemu. kwa sababu hizi na nyinginezo zote kwa pamoja zimesababisha madhara kwenye mfumo wa kilimo uliozoeleka na wenyeji wa mkoa huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-7HKMVwFZ_eE/Tu92PD04kEI/AAAAAAAABSg/m7YYcjqNlAU/s1600/maize%2Bfield.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 333px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-7HKMVwFZ_eE/Tu92PD04kEI/AAAAAAAABSg/m7YYcjqNlAU/s400/maize%2Bfield.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687894855489458242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;USHAURI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;1 -&lt;/strong&gt; Wakulima walime mahindi kwenye sehemu zilizo tambarare na kwenye mabonde ambako unyevu unachelewa kukauka na wasilime mahindi kwenye uwanda wa juu na milimani kwani sehemu hizo ndizo zinafaa kwa mazao ya kinga ya njaa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;2 -&lt;/strong&gt; Matumizi ya kanuni za kilimo kilimo bora yazingatiwe kama kutumia mbegu bora za mahindi zinazokomaa muda mfupi za zinazoendana na hali ya hewa ya Singida, matumizi ya mbolea za samadi, viuatilifu salama n.k&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;3 -&lt;/strong&gt; Upandaji wa mbegu kwa wakati, na kwa kufuata majira ya hali ya hewa, hii ni baada ya kufuata ushauri wa watabiri wa hali ya hewa, hili la hali ya hewa lifanywe na Mbunge akishirikiana na Mkuu wa Mkoa, yaani wafuatilie na wawaeleze wakulima muda sahii wa kuandaa mashamba na kuanza kupanda (wasilete siasa hapa)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;4 -&lt;/strong&gt; Viongozi wa siasa wakae na wakulima/maafisa kilimo na kushauriana nao kuhusu kilimo kwa ujumla, ikiwezekana wasaidie kuanzia upatikanaji wa mbegu bora watakazozichagua kwa pamoja, madawa ya kuua wadudu na taarifa za wadudu au magonjwa ya mazao ili kuzuia kusambaa (wanasiasa wasikae maofisini sana ila watembee kwenye himaya zao kujua matatizo)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-9060430690352879207?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/9060430690352879207/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=9060430690352879207&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9060430690352879207'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9060430690352879207'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/12/blog-post.html' title='MGOGORO WA KILIMO CHA MAHINDI MKOANI SINGIDA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-VhYfwQpO_Ow/Tu92tNcC21I/AAAAAAAABS4/bltoUKJBUPE/s72-c/darasa%255B1%255D.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3544372259464094631</id><published>2011-12-17T20:41:00.004+03:00</published><updated>2011-12-17T21:33:33.922+03:00</updated><title type='text'>SAMAKI WA MAPAMBO TOKA TANZANIA - (Ornamental Fish From Tanzania)</title><content type='html'>Tanzania imejaliwa kuwa na aina mbalimbali za samaki wa mapambo wanaopatikana katika maji baridi na maji chumvi. Samaki hawa hupatikana kwa wingi katika maji ya asili na baadhi yao hupatikana humu nchini tu. Kuna samaki wa mapambo ambao wapo katika hatari ya kutoweka. Kwa kiasi kikubwa samaki wa mapambo, wamekuwa wakivuliwa na kupelekwa nje ya nchi na wafanyabiashara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HALI YA BIASHARA YA SAMAKI WA MAPAMBO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Samaki wengi wa mapambo kwenye maji baridi ni jamii ya Cichlids. Ziwa&lt;br /&gt;Tanganyika lina spishi zaidi ya 200 lakini wanaosafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya mapambo ni wastani wa spishi 30 Ziwa Nyasa lina spishi zaidi ya 750 lakini wanaosafirishwa nje ya nchi kama samaki wa mapambo ni takriban spishi 5 ambazo ni Aulo mamelela, A. blue neon, A. hongi, Proto steven na Tropheus ndole. Ziwa Victoria lilikuwa na spishi zaidi ya 300 katika miaka ya 1970 kabla samaki aina ya Sangara aliyepandikizwa hajasambaa na kula jamii ya Cichlid. Hivi sasa baadhi ya spishi zimetoweka na biashara ya samaki wa mapambo haipo Ziwa Victoria. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;CICHLIDS TOKA ZIWA TANGANYIKA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-lBNMdnNAsyU/Tuzf7S0vp6I/AAAAAAAABR8/GxnGMkQkTso/s1600/cichlids.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 249px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-lBNMdnNAsyU/Tuzf7S0vp6I/AAAAAAAABR8/GxnGMkQkTso/s400/cichlids.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687166639220434850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa samaki wa maji chumvi wanaoishi kwenye matumbawe (coral fish species), spishi zilizopo Tanzania ni nyingi lakini idadi kamili haijulikani. Hata hivyo, kati ya spishi takriban 4,000 zilizopo duniani ni spishi 200 – 300 ndio wanaotumika kwa mapambo.&lt;br /&gt;Samaki aina ya “Cichilid” hutumika sana kwa mapambo duniani kote kwa kuwa wana uwezo wa kuzoea mazingira mapya kwa haraka kuliko samaki wengine (Koning, 1995). Hii inatokana na tabia yao ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuvumilia hali tofauti ya mazingira ya maji ikiwemo pH na uchumvi chumvi (salinity). Pia, wana tabia ya kula aina mbalimbali za vyakula kutokana na mpangilio wa midomo, meno na taya (Pharyngeal jaws). Kuna wanaokula mwani (algae), mimea (plants), samaki, konokono n.k. Pia, aina hizi za samaki wanaweza kuishi na kusafirishwa kwa muda wa siku tano (5) bila kula alimradi mazingira ya maji yanaruhusu na vifo vinaweza kuwa chini ya asilimia 2 tu wakati wa kuwasafirisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-n7tGcbcLHK0/TuzahUu_ycI/AAAAAAAABRw/-WUIuvvEx5w/s1600/SAMAKI.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 373px; height: 242px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-n7tGcbcLHK0/TuzahUu_ycI/AAAAAAAABRw/-WUIuvvEx5w/s400/SAMAKI.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687160695498459586" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Takwimu za biashara ya samaki wa mapambo duniani sio sahihi sehemu nyingi. Hata hivyo takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa Uingereza mwaka 1987 waliuza samaki wa kiasi cha Paundi za Uingereza milioni 17 na Marekani waliuza samaki wa thamani ya Dola za Kimarekani milioni 739 mwaka 1988. Hata hivyo taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa tabia ya kupenda (hobby) kufuga samaki wa mapambo inaongezeka kwenye nchi mbalimbali zikijumuisha, Japan, China, Australia, Afrika ya Kusini, Korea, Ujerumani na Malaysia. Mara nyingi ufugaji hufanyika kwenye mabwawa na matanki (aquarium).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa Tanzania, takwimu za biashara ya samaki wa mapambo kutoka kwenye maji baridi kuanzia mwaka 2006 mpaka mwaka 2009 ni kama ifuatavyo: Kwa ujumla biashara ya samaki hawa huingizia Serikali pesa kidogo sana. Samaki wengi waliosafirishwa nje ya nchi katika mwaka 2006 walitoka Ziwa Nyasa. Jumla ya samaki 12,661 ambao walikuwa na thamani ya shilingi 100 87,143,451.25 waliingizia Serikali ushuru wa shilingi 6,541,825.56 tu. Jumla ya samaki 9,080 kutoka Ziwa Tanganyika waliokuwa na thamani ya shilingi 58,770,742.7 waliingizia Serikali kiasi cha shilingi 4,292,456.39. Mwaka&lt;br /&gt;2009 samaki wengi walitoka Ziwa Tanganyika jumla ya samaki 23,500 wenye thamani ya shilingi 131, 356,148.5 waliingizia Serikali jumla ya shilingi 13,018,338.19 kama ushuru. Samaki kutoka Ziwa Victoria walisafirishwa wachache tu mwaka 2007, walikuwa 12 tu. Samaki wa mapambo kutoka Ziwa Victoria wako hatarini kutoweka kutokana na kuliwa na Sangara kwa hiyo wameingizwa kwenye “Red list” chini ya CITES,&lt;br /&gt;hawasafirishwi tena. Kinachohimizwa ni ufugaji wa hao samaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-qX6c2eJJNc0/TuzaTA8YuuI/AAAAAAAABRk/zGZm1ByEcLQ/s1600/JEDWALI%2BSAMAKI.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 117px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-qX6c2eJJNc0/TuzaTA8YuuI/AAAAAAAABRk/zGZm1ByEcLQ/s400/JEDWALI%2BSAMAKI.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687160449667742434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;FURSA YA UWEKEZAJI KATIKA SAMAKI WA MAPAMBO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i) Kuna fursa kubwa ya uwekezaji katika samaki wa mapambo wa Ziwa Tanganyika kwa kuwa samaki hao wapo wengi (Watson, 2000) na baharini kwenye matumbawe (Coral reef fish species)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii) Kuwepo kwa masoko ya uhakika na mazingira mazuri ya kuvutia biashara Ili uendeleza na kuimarisha uwekezaji katika eneo hili ni muhimu kuhamasisha wananchi na wawekezaji kutoka nje katika kuwekeza kwenye biashara ya samaki wa mapambo. Pia, ni lazima kufanya utafiti wa kufahamu spishi zilizopo na wingi wa samaki wa mapambo ili kuepuka kumaliza baadhi ya samaki hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UMUHIMU WA BIASHARA YA SAMAKI WA MAPAMBO KATIKA KUONDOA UMASIKINI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa mapato ya biashara ya samaki wa mapambo kwenye nchi mbalimbali duniani ina thamani ya takriban Dola za Marekani milioni 186 na samaki wengi wanatoka nchi zinazoendelea (Watson, 2000). Kati ya hizi fedha Zinazobaki kwa jamii wanaokusanya samaki hao ni kidogo sana. Hata hivyo, kama jamii itawezeshwa kupata mtaji na teknolojia sahihi itaweza kujiongezea kipato na kupunguza umaskini. Asilimia 90 ya samaki wa mapambo duniani huzalishwa kwenye mabwawa hasa kwenye nchi zilizoendelea na samaki hao wametolewa kutoka kwenye nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania. Ili mwananchi aweze kunufaika na biashara ya samaki wa mapambo kuna umuhimu wa kuwaelimishwa kuhusu njia bora za kuwavua, kuwahifadhi na kuwasafirisha kwa ajili ya kuongeza kipato chao na taifa kwa ujumla. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SAMAKI WA UREMBO TOKA ZIWA NYASA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-IoqOq76_DYU/TuzgSLsgvmI/AAAAAAAABSI/RYL7UoSLGX4/s1600/lake%2Bmalawi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 311px; height: 234px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-IoqOq76_DYU/TuzgSLsgvmI/AAAAAAAABSI/RYL7UoSLGX4/s400/lake%2Bmalawi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687167032443846242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ATHARI ZITOKANAZO NA BIASHARA YA SAMAKI WA MAPAMBO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shirika la Kimataifa la Hifadhi ya Viumbe na Mazingira kupitia kitabu cha “Red List’’ (IUCN, 1988) kimeainisha aina za samaki wa mapambo ambao wapo hatarini Kutoweka. Samaki hao ni pamoja na aina ya furu (Haplochromine). Athari za biashara hiyo ni kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;i) Kupungua wingi na makazi ya samaki waliopo kwenye maeneo ya asili ikiwa ni pamoja na maziwa, mito na bahari kwa njia mbalimbali. Hali ya aina hii imekwishatokea kwenye nchi ambazo biashara ya samaki wa mapambo ni kubwa kama vile Sri Lanka na Malaysia (Banister, 1989). Kwa upande wa Tanzania tathmini ya athari za biashara ya mapambo bado haijafanyika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii) Kuharibika kwa mfumo mzima wa ikolojia na kuharibu makazi ya samaki asilia (indigenous species). Hali hii hutokana na samaki wa mapambo kupelekwa kwenye maeneo ambayo sio ya asili yao kama vile mabwawa. Wakati mwingine samaki hawa huingia kwenye mito iliyo karibu na mabwawa wanayofugiwa na kwenda kwenye maziwa ambako&lt;br /&gt;huchanganyika na samaki ambao ni wa asili kwenye maeneo hayo. Pia, biashara hii inaweza kuhatarisha ikolojia ya maji ya nchi waliyopelekwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;CHANGAMOTO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;i) Kuimarisha na kuendeleza miundombinu kwenye maeneo yenye vivutio kwa ajili ya utalii ikolojia ikiwa ni pamoja na barabara, umeme na maji safi;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii) Upatikanaji wa mitaji na uwekezaji katika utalii ikolojia na biashara ya samaki wa mapambo;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iii) Kuweka bayana umiliki wa fukwe za bahari ambazo ziko nje ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu ili kuharakisha uwekezaji wa maeneo haya kwa nia ya kukuza utalii ikolojia;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iv) Kufanya utafiti wa kufahamu ikolojia, aina, wingi wa samaki wa mapambo n.k.; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;v) Kuboresha mazingira ya utalii ikolojia na biashara ya samaki wa mapambo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAPENDEKEZO YANGU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;i) Kufanya utafiti wa kufahamu wingi wa spishi mbalimbali za samaki wa mapambo ili uvunaji uwe endelevu;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ii) Kuhamasisha wananchi na wadau wengine kuwekeza katika biashara ya samaki wa mapambo na utalii ikolojia;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iii) Kuhamasisha wananchi kutembelea Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu ili kukuza utalii wa ndani; na&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;iv) Kufanya jitihada za kuhifadhi spishi za viumbe wa kwenye maji zilizo hatarini kutoweka.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3544372259464094631?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3544372259464094631/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3544372259464094631&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3544372259464094631'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3544372259464094631'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/12/samaki-wa-mapambo-toka-tanzania.html' title='SAMAKI WA MAPAMBO TOKA TANZANIA - (Ornamental Fish From Tanzania)'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-lBNMdnNAsyU/Tuzf7S0vp6I/AAAAAAAABR8/GxnGMkQkTso/s72-c/cichlids.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-6151506418038835011</id><published>2011-11-23T19:35:00.014+03:00</published><updated>2011-11-23T20:59:39.654+03:00</updated><title type='text'>MAGONJWA MAKUU YA NDEGE</title><content type='html'>Magonjwa huainishwa kulingana na baiolojia yao,kama Virusi,Bakteria,Kupe,ukungu,na chanzo chao,kwa mfano magonjwa ya lishe yaliyoangaliwa hapo juu.Hata hivyo,magonjwa makuu katika ndege yamegawanywa katika makundi matatu kulingana na makali yao na umuhimu katika mfumo wa uzalishhaji mdogo katika vijiji.Vitu muhimu kama tabia zao wakati wa mlipuko(dalili),na matibabu yanayowezekana(kuzuia ama kudhibiti)vile vile wakati wa kutokea magonjwa hayo.Umuhimu wa ugonjwa huthaminiwa na idadi ya vifo na athari kwa uzalishaji,na itatofautiana kutoka eneo hadi eneo na msimu hadi msimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MCHANGANYIKO WA MAGONJWA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Magonjwa kadhaa yasiyo maku yanaweza kukutana na magonjwa mengine na kusababisha madhara makali kwa ndege.Hii ndio hali kwa mfano maambukizo ya E.coli, utapiamlo na kupe wa ndani.Magonjwa kama haya ni  vigumu kuua ndege lakini huwa na madhara makubwa kwa kinga ya ndege dhidi ya magonjwa,na kujenga msingi wa maambukizo rahisi ya magonjwa mengine baada ya kuwafanya ndege kuwa dhaifu kiafya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umuhimu mkubwa huashiria ugonjwa wa kawaida wenye vifo vingi&lt;strong&gt;(zaidi ya asilimia 30 ya kundi),&lt;/strong&gt;husambaa kwa urahisi na ni vigumu kutibu au hautibiki kabisa.Umuhimu wa wastaani kawaida ,vifo vya wastani&lt;strong&gt;(10-30%)&lt;/strong&gt; kwa kundi na /ama vigumu kutibu.Ugonjwa usio mkuu huashiria wa kawaida, vifo vichache na /ama  rahisi  kutibu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UGONJWA WA KUAMBUKIZANA WA KUKU UNAOSHAMBULIA MAPAFU NA MFUMO WA NEVA - NEWCASTLE DISEASE (NCD)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu huua, ni wa kawaida katika msimu wa mvua,na hutokea mara kwa mara katika vifaranga wachanga,lakini pia katika kuku waliokomaa.Vifo vya juu katika kundi,mara kwa mara baina ya aslimia 30 na asilimia 80 ya ndege hufa,ugonjwa unapowakumbaKuku hupoteza hamu ya kula na usagaji mbaya wa chakula tumboni.Unaweza kuonyesha upumuaji mzito,kinyesi cha kijani na wakati mwingine kuhara damu. Unaweza kuonyesha dalili za kuchanganyikiwa,kiharusi na hufa ghafla.Dalili zinaweza kutokea zote wakati mmoja.Ugonjwa huu ni wa virusi (virus)kwa hivyo hauna tiba,lakini unaweza kuzuiwa kwa kuwachanja ndege wote ukijumuisha vifaranga wa kutoka wiki mbili.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HOMA YA NDEGE - AVIAN INFLUENZA(AI)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu hubebwa na bata na bata maji,na unaweza kusambaa kwa urahisi na ni hatari sana kwa kuku.Vifo vya juu katika kundi,ndevu na panga za jogoo huvimba na kuwa na rangi ya kibuluu &lt;strong&gt;(samawati&lt;/strong&gt;).Husambaa kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa katika madimbwi na vyombo vya maji/chakula.Ugonjwa huu husababishwa na virusi (virus),kwa hivyo hauna tiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kujikinga na ugonjwa huu zingatia usafi kwenye banda lako na vyombo vya kuku, ukiona dalili za ugonjwa huu waondoe kuku wagonjwa, wachinjwe na kuchomwa moto. Kabla ya kuingiza kundi lingine la kuku kwenye banda lenye ugonjwa hakikisha unapulizia dawa za kuua virusi ka a&lt;strong&gt; VIRU KILL&lt;/strong&gt;. Mara uonapo dalili za ugonjwa huu muite afisa ugani wa mifugo &lt;strong&gt;(Veterinarian)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;NDUI YA KUKU - FOWL POX&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huonekana mara kwa mara katika vifaranga wadogo,lakini pia kwenye kuku waliokomaa na huonekana uvimbe mdogo mdogo kwenye ndevu,panga na uso wa kuku.joto la kuku hupanda,uchovu unaoambatana na vifo vya ghafla.Ugonjwa huu ni wa kawaida wakati wa msimu wa kiangazi,lakini pia  unaweza kutokea mwaka mzima.Ugonjwa huu ni virusi kwa hivyo hauna tiba.Chanjo inapatikana kwenye maduka ya pembejeo za kilimo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UGONJWA WA MAREK - MAREK DISEASE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huonekana tu katika ndege walio na zaidi ya wiki 16 kwa hiyo hauwapati kuku wa nyama labda kama umewafuga kwa ajili ya uzalishaji &lt;strong&gt;(parent stock).&lt;/strong&gt;Mwanzoni ndege wanaweza kuonyesha bawa moja kushuka au yote mawili.Ama mguu mmoja ama yote inaweza kupooza.Ugonjwa huu ni virusi,kwa hivyo hauna tiba,lakini Chanjo inapatikana kwenye maduka ya pembejeo za kilimo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAAMBUKIZO YA BAKTERIA WA E.coli&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hutokea sana sana katika vifaranga walioanguliwa (&lt;strong&gt;Day old chicks),&lt;/strong&gt;na husababisha maambukizo katika tumbo.Dalili katika ndege wakubwa:kupumua kwa tabu au maambukizo katika mayai na kupungua au kuacha kabisa kwa utagaji kwa kuku wa mayai, kinga bora ni usafi katika mayai kwa ajili ya .Tiba kwa vifaranga wagonjwa inawezekana ukiwa na kiua vijisumu &lt;strong&gt;(antibiotics)&lt;/strong&gt; kama OTC 10%, 20%, 30%. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KIPINDUPINDU CHA KUKU - pasteurellosis&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaweza kutokea wakati wowote na kwa rika zote.Dalili ni kuharisha sana kwa kuku,kupumua kwa tabu,kukosa hamu ya kula,ndevu na panga za jogoo huwa na rangi ya kibuluu(samawati).Unaweza kutokea kama ugonjwa sugu na kuku kufariki ghafla .Mambukizo kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa.Hauna tiba.kinga ni usafi wa hali ya juu na chanjo.Ua na uchome moto kuku wote walioathirika.Chanjo inapatikana kwenye maduka ya pembejeo za kilimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UGONJWA WA KUHARA VIFARANGA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ugonjwa huu unasababishwa na bacteria aina ya salmonella pullorum(Bacillary white bacteria)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hutokea sana sana katika vifaranga wadogo.Vifaranga hutembea kwa tabu sana,tumbo huvimba na hukokota mbawa zao.Kinyesi chao huwa maji maji na hugeuka cheupe.Hauna tiba.Kuzuia ni kutilia usafi maanani.Ikiwa ugonjwa utatokea,tenga ama ua na uchome ndege.Ugonjwa huu husambazwa kwa kifaranga kutoka kwa mayai ya kuku aliyeathirika,ambaye haonyeshi daalili zozote za kuwa mgonjwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;HOMA YA MATUMBO YA KUKU - TYPHOID&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huonekana zaidi kwenye kuku wakubwa.Dalili:joto huwa kali,uchovu,panga na ndevu za kuku huwa za kibuluu (samawati).Hauna tiba.Kinga ni kutilia usafi maanani na kuua kuku wagonjwa.Usinunue vifaranga kutoka kwenye vyanzo ambavyo hauvijui,na usitumie mayai kwa ajili ya kuanguliwa kutoka kwenye kuku wagonjwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;GUMBORO - Infectious Bursal Disease(IBD)&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huonekana tu katika vifaranga walio chini ya wiki 6,na ni wa kawaida katika makundi makubwa ambayo yamefugwa katika sehemu zilizofungwa (indoor).Sio  wa kawaida katika mfumo mdogo wa ufugaji vijijini.Dalili za kawaida: kuharisha.Ugonjwa huu ni virusi ,kwa hivyo hauna tiba.Chanjo inapatikana kwenye maduka ya pembejeo za kilimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UGONJWA WA KUPUMUA &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dalili:Pua inayotoka makamasi,uvimbe chini ya macho,macho yaliyojifunga,upungufu katika utagaji wa mayai.Tiba ni kuongeza kiua vijisumu &lt;strong&gt;(antibotics)&lt;/strong&gt; katika maji ya kunywa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UGONJWA SUGU WA KUPUMUA - Mycoplsmosis&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dalili:Pua inayotoka makamasi ama iliyoziba,uso uliovimba,macho yaliyojifunga,upungufu katika utagaji wa mayai,vifo visivyo vya kawaida.Tiba ni kuongeza kiua vijasumu &lt;strong&gt;(antibotics)&lt;/strong&gt;katika maji ya kunywa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;COCCIDIOSIS &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu unaweza kutokea wakati wowote na katika rika zote,lakini unaweza kuzuiwa kwa kusafisha kwa makini nyumba za ndege.Dalili:hali dhoofu ya kuku,kuchoka,kutembea kichwa  chini ,manyoya yaliyotimka,kuhara damu.Vifo katika vifaranga wachanga.Ikiwa vifaranga wataendelea kuishi watabakia kuwa wembamba na watachelewa kutaga.Tiba:Weka dawa ya Coccidiostatics katika maji ya kunywa au chakula.Kuzuia:Usiweke ndege wengi pamoja.Epuka kuweka ndege wa rika mbalimbali katika nyumba moja kwani ugonjwa unaweza kusambaa kutoka  kwenye kuku wakubwa hadi kwa vifaranga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MINYOO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Minyoo ni vimelea vya ndani na ni vya kawaida katika umri wote katika mfumo wa uzalishaji vijijini na mjini.Vimelea hivi husababisha afya mbovu,kupoteza uzito,kupungua kwa uzalishaji wa mayai.Tiba bora ni kuongeza dawa ya minyoo kama &lt;strong&gt;piperazine&lt;/strong&gt; katika maji ya kunywa mara moja ama mbili kwa mwaka,ikiwezekana wiki mbili kabla ya chanjo yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;CHAWA, KUPE, VIROBOTO NA UTITIRI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huvamia rika  zote wakati wowote,lakini hutokea mara kwa mara katika nyumba za kuku zenye unyevunyevu na uchafu.Ndege waliokomaa husumbuliwa na hutumia wakati mwingi wakidonoa na kujikuna.Vifaranga wachanga wanaweza kufa kwa sababu ya upungufu wa damu &lt;strong&gt;(anaemia).&lt;/strong&gt;Kama  hautatibiwa utitiri,chawa,viroboto,kupe watasababisha kuku kupungua uzito na pia kuna uwezekano wa kupoteza manyoya kwa sababu ya kunyonywa damu na vimelea na kuwashwa na ngozi.Chawa wanaweza kuonekana karibu na macho na pua.Viroboto vinaweza kuonekana kwenye tumbo.Tiba:Nyunyiza  dawa ya kuua vimelea kama &lt;strong&gt;Akheri powder&lt;/strong&gt;,jivu na mafuta.Jivu na poda ya salfa inaweza kutumiwa mahali ambapo kuku huoga na mchanga.Viota vinaweza kulindwa kwa kuwekewa majani kadhaa ya tumbaku yaliyochanganywa na jivu katika viota.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAGAMBA KWENYE MIGUU&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miguu yenye magamba husababishwa na vimelea vya nje vinavyowasha ngozi kwenye miguu ya ndege.Dalili:Miguu ina magamba yanayoonekana na majeraha  na anaweza kulemazwa katika kutembea.Tiba:Weka miguu kila siku kwenye mafuta taa,ama katika dawa kuogeshea mifugo hadi magamba yatoweke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;LISHE DUNI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndege wanaoathirika zaidi ni wale wanaofugwa ndani kuliko wale wanaojtafutia chakulaDalili:mifupa kukua vibaya na kunyonyoka manyoya.Ndege hutembea kwa tabu;huchopea .Tiba,ukigundua mapema wape ndege wako vitamini na kalsiam ya ziada kwenye chakula, pia wape majani, mabaki ya mboga za majani au kinyesi cha ng'ombe&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-6151506418038835011?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/6151506418038835011/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=6151506418038835011&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6151506418038835011'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6151506418038835011'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/11/magonjwa-makuu-ya-ndege.html' title='MAGONJWA MAKUU YA NDEGE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4336430621464710716</id><published>2011-11-10T21:26:00.007+03:00</published><updated>2011-11-10T22:44:12.132+03:00</updated><title type='text'>KILIMO BORA CHA MINAZI</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-cSYU7vBvdCM/Trwio45rTxI/AAAAAAAABRA/lOibAdxImLo/s1600/minazi4.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 272px; height: 193px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-cSYU7vBvdCM/Trwio45rTxI/AAAAAAAABRA/lOibAdxImLo/s400/minazi4.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673447716444393234" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UPANDAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Uko wa ina mbili kuna wa vibox na wa pembetatu lakini kwa aina zote mbili umbali wa kupanda ni mita 7.6 kutoka shimo hadi shimo la mnazi, kiasi cha mashimo 175 kwa hecta huingia na kama utatumia mtindo wa pembetatu basi mashimo 13 zaidi yataingia kwa hecta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-qlmhUIVqDWA/TrwhUI9XK8I/AAAAAAAABQc/ofWrbQgGjVE/s1600/MINAZI.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 156px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-qlmhUIVqDWA/TrwhUI9XK8I/AAAAAAAABQc/ofWrbQgGjVE/s400/MINAZI.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673446260465937346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukubwa wa shimo uwe futi tatu kwa kina, upana  na urefu hi kwa maeneo yenye udongo mzuri na wakaida lakini maeneo yenye changarawe, mawe mawe na miamba ukubwa uongezeke hadi futi4 kwa mapana , urefu na kina, Shimo lijazwe majani kiasi cha kilo 15 – 20 unaweza kukisia kama theluthi moja ya shimo au futi moja baada ya kushindilia majani, weka juu yake kama, weka udongo wa juu (top soil) kiasi cha futi moja tena ongezea kiasi cha kilo 10 – 20 cha mbolea ya samadi.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-R3oMZvIz-wA/TrwiRLk0o9I/AAAAAAAABQo/3IYKr_p0upo/s1600/minazi3.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 150px; height: 376px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-R3oMZvIz-wA/TrwiRLk0o9I/AAAAAAAABQo/3IYKr_p0upo/s400/minazi3.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673447309140337618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Hakikisha haijai na kufunika shimo lote, pia kama utapata ule udongo mwekundu ambao wengi hupenda kuutumia kwenye bustani zao, pia weka humu kiasi kama utaukosa basi acha vivo hivyo, anza kumwagilia maji wiki moja kabla ya kupanda mbegu yako, kama shimo litatitia ongezea udongo wenye rutuba ya kutosha, kumbuka kuacha kisahani kwa ajili ya kukusanyia maji, ila kama ni sehemu ambazo hufurika kipindi cha mvua jaza udongo hadi kuweka tuta ili maji yasituame. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UPANDAJI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ni vizuri kutumia mbegu ya nazi moja kwa moja kuliko kutumia miche, hii ni kwa sababu mbili kubwa, kwanza ukinunua mche unakuwa hujui imetoka mnazi gani, wenye ubora gani na hata uzaaji wake huujui, lakini inashauriwa kununua nazi kutoka kwenye mnazi moja kwa moja kwa kuchagua mnazi bora na unaozaa nazi nyingi na kubwa, chagua nazi kubwa zaidi kutoka katika kila mnzi bora.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-eMhN56hq91c/TrwieP8WZcI/AAAAAAAABQ0/EClwlJJ9ZGA/s1600/minazi2.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 114px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-eMhN56hq91c/TrwieP8WZcI/AAAAAAAABQ0/EClwlJJ9ZGA/s400/minazi2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673447533651060162" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Nazi ambayo haijafuliwa inakuwa na pembe tatu, moja ya pembe hizi  huwa kubwa zaidi na mbili zilizobaki hufanan ukubwa, ule upande mkubwa ulazwe chini wakati wa kupandwa, na upande ule wenye kikonyo ambako nazi hujishika katika matawi ya mnazi (mahanda) ndipo ambapo huota, utatakiwa upatate au upapunguze kwa kisu ili kurahisisha kuota, wakati wa kupanda hakikisha nazi ina maji, ikiwa na maji kidogo sana usiipande, panda miezi miwili au mitatu kabla ya mvua kuanza, nazi inauwezo wa kuota yenyewe bila mvua kwa sababu ina maji ndani yake, ila baada ya kuanza kuota kama hakuna mvua ni muhimu kumwagilia ama sivyo mbegu yako itakufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia ni muhimu kutumia dawa za kuua mchwa au oil chafu wakati wa kupanda, pia kunadaadhi ya mimea ambayo mizizi yake hufukuza mchwa inaweza kupandwa pamoja na nazi yako. Kama utaamua kutumia miche basi hakikisha miche yako haipungui umri wa miezi sita tangu mbegu kupandwa ili kuzuia miche mingi kufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAGONJWA YA MINAZI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;- KUOZA VIKONYO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Huanza kwa majani machanga mawili ya mwanzo kubadilika rangi na kuwa njano na baadae huwa na vidoti vyeusi hutokea kwenye ukingo, majani hunyauka na kukauka na kisha sehemu ya chini linapoanzia jani huoza na kutoa harufu mbaya ambapo baadae mnazi wote hufa.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-JcMO81I2C4E/TrwpE9lozzI/AAAAAAAABRM/CtUvmUd2r4A/s1600/kuoza%2Bvikonyo.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 161px; height: 207px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-JcMO81I2C4E/TrwpE9lozzI/AAAAAAAABRM/CtUvmUd2r4A/s400/kuoza%2Bvikonyo.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673454795808624434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ili kuzuia ugonjwa huu mara tu unapoona dalili za mwanzo tengeneza mchanganyiko ufuatao (gramu 100 za copper sulphate changanya na nusu lita ya maji) + (Gramu 100 za chokaa changanya na nusu lita ya maji) kila moja itengenezwe peke yake halafu kisha vichanganywe pamoja baadae kisha pulizia kwenye minazi iliyoanza kushambuliwa, kama mnazi umeshambuliwa sana ukatwe na kuchomwa moto kuzuia maambukizi zaidi. Pia pulizia mchanganyiko huu msimu wa baridi kuanzi mwezi wa 5 hadi wa 9 kwenye shamba  lako kama kinga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-&lt;strong&gt; KUOZA MAJANI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Majani huwa meusi kwenye ukingo na kuti likiliwa zaidi kati kati, majani machanga yakichomoza huwa dhaifu na kisha huchanguka, mnazi haufi ila mazao huwa duni kama ni mnazi unaozaa&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-KD5RyExym-M/TrwpPou2pSI/AAAAAAAABRY/5Z5M0QJcnOA/s1600/kuoza%2Bmajani.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 163px; height: 207px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-KD5RyExym-M/TrwpPou2pSI/AAAAAAAABRY/5Z5M0QJcnOA/s400/kuoza%2Bmajani.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673454979188696354" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;ili kuzuia tumia dawa yoyote ya kuzuia fangasi za mimea kama Hexaconazol, Mancozeb au Dithane - M5, muhimu ukufika duka la pembejeo ulizia dawa ya kuua fangasi wa mimea utapata dawa na maelekezo ya kuchanganya usikariri haya majina ya dawa nilizotaja&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4336430621464710716?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4336430621464710716/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4336430621464710716&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4336430621464710716'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4336430621464710716'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/11/kilimo-bora-cha-minazi.html' title='KILIMO BORA CHA MINAZI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-cSYU7vBvdCM/Trwio45rTxI/AAAAAAAABRA/lOibAdxImLo/s72-c/minazi4.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-8435111355838205336</id><published>2011-11-07T18:52:00.002+03:00</published><updated>2011-11-07T18:56:39.465+03:00</updated><title type='text'>MPWAPWA BREED - Mbegu bora ya ng'ombe iliyosahaulika</title><content type='html'>&lt;strong&gt;ASILI &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Mbegu hii  inatokana  na mchanganyiko wa mbegu ya ng’ombe jike aina ya Zebu toka Tanzania na Red madume ya Sindhi na Sahiwal wenye asili ya india na Pakistan lakini waliotolewa nchini Kenya hii ilikuwa ni &lt;strong&gt;mwaka 1940&lt;/strong&gt; ambapo uzalishaji wa mbegu hii ulifanyika kwa mara ya kwanza katika kituo cha utafiti wa mifugo &lt;strong&gt;Mpwapwa Dodoma&lt;/strong&gt; nchini &lt;strong&gt;Tanzania&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mwaka 1958&lt;/strong&gt; uboreshaji wa mbegu hii ulifanyika kwa kuongezea damu za ng’ombe wa ulaya &lt;strong&gt;(Bos Taurus)&lt;/strong&gt; aina ya Ayshire na Jersey na mpaka kufikia mwaka 1960 mbegu ya Mpwapwa ikawa na  na uwiano wa &lt;strong&gt;20%&lt;/strong&gt; Tanganyika Zebu &lt;strong&gt;10%&lt;/strong&gt; Boran &lt;strong&gt;5%&lt;/strong&gt; Ankole &lt;strong&gt;55%&lt;/strong&gt; Red Sindhi na Sahiwal na &lt;strong&gt;10%&lt;/strong&gt; Ayshire na Jersey. Mpaka &lt;strong&gt;mwaka 1971&lt;/strong&gt; mbegu hii ikawa na mchanganyiko wa &lt;strong&gt;32%&lt;/strong&gt; Red Sindhi, &lt;strong&gt;30%&lt;/strong&gt; Sahiwal, &lt;strong&gt;19% &lt;/strong&gt;Tanganyika Zebu &lt;strong&gt;10%&lt;/strong&gt; Boran na &lt;strong&gt;10%&lt;/strong&gt; Ayshire na Shorthorn, utagundua kwamba mbegu ya Jersey iliondolewa na kuingizwa short horn&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MWONEKANO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Wanaonekana zaidi kama Sahiwal wakiwa na rangi nyekundu iliyofubaa mpaka kukooza sana au Nyekundu na nyeupe, Wana nundu kama ng’ombe wetu wa kienyeji, ngozi ya chini yashingo ijulikanayo kama &lt;strong&gt;DEWLAP&lt;/strong&gt; ni ndogo zaidi ya Zebu lakini kubwa zaidi ya Ng’ombe wa kigeni, wana kiwele kikubwa zaidi ya ngombe wa kienyeji chenye kukamilika kirahisi &lt;strong&gt;ANGALIZO&lt;/strong&gt; nundu na dewlap huwasaidia kupambana na mazingira ya Afrika hasa joto kali&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MBEGU YA MPWAPWA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-cBTRwSa0TRA/Trf_J4V4oeI/AAAAAAAABQQ/WParf_EHt_4/s1600/mpwapwa.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 314px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-cBTRwSa0TRA/Trf_J4V4oeI/AAAAAAAABQQ/WParf_EHt_4/s400/mpwapwa.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5672282800904511970" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madume yana uzito kati ya kilo &lt;strong&gt;450 – 600&lt;/strong&gt; na majike kilo &lt;strong&gt;275 – 300 &lt;/strong&gt;wakati wa uzazi wa kwanza na huongezeka hadi kufikia &lt;strong&gt;kilo 450 &lt;/strong&gt;hapo baadae, mbegu hii inauezo wa kuzalisha maziwa mengi kuliko ng’ombe wa kienyeji na pia uhimili mazingira ya joto na magonjwa kuliko &lt;strong&gt;Tanganyika Zebu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serekali imeshindwa kusambaza mbegu hii kwa wafugaji na inasemekena karibia itapotea kwa sababu ng’ombe wa Mpwapwa waliobakia ni wachache sana na wanapatikana kwenye baadhi ya vituo vya utafiki kama Mpwapwa kwenyewe. Pia kuna tetesi kwamba kwa sasa hakuna &lt;strong&gt;MBEGU HALISI (pure breed)&lt;/strong&gt; ya ng’ombe hawa kutokana na kuachwa wakapandana ndugu kwa ndugu (Inbreeding)&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-8435111355838205336?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/8435111355838205336/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=8435111355838205336&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8435111355838205336'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8435111355838205336'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/11/mpwapwa-breed-mbegu-bora-ya-ngombe.html' title='MPWAPWA BREED - Mbegu bora ya ng&apos;ombe iliyosahaulika'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-cBTRwSa0TRA/Trf_J4V4oeI/AAAAAAAABQQ/WParf_EHt_4/s72-c/mpwapwa.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5084488960894942056</id><published>2011-09-28T22:11:00.005+03:00</published><updated>2011-09-28T22:27:38.177+03:00</updated><title type='text'>LEO NI SIKU YA KICHAA CHA MBWA DUNIANI -</title><content type='html'>Wakati leo tunaazimisha siku ya kichaa cha mbwa duniani, ugonjwa huu hapa nchini kwetu bado umekuwa tatizo sugu. Katika wilaya ya Temeke pekee watu 202 waling'atwa na kati ya hao 19 waliugua kichaa cha mbwa. Wilaya hii inajumla ya mbwa 4500, paka 1500 ambapo kati ya hao 3418 walifanikiwa kuchanjwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;CHANJO YA KICHAA CHA MBWA (RABIES) KWA AJILI YA WANYAMA &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-eA3G4pdgGc8/ToN0rsWmP4I/AAAAAAAABQI/i5z9S7sTy5o/s1600/chanjo.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 246px; height: 328px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-eA3G4pdgGc8/ToN0rsWmP4I/AAAAAAAABQI/i5z9S7sTy5o/s400/chanjo.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5657493850896613250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu huweza kumpata viumbe vingi ikiwemo binadamu, ng'ombe, mbuzi, kondoo na kadhalika, na wasmbazaji wakuu wakiwa mbwa na paka ingwa kuna baadhi ya poo (vampire bats) nao pia husambaza ugonjwa huu kwa kung'ata na kusambaza vimelea vya kichaa cha mbwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ugonjwa huu upo kila sehemu ya dunia ambapo kwa mwaka huua jumla ya watu 55,000 kote duniani ambapo Afrika watu 21,000 hufa kila mwana na wengine 34,000 hufa barani Asia na kwingineko&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli mbiu ya mwaka huu ni &lt;strong&gt;TUSHIRIKIANE KUFANYA KICHAA CHA MBWA KUWA HISTORIA&lt;/strong&gt; na njia pekee ni kuwachanja wanyama wetu, na pia kuwazuia wasizurure hovyo mitaani,&lt;strong&gt; MUONE MTAALAM WA MIFUGO ALIYE KARIBU NAWE ILI MBWA NA PAKA WAKO WAPATE CHANJO KAMILI&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5084488960894942056?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5084488960894942056/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5084488960894942056&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5084488960894942056'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5084488960894942056'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/09/leo-ni-siku-ya-kichaa-cha-mbwa-duniani.html' title='LEO NI SIKU YA KICHAA CHA MBWA DUNIANI -'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-eA3G4pdgGc8/ToN0rsWmP4I/AAAAAAAABQI/i5z9S7sTy5o/s72-c/chanjo.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-954153042818266154</id><published>2011-09-28T21:39:00.006+03:00</published><updated>2011-09-28T22:06:25.510+03:00</updated><title type='text'>WILAYA ZA NGORONGORO NA LONGIDO ZAKUMBWA NA UGONJWA HATARI WA HOMA YA MAPAFU YA NGOMBE</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-jPsTHJLhkmI/ToNubs6PHhI/AAAAAAAABQA/cRyBXns5XBg/s1600/maasai%2Bcattle2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-jPsTHJLhkmI/ToNubs6PHhI/AAAAAAAABQA/cRyBXns5XBg/s400/maasai%2Bcattle2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5657486979098418706" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wilaya za &lt;strong&gt;Ngorongoro na Longido&lt;/strong&gt; ambazo zipo mpakani na &lt;strong&gt;Kenya&lt;/strong&gt; zimekumbwa na ugonjwa wa mapafu wa ng'ombe, hali hii imefanya jumla ya ng'ombe milioni moja &lt;strong&gt;(1,000,000)&lt;/strong&gt; kuwa katika hatari ya kukumbwa na ugonjwa huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu ulitangazwa kama janga la kitaifa mnamo mwaka 2001 kwa sababau ni hatari sana na unaua ng'ombe kwa kasi sana, na unaweza kudhibitiwa kwa kuchanja mifugo mara unapoonyesha dalili za mlipuko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na hilo serekali imechukua hatua za dharura za kuwachanja ng'ombe wote katika wilaya ya Ngorongoro, Longido na zile za jirani kama Karatu na nyinginezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Historia ya ugonjwa huu inaanzia enzi za ukoloni mnamo mwaka &lt;strong&gt;1905&lt;/strong&gt; na uliweza kudhibitiwa, lakini mnamo mwaka &lt;strong&gt;1964&lt;/strong&gt; mwaka ambao ndio wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulitokea na Tanzania kuzaliwa, ugonjwa huu ulilipuka tena nchini mwetu. mnamo mwaka &lt;strong&gt;1990&lt;/strong&gt; ugonjwa huu ulilipuka tena katika Wilaya ya &lt;strong&gt;Loliondo&lt;/strong&gt; mpakani na Kenya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-V-QeJJC-U60/ToNuPA2sAqI/AAAAAAAABP4/tIubGUPChOY/s1600/maasai%2Bcattle.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 290px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-V-QeJJC-U60/ToNuPA2sAqI/AAAAAAAABP4/tIubGUPChOY/s400/maasai%2Bcattle.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5657486761113944738" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka &lt;strong&gt;1994&lt;/strong&gt; ugonjwa huu ulilipuka tena na kusambaa hadi mkoa wa &lt;strong&gt;Morogoro&lt;/strong&gt; katika wilaya za &lt;strong&gt;kilosa na Mahenge&lt;/strong&gt;. na mwaka &lt;strong&gt;1998&lt;/strong&gt; ugonjwa huu ulisambaa katika &lt;strong&gt;mikoa 11&lt;/strong&gt; ya nchi yetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu hujulikana kama &lt;strong&gt;contagious bovine pleural pneumonia&lt;/strong&gt; au &lt;strong&gt;CBPP&lt;/strong&gt; kwa kifupi na kama unataka mifugo yako ichanjwe wasiliana na maofisa ugani waliokaribu nawe au ofisi za wizara ya mifugo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-954153042818266154?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/954153042818266154/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=954153042818266154&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/954153042818266154'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/954153042818266154'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/09/wilaya-za-ngorongoro-na-longido.html' title='WILAYA ZA NGORONGORO NA LONGIDO ZAKUMBWA NA UGONJWA HATARI WA HOMA YA MAPAFU YA NGOMBE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-jPsTHJLhkmI/ToNubs6PHhI/AAAAAAAABQA/cRyBXns5XBg/s72-c/maasai%2Bcattle2.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3831935841615151172</id><published>2011-09-17T17:55:00.006+03:00</published><updated>2011-11-07T17:59:20.920+03:00</updated><title type='text'>MBEGU BORA YA MIHOGO YAGUNDULIWA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SHAMBA DARASA LA MIHOGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-XPDRufbD8_s/TnS2voRR-bI/AAAAAAAABPw/tQUWItXFPyE/s1600/hogo.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 325px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-XPDRufbD8_s/TnS2voRR-bI/AAAAAAAABPw/tQUWItXFPyE/s400/hogo.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5653344361636821426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika ikishirikiana na taasisi ya kimataifa ya kilimo cha kitropiki &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(IITA)&lt;/span&gt; kwa pamoja zimezalisha aina mpya ya mbegu za mihogo zenye kustahimili magonjwa makubwa ya zao hilo. Mbegu hiyo mpya inayojulikana kama KIROBA inatoa wanga mzuri kwa ajili ya lishe na kuhimili magonjwa, pia inaweza kutoa mazao kufikia &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;tani 35 kwa hecta&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MIHOGO BORA TAYARI KUVUNWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-HzLh9_hyGo0/TnS1xGwjfwI/AAAAAAAABPo/90VOonUajNk/s1600/hogomi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-HzLh9_hyGo0/TnS1xGwjfwI/AAAAAAAABPo/90VOonUajNk/s400/hogomi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5653343287489298178" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiongea hayo Meneja wa mradi wa Shirika la chakula Duniani &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(FAO)&lt;/span&gt; &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BW. Raphael Laizer&lt;/span&gt; wakati anakagua mashamba darasa ya mihogo huko Mkuranga, alisistiza kutumia mashamba darasa ya zao la muhogo kwa ajili ya majaribio ili kupata mbegu bora ambazo zitalimwa karibu mikoa yote na ziwe zenye uwezo wa kuhumili ukame  na magonjwa pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MIHOGO YA KUKAUSHA (makopa) KWA AJILI YA UNGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-pBdx27sahLo/TnS1VDe-iEI/AAAAAAAABPg/jqBvEapkUjU/s1600/makopa.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 297px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-pBdx27sahLo/TnS1VDe-iEI/AAAAAAAABPg/jqBvEapkUjU/s400/makopa.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5653342805573929026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3831935841615151172?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3831935841615151172/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3831935841615151172&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3831935841615151172'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3831935841615151172'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/09/mebgu-bora-ya-mihogo-yagunduliwa.html' title='MBEGU BORA YA MIHOGO YAGUNDULIWA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-XPDRufbD8_s/TnS2voRR-bI/AAAAAAAABPw/tQUWItXFPyE/s72-c/hogo.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3731914379878705165</id><published>2011-08-13T19:43:00.004+03:00</published><updated>2011-08-13T19:49:51.911+03:00</updated><title type='text'>KILIMO CHA VITUNGUU TWAUMU - garlic</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-EjGo3NNiy2U/TkaqdbovdPI/AAAAAAAABOw/bf4r3j3-Gh4/s1600/garlic.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 197px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-EjGo3NNiy2U/TkaqdbovdPI/AAAAAAAABOw/bf4r3j3-Gh4/s400/garlic.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5640383005939692786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UDONGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Vitunguu twaumu vinahimili aina nyingi za udongo, ila vinastawi zaidi katika udongo usiotuamisha maji kabisa na wenye mbolea asili, kama mbolea si ya kutosha kwenye udongo, tumia samadi iliyokwisha oza vizuri usitoe samadi bandani na kuipeleka shambani moja kwa moja kwenye shamba la vitunguu thwaumu, labda kama utaliacha shamba bila kulimwa kwa zaidi ya miezi 6, pia unaweza kutumia mbolea za viwandani kama ammonium nitrate, ammonium sulphate, urea n.k wakati wa kupanda na kila baada ya wiki &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4 – 6&lt;/span&gt; mara mbili zaidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UPANDAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kipindi kizuri kwa upandaji ni kipindi ambacho hakuna joto hasa miezi ya May mpaka August kwa Tanzania, Unachukua kitunguu twaumu na kutenganisha vitunguu kimoja kimoja (bulbs) na kuchagua vile vikubwa maana hivi ndivyo vitakavyo kupa mazao mengi na bora, nafasi kati ya kitunguu na kitunguu ni sentimeta 10 na kati ya mistari ni sentimeta 30. Baada ya kupanda pandishia udongo na uukandamize kuhakikisha kwamba kimekaa vizuri na hakiwezi kuathiriwa na mvua au maji wakati wa kumwagilia ili kisikae upande au kungolewa kabisa. Uotaji mzuri hutegemea pia namna vitunguu thwaumu vilivyo hifadhiwa kabla ya kupandwa, kama vilihifadhiwa sehemu zenye joto na hewa finyu uotaji wake utakuwa duni na dhaifu.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-381UzhOjDLY/TkaqsNvQ-SI/AAAAAAAABO4/ttQ8dAU5keI/s1600/swaumu.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 244px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-381UzhOjDLY/TkaqsNvQ-SI/AAAAAAAABO4/ttQ8dAU5keI/s400/swaumu.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5640383259906996514" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;UMWAGILIAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kama kuna upungufu wa mvua au ni kipindi cha kiangazi basi ni vizuri ukamwagilia shamba lako, wakati mzuri wa kumwagilia vitunguu twaumu ni asubuhi na sio jioni au mchana, hii inasaidia vitunguu twaumu kujijengea uwezo wa kupambana na magonjwa, baada ya mizi miwili unaweza kupunguza umwagiliajai huku ukiangalia kwa kuchimba kidogo kama vitunguu twaumu vimezaliana vya kutosha na kuanza kukomaa, ukiona vimekomaa acha kabisa kumwagilia ili visioze&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UANGALIZI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Aina nyingi za vitunguu twaumu vitakuwa kama vinatoa mbegu kwenye mmea (angalia picha chini), ingawa kuna nadharia nyingi lakini inashauriwa kukata hizi mbegu chini kabisa kwa kisu kikali na kisafi, usikate mapema mara baada ya kutokeza bali subiri mpaka mmea unapoanza kama kujikunja ndipo ukate, kwa wale wanaoacha mbegu hizi ukiamua kuzipanda kwa msimu wa kwanza zitazaa kitunguu kimoja tu cha duara lakini chenyewe ukikipanda tena kwenye mzunguko wa pili kitazaa vitunguu vingi kama kawaida&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-1Hu4xZ_c5W0/TkaqL-QEFvI/AAAAAAAABOo/ObIAfvZA6Cc/s1600/bulbs%2Bon%2Bstem.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 227px; height: 365px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-1Hu4xZ_c5W0/TkaqL-QEFvI/AAAAAAAABOo/ObIAfvZA6Cc/s400/bulbs%2Bon%2Bstem.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5640382705993783026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ungoleaji wa magugu na majani ni muhimu muda wote ili kuondoa kugombea rutuba, hewa na maji shambani, kwa wenye mashamba makubwa wanaweza kutumia dawa za kemikali kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ROUNDUP&lt;/span&gt;  na nyinginezo ili kudhibiti magugu, ingawa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;mimi sishauri hivyo&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAGONJWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Magonjwa kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;botrytis&lt;/span&gt; (kuoza shingo) &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;blue mould na fusarium &lt;/span&gt;(kuoza kwa vitunguu) husababisha hasara kubwa kama hayatadhibitiwa kwa kutumia viuatilifu mara unapoona dalili, pia magonjwa kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;white rot&lt;/span&gt; huchukua zaidi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miaka 20&lt;/span&gt; kuondoka kama yatavamia shamba lako, inashauriwa kufanya mabadiliko ya zao kila baada ya miaka mitano kwa kupanda mazao mengine yasiyo jamii moja kama vitunguu maji, unaweza kupanda maharage, mahindi, karoti na kabichi katika mzunguko huo. Pia magonjwa kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kutu ya majani&lt;/span&gt; husababisha na unyevu mwingi hasa kama mimea itakuwa kwenye udongo unaotuamisha maji au mimea kumwagiliwa  jioni au usiku, &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kumbuka kumwagilia asubuhi tu&lt;/span&gt; Ili kudhibiti ugonjwa huu wa kutu mimea ingolewe na ichomwe au utumie viuatilifu vya kuulia fangasi wa mimea.&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3731914379878705165?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3731914379878705165/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3731914379878705165&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3731914379878705165'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3731914379878705165'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/08/kilimo-cha-vitunguu-twaumu-garlic.html' title='KILIMO CHA VITUNGUU TWAUMU - garlic'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-EjGo3NNiy2U/TkaqdbovdPI/AAAAAAAABOw/bf4r3j3-Gh4/s72-c/garlic.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-858336588614772335</id><published>2011-08-08T10:27:00.011+03:00</published><updated>2011-08-08T11:04:46.221+03:00</updated><title type='text'>NANE NANE NA MELTON KALINGA</title><content type='html'>Leo ni siku ya wakulima yaani nane nane na maadhimisho kitaifa yanafanyika Dodoma, mimi niko na mtaalam wa Samaka Bw Melton Kalinga kwenye kituo cha Kingolwira nje kidogo ya Morogoro mjini kama km12. Kinachofanyika kwa leo ni upandishaji wa Samaki aina ya kambale&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaanza kwa kutafuta majike makubwa yenye mayai tumboni, kisha unatafuta na Madume yaliyokomaa, ili kupandisha kwa njia ya kimaabara kambale dume inabidi umuue kisha unachukua pituitari gland na kumwingizia jike mwenye mayai aliye hai, baada ya masaa 24 mayai yanakuwa yame komaa, unayakamua toka kwa jike kisha unachanganya na mbegu za kiume toka kwa samaki uliyemuua jana yake, kwa kutumia mtambo wa maabara wenye maji ya vuguvugu unatotolesha mayai hayo kwa njia ya kitaalam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Vifaranga wa samaki aina ya sato wanapatikana pia kwa shilingi 50 tu, kwa mawasiliano zaidi mpigie Bw Kalinga 0757891761 au 787596798&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KAMBALE WAKIVULIWA KWENYE BWAWA&lt;/strong&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-IvTjEw13BsE/Tj-Va6qh6rI/AAAAAAAABOY/ALhB2e3vxIU/s1600/uvuaji.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-IvTjEw13BsE/Tj-Va6qh6rI/AAAAAAAABOY/ALhB2e3vxIU/s400/uvuaji.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638389548147927730" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-NfWcERZ18TI/Tj-VQdwcz0I/AAAAAAAABOQ/Qw-fhjdwFL0/s1600/ukamataji2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-NfWcERZ18TI/Tj-VQdwcz0I/AAAAAAAABOQ/Qw-fhjdwFL0/s400/ukamataji2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638389368589438786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-3kC6rDO9c5s/Tj-VGwFkW8I/AAAAAAAABOI/M_T2p_qJWTo/s1600/ukamataji.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-3kC6rDO9c5s/Tj-VGwFkW8I/AAAAAAAABOI/M_T2p_qJWTo/s400/ukamataji.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638389201711160258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UKAGUZI NA UCHAMBUZI KUJUA MADUME NA MAJIKE WANAOFAA&lt;/strong&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-xXGixF57Lc0/Tj-Uo8cnYsI/AAAAAAAABOA/LZ1BN6G7XRg/s1600/ukaguzi%2B2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-xXGixF57Lc0/Tj-Uo8cnYsI/AAAAAAAABOA/LZ1BN6G7XRg/s400/ukaguzi%2B2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638388689632977602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-XVsVPljCD8Y/Tj-Tuuh9XqI/AAAAAAAABN4/3LP2WfOBNOE/s1600/ukaguzi.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-XVsVPljCD8Y/Tj-Tuuh9XqI/AAAAAAAABN4/3LP2WfOBNOE/s400/ukaguzi.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638387689464880802" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SAMAKI JIKE MWENYE MAYAI&lt;/strong&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-P80x32Y-O2I/Tj-Sal-JwnI/AAAAAAAABNw/gA_ZIR8xLT0/s1600/jike%2Bmayai.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 359px; height: 298px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-P80x32Y-O2I/Tj-Sal-JwnI/AAAAAAAABNw/gA_ZIR8xLT0/s400/jike%2Bmayai.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638386244058202738" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SAMAKI DUME&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-JfzjEaHWF_w/Tj-SFT4AKaI/AAAAAAAABNo/PRci8Flc-oc/s1600/dume2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 369px; height: 284px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-JfzjEaHWF_w/Tj-SFT4AKaI/AAAAAAAABNo/PRci8Flc-oc/s400/dume2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638385878423316898" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UTOAJI WA MBEGU TOKA KWA DUME&lt;/strong&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-tlEj6FLosd4/Tj-QVRevsQI/AAAAAAAABNY/nxayGNjTGDU/s1600/mbegu%2Bdume.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 304px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-tlEj6FLosd4/Tj-QVRevsQI/AAAAAAAABNY/nxayGNjTGDU/s400/mbegu%2Bdume.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638383953635160322" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MTAMBO WA KUTOTOLESHEA MAYAI YA KAMBALE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-3T1uLqZnmAk/Tj-XwSMladI/AAAAAAAABOg/zPTdBTEP9Sw/s1600/mtambo_wa_kambale%255B1%255D.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-3T1uLqZnmAk/Tj-XwSMladI/AAAAAAAABOg/zPTdBTEP9Sw/s400/mtambo_wa_kambale%255B1%255D.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5638392114265287122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-858336588614772335?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/858336588614772335/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=858336588614772335&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/858336588614772335'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/858336588614772335'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/08/nane-nane-na-melton-kalinga.html' title='NANE NANE NA MELTON KALINGA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-IvTjEw13BsE/Tj-Va6qh6rI/AAAAAAAABOY/ALhB2e3vxIU/s72-c/uvuaji.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-9203285670159379294</id><published>2011-07-07T17:59:00.004+03:00</published><updated>2011-07-07T18:16:42.759+03:00</updated><title type='text'>MATIKITI MAJI - water melon</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-BTcC-w9sDvQ/ThXNuLbDzyI/AAAAAAAABNQ/eemuja8kN98/s1600/tikiti.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 323px; height: 268px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-BTcC-w9sDvQ/ThXNuLbDzyI/AAAAAAAABNQ/eemuja8kN98/s400/tikiti.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626629502693265186" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kulima matikiti maji, inakubidi uwe na sehemu ya kutosha, yenye jua la kutosha, maji mengi na ardhi yenye rutuba ya kutosha, matikiti maji hukua haraka kama mimea mimgine ya jamii yake itambaayo mfano Matango, maboga na maskwash.&lt;br /&gt;Kwa mtu ambaye anaanza kilimo yatampa tabu kidogo tofauti na Yule ambaye ana ujuzi kidogo na mambo ya kilimo kwa sababu yanahitaji umakini kiasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HALI YA HEWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mimea hii haihimili hali ya joto kali sana, mvua nyingi na udongo unaotuamisha maji, magonjwa ya fangasi na wadudu waharibifu, inastawi vizuri kwenye kuanda wa pwani na miinuko kidogo kama DSM,Tanga, Morogoro, Mtwara, lindi na Pwani ambapo kuna jua la kutosha. Muda mzuri wa kupanda ni kipindi cha kipupwe mwezi wa machi mpaka wa septemba .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UPANDAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Panda kwa kutumia Mbegu zinazouzwa madukani, ukitumia Mbegu kutoka kwenye tikiti ulilonunua linaweza likawa ni hybrid na matokeo yake matikiti yatakayozaliwa hayatakuwa bora kwa sababu yatakuwa ni kizazi cha pili (F2)&lt;br /&gt;Panda Mbegu yako moja kwa moja kwenye shamba, usinunue miche au kupanda Mbegu kwenyemifuko ya plastiki halafu ndi uhamishie shambani, panda Mbegu mbili sentimeta 2 chini ya udongo kwa umbali wa  sentimeta 30 kutoka shina hadi shina na mita 2 - 3 kutoka mstari hadi mstari, baada ya siku chache Mbegu zitaanza kuota, baada ya kama wiki 2 katika Mbegu mbili ulizopanda kata moja na uache ule mche wenye afya zaidi, angalizo using’oe mche bali ukate ili kuzuia kusumbua mizizi ya mche uliobaki.&lt;br /&gt;Unaweza kupandishia udongo kwenye mashina na hii itasaidia kupunguza maji yasituame kwenye mimea yako, pia unaweza kuweka samadi badala ya kupandishia udongo ukiwa na nia ileile ya kuzuia maji yasituame na kuongeza rutuba.&lt;br /&gt;Kama una sehemu  ndogo ya shamba unaweza kuyawekea matikiti waya wa kutambalia, ila inabidi uwe imara kwa sababu ya kuhimili uzito wa matunda yenye, na wakati wa kuanza kutambaa kwenye waya ni lazima uifundishe mimea kwa kuielekezea kwenye waya na kufungia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MCHE ULIOCHIPUA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-HvWZRhTe4vk/ThXLeDRf2jI/AAAAAAAABNI/RYUuLWtauX0/s1600/mche%2Btikiti.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 323px; height: 268px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-HvWZRhTe4vk/ThXLeDRf2jI/AAAAAAAABNI/RYUuLWtauX0/s400/mche%2Btikiti.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626627026604513842" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UANGALIZI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Miche ikiwa imetambaa kiasi unaweza kuweka matandazo kwenye udongo ili kuzuia upotevu wa unyevu, unaweza kuweka samadi au mbolea za viwandani, mimea ikiwa midogo tumia zaidi mbolea zenye nitrojen na utumie zaidi mbolea za potasiam mara baada ya maua kutokeza hadi matunda kukomaa, matawi yakifikia urefu wa mita 2 kata mbele ilikuruhusu kutoa matawi na hivyo kupata maua mengi zaidi hatimaye mavuno zaidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAUA NA MATUNDA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Matikiti hutoa maua dume na jike kwenye tawi moja, maua dume ambayo ni madogo zadi hutoka kwanza yakifuatiwa na maua jike ambayo ni makubwa zaidi, usipoona maua dume na jike kuna tatizo mfano maji kidogo yalimwagiliwa, upungufu wa viritubisho kwenye udongo, hali ya hewa ni joto/baridi sana n.k&lt;br /&gt;Uchavushaji kwenye matikiti hufanyika na wadudu, kama huwaoni wakifanya kazi yao unaweza kufanya mwenyewe, muda mzuri ni wa asubuhi, unakata maua dume kwa kisu na kufanya uchavushaji kwenye maua jike, maua jike ya mwanzo kwenye tawi ndiyo yenye ukuaji bora zaidi, unaweza kukata tawi lisiendelee kukua baada ya matunda kutokeza hii husababisha kuwa na matunda makubwa zaidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UCHAVUSHAJI KWA MKONO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-MhUAEjx2CmY/ThXKahY4g5I/AAAAAAAABNA/x_bZBIhrmuE/s1600/uchavushaji.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 323px; height: 268px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-MhUAEjx2CmY/ThXKahY4g5I/AAAAAAAABNA/x_bZBIhrmuE/s400/uchavushaji.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626625866457449362" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UVUNAJI MATIKITI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ili kujua matikiti yamekomaa inahitaji ujuzi kidogo, upande wa chini wa tunda huanza kuwa na rangi ya njano, pia kikonyo juu ya tunda hukauka kabisa na kuwa kijivu, ila njia nzuri ni kuyapiga kwa kiganja na kusikiliza mlio wake kama tunavyofanya kwenye mafenesi, hii nayo ni shule nyingine. Tumia kisu wakati wa kuvuna matikiti, yabebwe na kuhifadhiwa vizuri kwenye makasha tayari kuuzwa au kwa matumizi binafsi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAGONJWA NA WADUDU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Wadudu wa matikiti wako wanaoshambulia majani na maua, na wengine hushambulia matunda , pia kuna magonjwa ya fangasi ambayo hushambulia mimea, ili kujua dawa za magonjwa ni vizuri kuchukua sampuli na kwenda nayo kwenye duka la dawa na pembejeo za kilimo ili kjupata dawa sahii, dawa aina ya KARATE itasaidia kuua wadudu wa majani, maua na matunda na FUNGICIDE itasaidia kwa mashambulizi ya fangasi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-9203285670159379294?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/9203285670159379294/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=9203285670159379294&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9203285670159379294'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9203285670159379294'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/07/matikiti-maji-water-melon.html' title='MATIKITI MAJI - water melon'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-BTcC-w9sDvQ/ThXNuLbDzyI/AAAAAAAABNQ/eemuja8kN98/s72-c/tikiti.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7682726369198513581</id><published>2011-06-26T12:13:00.007+03:00</published><updated>2011-06-26T14:47:57.030+03:00</updated><title type='text'>LINDI - MTWARA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NYAMWAGE - MUHORO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-17luk-Eb3JA/TgcbxZyp_-I/AAAAAAAABM4/kcrtlKhCc7I/s1600/RR.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-17luk-Eb3JA/TgcbxZyp_-I/AAAAAAAABM4/kcrtlKhCc7I/s400/RR.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5622493195346247650" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MIKINDANI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-JuAYVzcZ2vI/TgcbmIvbw9I/AAAAAAAABMw/yc-Af2HQfa0/s1600/MIKINDANI.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-JuAYVzcZ2vI/TgcbmIvbw9I/AAAAAAAABMw/yc-Af2HQfa0/s400/MIKINDANI.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5622493001790768082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MABIRIKA YA KUTENGENEZEA CHUMVI - LINDI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-34KeFotivCY/TgcbaugfzFI/AAAAAAAABMo/MZeaSfaBo3o/s1600/BIRIKA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-34KeFotivCY/TgcbaugfzFI/AAAAAAAABMo/MZeaSfaBo3o/s400/BIRIKA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5622492805770234962" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BEACH MTWARA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-5bSrBly45yU/TgcbN7YBjNI/AAAAAAAABMg/CLwZBf5As2Q/s1600/BEACH.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-5bSrBly45yU/TgcbN7YBjNI/AAAAAAAABMg/CLwZBf5As2Q/s400/BEACH.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5622492585886059730" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HIKI NDIO KIPANDE AMBACHO HAKINA LAMI KAMA KILOMETA 60&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-79da5f20ec942d30" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v17.nonxt3.googlevideo.com/videoplayback?id%3D79da5f20ec942d30%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D4B05BDD8AE4D70F74FF47D4C7A26F6F642A5CBDF.1E8F683671A16B0CD585B31E48E9318B964EA46D%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D79da5f20ec942d30%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DhVHwWY8ZeA8Vy4mvE8yCOcSinfs&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v17.nonxt3.googlevideo.com/videoplayback?id%3D79da5f20ec942d30%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D4B05BDD8AE4D70F74FF47D4C7A26F6F642A5CBDF.1E8F683671A16B0CD585B31E48E9318B964EA46D%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D79da5f20ec942d30%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DhVHwWY8ZeA8Vy4mvE8yCOcSinfs&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7682726369198513581?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7682726369198513581/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7682726369198513581&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7682726369198513581'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7682726369198513581'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/06/lindi-mtwara.html' title='LINDI - MTWARA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-17luk-Eb3JA/TgcbxZyp_-I/AAAAAAAABM4/kcrtlKhCc7I/s72-c/RR.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2827598211294134084</id><published>2011-06-16T15:00:00.005+03:00</published><updated>2011-06-16T16:07:36.304+03:00</updated><title type='text'>NDANI YA RUFIJI</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHOMBO KINAKUJA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-ZolotCSVjV8/Tfn3QKTtFpI/AAAAAAAABLg/DnejC8nONFs/s1600/pantoni.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-ZolotCSVjV8/Tfn3QKTtFpI/AAAAAAAABLg/DnejC8nONFs/s400/pantoni.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618793867138373266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wadau samahanini sana kwa kupotea humu kijiweni, ilikuwa ni lazima nipotee ili vitu vingine viende, lakini sasa nimerudi rasmi kwenye kijiwe changu&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wiki hii nilikuwa wilayani &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rufiji&lt;/span&gt; nilifika sehemu kama Kibiti, Utete, Ikwiriri, Mkongwa na Nyamwage. Nililala Utete, ni sehemu tulivu na watu wake ni wakarimu kama tulivyo waTanzania wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali ya utete kwa wakati huu ni joto limepungua sana wala uhitaji kulala na feni kama DSM, kuna mbu wengi sana ni lazima ulalae na chandarua, mji hii uko pembeni ya mto Rufiji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-Q6rS630mn6A/Tfn3G70aIkI/AAAAAAAABLY/86L-Xv3nfNU/s1600/pantini2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-Q6rS630mn6A/Tfn3G70aIkI/AAAAAAAABLY/86L-Xv3nfNU/s400/pantini2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618793708630188610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa kwenda tulitumia barabara ya Kilwa hadi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kibiti&lt;/span&gt; tukakata kulia kama unaelekea hifadhi ya Selous na kufika kijiji cha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mkongwa&lt;/span&gt; tukakata kulia na kuelekea kwenye kivuko cha Utete, tukasubiri pantoni baaddae tukavuka na kuingia Utete kama saa 3 asubuhi kwa kupitia njia hii ya mkato tuliokoa mwendo wa kilometa kama 40.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utete tuliona vitu vingi maana kwanza kuna mto huu wa Rufiji, lakini bado hawajaanza kuutumia kiukamilifu, ila nina imani mambo yatakuwa mazuri maana kuna &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;RUBADA&lt;/span&gt; ambayo mamlaka hii imepewa jukumu la kuendeleza bonde la Rufiji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NAHODHA WA MV UTETE - BWANA ALLI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-6ok8ms0qhqY/Tfn28PaOf5I/AAAAAAAABLQ/lQ3XQo5AzF4/s1600/ali.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-6ok8ms0qhqY/Tfn28PaOf5I/AAAAAAAABLQ/lQ3XQo5AzF4/s400/ali.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618793524910522258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakazi wa Utete ni wakulima wa mazao kama Mpunga, mahindi na shughuli za uvuvi, pia kuna baadhi wanafuga samaki katika mabwawa binafesi ingawa ufugaji wao si mkubwa na si wakitaalam zaidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TAA ZA BARABARANI - uswazi kwetu hamna hizi&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-yLb-1rA4REw/Tfn2sWWpgAI/AAAAAAAABLI/AogoNQ2dEF8/s1600/taa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-yLb-1rA4REw/Tfn2sWWpgAI/AAAAAAAABLI/AogoNQ2dEF8/s400/taa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618793251896655874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mji wa Utete una huduma za simu mitandao ya Voda, tigo , Airtel na Zantel, pia kuna umeme na taa mpaka za barabarani ingawa barabara hazina lami, mji una maji ya bomba lakini cha kuchekesha chanzo ni kisima waka mji unapitiwa na mto hapo hapo, maji ni ya chumvi&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;URITHI WETU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-0c34a42uUaM/Tfn2eDl_P1I/AAAAAAAABLA/vIpXjmjShdk/s1600/misitu.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-0c34a42uUaM/Tfn2eDl_P1I/AAAAAAAABLA/vIpXjmjShdk/s400/misitu.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618793006342553426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usafiri ni wa mabasi mawili kwa siku moja saa 12 asubuhi na lapili kwenye saa 6 mchana ukiyakosa hayo, omba lifti kwenye magari madogo madogo ya Serekali au Binafsi au sivyo utalala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WATAALAMU WA USHAURI KWENYE NYANJA ZOTE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-uAs2cbsI3oA/Tfn2LngDMiI/AAAAAAAABKw/jUmBnIzG11o/s1600/ushauri.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-uAs2cbsI3oA/Tfn2LngDMiI/AAAAAAAABKw/jUmBnIzG11o/s400/ushauri.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618792689563808290" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Huduma nyingine ni Hospitali ndogo, pia kuna Magereza, kuna BOma lililojengwa na mkoloni linalotumika kama Ofisi ya Wilaya, Kuna posta, Nyumba za kulala wageni, sehemu za vinywaji, soko, na maduka ya bidhaa mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHEMCHEM YA MAJI MOTO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-R8KQc48DlJo/Tfn2UjdZxmI/AAAAAAAABK4/HvnOwzDZ3MM/s1600/hot%2Bspring.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-R8KQc48DlJo/Tfn2UjdZxmI/AAAAAAAABK4/HvnOwzDZ3MM/s400/hot%2Bspring.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618792843097785954" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukifika Utete ulizia wakulete huku, kwa pikipiki ni buku tu unalipia, wenyeji wanaamini maji haya ni yamaajabu na yanaweza kuytibu magonjwa, niliogopa kuwaambia hii ni volcanic feature&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;USAFIRI TOKA VIJIJI VINGINE KUJA UTETE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-59iCetGeZQs/Tfn_S-3bCpI/AAAAAAAABMY/rMgQA9UbypY/s1600/usafiri.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-59iCetGeZQs/Tfn_S-3bCpI/AAAAAAAABMY/rMgQA9UbypY/s400/usafiri.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618802711699589778" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAPATO NI MUHIMU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-kijnwu7FYlo/Tfn_CNscDdI/AAAAAAAABMQ/JEqwhwTySXo/s1600/tangazo.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-kijnwu7FYlo/Tfn_CNscDdI/AAAAAAAABMQ/JEqwhwTySXo/s400/tangazo.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618802423622274514" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;EWURA WAKIJA HUKU NI BALAA- PETROL INAUZWA KWENYE HIVYO VIDUMU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-X6wsDcp2IIc/Tfn-yUPZCwI/AAAAAAAABMI/iJqmW53zWUM/s1600/petrol%2Bstation.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-X6wsDcp2IIc/Tfn-yUPZCwI/AAAAAAAABMI/iJqmW53zWUM/s400/petrol%2Bstation.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618802150501583618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NILIUKUTA MTIKI IKABIDI NIUHUG&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-1pv0cNY9qjc/Tfn-W9qAtXI/AAAAAAAABMA/i6oOTyStmcE/s1600/mtiki.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-1pv0cNY9qjc/Tfn-W9qAtXI/AAAAAAAABMA/i6oOTyStmcE/s400/mtiki.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618801680582751602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MKONGWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-852UvHCtv2Q/Tfn-JpGCsbI/AAAAAAAABL4/LP89Qxg724A/s1600/mkongwa2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-852UvHCtv2Q/Tfn-JpGCsbI/AAAAAAAABL4/LP89Qxg724A/s400/mkongwa2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618801451724878258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-cqyi5Tz7rvs/Tfn96kc-IyI/AAAAAAAABLw/Ob3INQ9esH8/s1600/mkongwa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-cqyi5Tz7rvs/Tfn96kc-IyI/AAAAAAAABLw/Ob3INQ9esH8/s400/mkongwa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618801192780833570" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KILMO KWANZA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-QS9I_-k9kh8/Tfn9rExO70I/AAAAAAAABLo/tR9W9XXNwe0/s1600/mambo%2Byetu.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-QS9I_-k9kh8/Tfn9rExO70I/AAAAAAAABLo/tR9W9XXNwe0/s400/mambo%2Byetu.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5618800926577848130" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2827598211294134084?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2827598211294134084/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2827598211294134084&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2827598211294134084'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2827598211294134084'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/06/ndani-ya-rufiji.html' title='NDANI YA RUFIJI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-ZolotCSVjV8/Tfn3QKTtFpI/AAAAAAAABLg/DnejC8nONFs/s72-c/pantoni.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-1215800272926922741</id><published>2011-06-10T18:50:00.003+03:00</published><updated>2011-06-10T19:08:29.854+03:00</updated><title type='text'>KAJUMULO WORLD SOCCER TANZANIA LTD REGIONAL MANAGER - JOB DESCRIPTION</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-_5XybZSMSBo/TfJBLRdw_VI/AAAAAAAABKo/-2Ju1mTaaVw/s1600/KAJUMULO%2BWORD%2BSOCCER.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 355px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-_5XybZSMSBo/TfJBLRdw_VI/AAAAAAAABKo/-2Ju1mTaaVw/s400/KAJUMULO%2BWORD%2BSOCCER.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5616623347207044434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HI FELLOW TANZANIANS,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;THANKS FOR THE OVERWHELMING RESPONSE.  HERE IS A SHORT DESCRIPTION OF THE DUTIES AND REQUIREMENTS FOR THE REGIONAL MANAGER POSITIONS.  I WILL BE HIRING ONE REGIONAL MANAGER FOR EACH OF THE 22 REGIONS IN TANZANIA.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1.  YOU MUST BE RESIDENT FOR AT LEAST ONE YEAR IN THAT REGION.  YOU MUST KNOW THE REGION AND BE VERY FAMILIAR WITH IT.&lt;br /&gt;2.  YOU MUST BE A UNIVERSITY GRADUATE OR HAVE AT LEAST 3 YEARS OF BUSINESS EXPERIENCE WITH EXCELLENT REFERENCES.&lt;br /&gt;3.  YOU MUST SPEAK, READ, AND WRITE ENGLISH FLUENTLY.&lt;br /&gt;4.  YOU MUST HAVE A VALID TANZANIA PASSPORT.&lt;br /&gt;5.  YOU MUST BE AN ACCOMPLISHED COMPUTER USER, ABLE TO USE THE INTERNET, EMAIL, SOCIAL NETWORKING (LIKE FACEBOOK, TWITTER, ETC) AND MICROSOFT WORD AND EXCEL.  EXPERIENCE WITH PHOTOSHOP OR ILLUSTRATOR IS BENEFICIAL.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;YOU MUST SEND A PAPER APPLICATION TO THE PO BOX ADDRESS.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;DO NOT SEND AN EMAIL.  I WILL NOT READ APPLICATIONS SENT BY EMAIL.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;SELECTED CANDIDATES WILL TRAVEL TO THE U.S. DURING THE FIRST YEAR OF EMPLOYMENT FOR BUSINESS AND SPORTS MARKETING TRAINING.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MAIL COVER LETTER AND RESUME TO:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;KAJUMULO WORLD SOCCER TANZANIA, LTD.&lt;br /&gt;ATTN:  HUMAN RESOURCES MANAGER&lt;br /&gt;PO BOX 75935&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM TANZANIA&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ok and you can you the page www.babukaju.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-1215800272926922741?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/1215800272926922741/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=1215800272926922741&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1215800272926922741'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1215800272926922741'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/06/kajumulo-world-soccer-tanzania-ltd.html' title='KAJUMULO WORLD SOCCER TANZANIA LTD REGIONAL MANAGER - JOB DESCRIPTION'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-_5XybZSMSBo/TfJBLRdw_VI/AAAAAAAABKo/-2Ju1mTaaVw/s72-c/KAJUMULO%2BWORD%2BSOCCER.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-930285180426584677</id><published>2011-04-09T14:45:00.001+03:00</published><updated>2011-04-09T14:47:36.480+03:00</updated><title type='text'>KUKU WA KIENYEJI WANAUZWA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-eYARk-XjrAY/TaBHDG0DOII/AAAAAAAABKc/AxGqf915wiU/s1600/RIU.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 270px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-eYARk-XjrAY/TaBHDG0DOII/AAAAAAAABKc/AxGqf915wiU/s400/RIU.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5593548855888263298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Haya jamani kwa wale wapenzi wa kuku wa kienyeji ambao wanahitaji kuku wengi kwa mpigo ladba kwa ajili ya kuuza au kufuga uwanja niwenu sasa&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-930285180426584677?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/930285180426584677/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=930285180426584677&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/930285180426584677'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/930285180426584677'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/04/kuku-wa-kienyeji-wanauzwa.html' title='KUKU WA KIENYEJI WANAUZWA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-eYARk-XjrAY/TaBHDG0DOII/AAAAAAAABKc/AxGqf915wiU/s72-c/RIU.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3257634861140962635</id><published>2011-04-06T11:29:00.005+03:00</published><updated>2011-04-06T11:51:16.766+03:00</updated><title type='text'>SALAMU TOKA KWA MELTON KALINGA - MOROGORO</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wanachuo toka SUA wakipata maelezo toka kwa Bw Kalinga walipotembelea kituo cha utafiti na uzalishaji samaki Kingolwira Morogoro&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-jjqw3diHA2o/TZwpBdQRnDI/AAAAAAAABKU/Gl2OjxJmsOM/s1600/Student%2Bfrom%2BSokoine%2BUniversity%2Bof%2BAgriculture%2Basking%2Bquestions.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-jjqw3diHA2o/TZwpBdQRnDI/AAAAAAAABKU/Gl2OjxJmsOM/s400/Student%2Bfrom%2BSokoine%2BUniversity%2Bof%2BAgriculture%2Basking%2Bquestions.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5592389942296812594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Vifaranga wa sato wakiwa tayari kwa kupandikizwa kwenye bwawa&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-cLprquzkAuU/TZwlCmTem5I/AAAAAAAABKM/AgcEUzCkQAk/s1600/vifaranga%2Bvya%2Bsato.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-cLprquzkAuU/TZwlCmTem5I/AAAAAAAABKM/AgcEUzCkQAk/s400/vifaranga%2Bvya%2Bsato.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5592385563859524498" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Uvunaji wa sato toka kwenye matanki ya kujengea na saruji eneo la Kingolwira&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-GLAO7-i0_ws/TZwk-KUV4fI/AAAAAAAABKE/x9L1NcAIi7U/s1600/uvunaji%2Bsamaki.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-GLAO7-i0_ws/TZwk-KUV4fI/AAAAAAAABKE/x9L1NcAIi7U/s400/uvunaji%2Bsamaki.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5592385487627477490" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Sato waliokwisha vuliwa tayari kwa kuwa kitoweo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-l4Qf5aYswe8/TZwk5efsQJI/AAAAAAAABJ8/p9CwhSZ1wsU/s1600/sato.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-l4Qf5aYswe8/TZwk5efsQJI/AAAAAAAABJ8/p9CwhSZ1wsU/s400/sato.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5592385407144444050" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kambale jike mwenye mayai tayari kwa ajili ya kufanya upandishaji na mbegu za dume kwa njia bandia ambao hufanyika nje ya mwili wa samaki hawa kwa kutumia mtambo maalum (rejea makala zangu)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-a6mOonEut2A/TZwkvfiKJnI/AAAAAAAABJ0/aIJRDpi5vzw/s1600/kambale%2Bjike.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-a6mOonEut2A/TZwkvfiKJnI/AAAAAAAABJ0/aIJRDpi5vzw/s400/kambale%2Bjike.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5592385235624535666" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ndugu Melton Kalinga ni mtaalam wa ufugaji wa samaki toka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, anapatikana Morogoro Kwa mawasiliano zaidi mpigie kupitia 0757891761 au 0787596798 ili kupata maelezo kama ya ufugaji bora wa samaki, namna ya kupata vifaranga vya samaki anavyo zalisha, jinsi ya kulisha samaki wako, uchimbaji na ujenzi wa mabwawa n.k&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3257634861140962635?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3257634861140962635/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3257634861140962635&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3257634861140962635'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3257634861140962635'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/04/salamu-toka-kwa-melton-kalinga.html' title='SALAMU TOKA KWA MELTON KALINGA - MOROGORO'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-jjqw3diHA2o/TZwpBdQRnDI/AAAAAAAABKU/Gl2OjxJmsOM/s72-c/Student%2Bfrom%2BSokoine%2BUniversity%2Bof%2BAgriculture%2Basking%2Bquestions.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2070243970448725479</id><published>2011-01-07T18:47:00.005+03:00</published><updated>2011-01-07T19:05:17.064+03:00</updated><title type='text'>KAMPUNI YAINGIZA MIKARATUSI YENYE UGONJWA SERENGETI</title><content type='html'>Kampuni ya tumbaku ijulikanayo kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Alliance One Tobacco&lt;/span&gt; imeingiza miche ya mikaratusi toka nchini Kenya yenye Magonjwa na kuisambaza kwa wakulima wilayani Serengeti. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Magonjwa hayo ni ugonjwa wa kukauka miche pamoja na ugonjwa wa mizizi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Eucalyptus root disease)&lt;/span&gt;imebainika na wataalamu toka maabara ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chuo kikuu cha Sokoine  (Morogoro) &lt;/span&gt;kwamba magonjwa hayo hayatibiki, ila ugonjwa unaweza kudhibitiwa kabla haujaibuka kwa kupiga dawa iana ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Acephate au Confidor&lt;/span&gt; wakati miche ipo kitaluni kabla ya kupandwa shambani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc4_V6EJQI/AAAAAAAABIc/xMvrcZGAXQk/s1600/mkaratusi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 384px; height: 263px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc4_V6EJQI/AAAAAAAABIc/xMvrcZGAXQk/s400/mkaratusi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5559474925875766530" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitaalamu nashauri kabla ya kuingiza mbegu au miche ni lazima uchunguzi ukafanyika kwa kina ili kugundua kama kuna magonjwa ambukizi, kwa sababu kuna aina zaidi ya 200 za mikaratusi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kwa ushauri zaidi kwa mtu anayetaka miche au mbegu za miti, basi awasailianae na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;wakala wa mbegu za miti wa taifa (TTSA)&lt;/span&gt; ambao wapo Morogoro eneo la kihonda, pamoja na hayo baadhi ya tafiti zimeonyesha kwamba mikaratusi inaathari kwa mazingira kwa sababu inatumia kiasi kikubwa cha maji na kusababisha ukame hasa kipindi hiki cha mabadiliko katika tabia nchi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc42-F5EsI/AAAAAAAABIU/9cIYBS0oX-c/s1600/123.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 246px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc42-F5EsI/AAAAAAAABIU/9cIYBS0oX-c/s400/123.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5559474782043968194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WITO &lt;/span&gt;sehemu kama serengeti ambapo ni urithi wa dunia nashauri makampuni na watu binafsi wajitahidi kupanda miti ya asili na kuachana na hii miti ya kigeni kama mikaratusi, sijaelewa pia kwa nini miti itoke nchi jirani ya Kenya wakati wangeweza kuanzisha vitalu hapa hapa nchini kwa kutumia mbegu ambazo tunazo tena za miti ya asili&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2070243970448725479?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2070243970448725479/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2070243970448725479&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2070243970448725479'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2070243970448725479'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/01/kampuni-yaingiza-mikaratusi-yenye.html' title='KAMPUNI YAINGIZA MIKARATUSI YENYE UGONJWA SERENGETI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc4_V6EJQI/AAAAAAAABIc/xMvrcZGAXQk/s72-c/mkaratusi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3276524326399485000</id><published>2011-01-07T18:23:00.003+03:00</published><updated>2011-01-07T18:42:04.240+03:00</updated><title type='text'>UJERUMANI KATIKA KASHFA YA SUMU AINA YA DIOXINE</title><content type='html'>Nchi ya Ujerumani imeeingia katika kashfa baada ya mayai na kuku kukutwa na kirutubishi ambacho ni sumu aina ya dioxine ndani yake, inaaminika kwamba kirutubishi hicho kilisambazwa kati ya mwezi Novemba na Disemba mwaka jana kwa kampuni 25 za kutengeneza vyakula vya mifugo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc0KtpVT6I/AAAAAAAABIM/jIynW-ZAIwc/s1600/mayai.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 278px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc0KtpVT6I/AAAAAAAABIM/jIynW-ZAIwc/s400/mayai.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5559469623668461474" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sumu hiyo iligundulika katika majimbo 7 nchini Ujerumani wiki iliyopita, lakini wiki hii kimegundulika nchini Uholanzi ambapo Ujerumani iliwauzia mayai na kuku walioathiriwa na sumu hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiasi cha mayai 136,000 (toka kampuni mbali mbali za kuzalisha mayai )tayari yamegundulika kuwa na sumu hiyo, sumu hiyo iliingizwa katika virutubishi chakula (concentrates) kiasi cha tani 3000 ambazo zilinunuliwa na kutumiwa na makampuni mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSczw40u4JI/AAAAAAAABIE/WRDHOgeC0gA/s1600/kuku.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 322px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSczw40u4JI/AAAAAAAABIE/WRDHOgeC0gA/s400/kuku.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5559469179992465554" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;mayai na kuku wote wenye sumu hiyo wakizuiliwa kuuzwa kwa matumizi yz Binadamu, Uchunguzi unaendelea ilikujua kama sumu hiyo ipo kwenye mazao menine ya mifugo kama nyama za ng;ombe na nguruwe, maziwa n.k&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3276524326399485000?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3276524326399485000/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3276524326399485000&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3276524326399485000'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3276524326399485000'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/01/ujerumani-katika-kashfa-ya-sumu-aina-ya.html' title='UJERUMANI KATIKA KASHFA YA SUMU AINA YA DIOXINE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSc0KtpVT6I/AAAAAAAABIM/jIynW-ZAIwc/s72-c/mayai.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-1504527399721452583</id><published>2011-01-06T16:32:00.005+03:00</published><updated>2011-01-06T16:51:05.552+03:00</updated><title type='text'>DALILI ZA PANYA ZAONEKANA KILOMBERO</title><content type='html'>Dalili za kuwepo wanyama waaribifu aina ya panya zimeoneka wilayani kilombero na hivyo wakulima kutahadhariswa juu ya kuibuka kwa panya, panya hao wameanza kuonekana maeneo ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mlimba, ifakara, Mgeta, na Mangula&lt;/span&gt; wilayani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSXIUfjkIDI/AAAAAAAABH8/CSAYRLPCmH0/s1600/panya.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 322px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSXIUfjkIDI/AAAAAAAABH8/CSAYRLPCmH0/s400/panya.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5559069569452351538" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kumekuwa na dalili ya kuibuka kwa viwavi jeshi baada ya mitego iliyotegwa katika vijiji vya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kiberenge, Mpanga na Mikoleko&lt;/span&gt; kuwanasa Nondo ambao ni dalili ya kuibuka viwavi jeshi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dalili za panya hao na viwavi jeshi kushambulia mahindi na mpunga zimeoneka kiasi cha wiki kadhaa na kumfanya mkuu wa wilaya ya Kilombero &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Bw Evarist Ndikilo&lt;/span&gt; kuwasiliana na mkurugenzi wa wilaya hiyo ili kupata viuatilifu (dawa za kuua wadudu) ili kukabiliana na panya pamoja na nondo hao kabla madhara hayajawa makubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bw  Ndikilo amewataka maafisa tarafa wote kutoa taarifa kwa Wakulima ili juhudi za kupambana na panya na viwavi jeshi ziwe za kushirikiana pamoja na Wakulima ambao ndio wadau wakuu wanaoufanya mkoa wa Morogoro kuwa ghala la Taifa&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-1504527399721452583?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/1504527399721452583/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=1504527399721452583&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1504527399721452583'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1504527399721452583'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/01/dalili-za-panya-zaonekana-kilombero.html' title='DALILI ZA PANYA ZAONEKANA KILOMBERO'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSXIUfjkIDI/AAAAAAAABH8/CSAYRLPCmH0/s72-c/panya.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-6159116221710052577</id><published>2011-01-05T11:49:00.003+03:00</published><updated>2011-01-05T12:01:02.611+03:00</updated><title type='text'>VIWAVI JESHI WAVAMIA MASHAMBA MASASI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSQzEPWgAxI/AAAAAAAABHs/Djj4A4xDCE4/s1600/ARMY%2BWORMS.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 229px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSQzEPWgAxI/AAAAAAAABHs/Djj4A4xDCE4/s400/ARMY%2BWORMS.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5558623988015432466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara imevamiwa na viwavi jeshi tangu mwisho wa mwaka 2010 na mwanzo wa mwaka huu na kuharibu zaidi ya Ekari 300 za mazao aina mbali mbali yalimwayo katika wilaya hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viwavi hao wameonakena kwa wastani wa wiki mbili walionekana kwa wingi zaidi katika vijiji vya Mkaseka, Lulindi, Mbaju, Chigugu na Namalenga wilayani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wilaya za jirani ziliweza kuwasaidia wilaya ya masasi kwa kuwapa dawa za kuulia wadudu hao hatari kwa mazao, Wilaya ya Tandahimba ilitoa dawa kiasi cha lita 100 wakati wilaya yaNAnyumbu ilitoa kiasi cha lita 20 na kufanya kuwa na jumla ya lita 120. Mahitaji kamili baada ya makisio ya awali yalikuwa lita 150 kwa hiyo baada ya kupewa lita 120 kumekuwa na upungufu wa lita 30, hii ni kwa mujibu wa mkuu wa wilaya hiyo Nape Nnauye wakati akitoa taarifa hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSQzMVHPZ2I/AAAAAAAABH0/iJNJJ17sQsE/s1600/armyworms%2B2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 311px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSQzMVHPZ2I/AAAAAAAABH0/iJNJJ17sQsE/s400/armyworms%2B2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5558624127000995682" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jitihada za kupiga dawa na mvua zinazoendelea kunyesha zimeonyesha matunda makubwa na sasa hivi wakulima wameanza tena kupanda mazao ya mtama, mahindi na mihogo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-6159116221710052577?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/6159116221710052577/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=6159116221710052577&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6159116221710052577'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6159116221710052577'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/01/viwavi-jeshi-wavamia-mashamba-masasi.html' title='VIWAVI JESHI WAVAMIA MASHAMBA MASASI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TSQzEPWgAxI/AAAAAAAABHs/Djj4A4xDCE4/s72-c/ARMY%2BWORMS.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5008251379804248013</id><published>2011-01-02T10:30:00.003+03:00</published><updated>2011-01-02T11:46:59.271+03:00</updated><title type='text'>GLOBAL WARMING - a song by ALEX KAJUMULO (bush man)</title><content type='html'>Hi all&lt;br /&gt;For those who are environmentalist or anyone who love our planet, our Brother Alex Kajumulo (bushman) has released a new song entitled GLOBAL WARMING. This song is concerning global warning and its effect world wide, now the song is used by many countries (including Russia)were by the song is being used to teach and educate students the effects of global warning, down here you can find the lyrics for the song written in English, for any one who needs lyrics translated to Russian, please contact me. For today lets watch another song From Bushman (Zuwena) while we are waiting a video of global warming song&lt;br /&gt;thanks&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;LYRICS&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Global Warming   &lt;br /&gt; It’s dangerous&lt;br /&gt;Global Warming &lt;br /&gt; You know it’s real&lt;br /&gt;Global Warming   &lt;br /&gt; It’s dangerous&lt;br /&gt;Global Warming&lt;br /&gt;You got to think about it&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;People you got to listen&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Think about your children&lt;br /&gt;Think about your grany kids&lt;br /&gt;Think about the nature&lt;br /&gt;Think about the animals&lt;br /&gt;Think about your children &lt;br /&gt;Think about your grany&lt;br /&gt;Where are they gonna go&lt;br /&gt;Where are they gonna live &lt;br /&gt;If you care about them&lt;br /&gt;You destroy the mankind and nature&lt;br /&gt;You destroy the animal home&lt;br /&gt;Where are they gonna  go&lt;br /&gt;Where are they gonna live if you care about it&lt;br /&gt;When you listen to this sound it’s a warning about global warming&lt;br /&gt;It’s an original sound &lt;br /&gt;By the bushman&lt;br /&gt;Be careful about global warming&lt;br /&gt;If you care about the future about your grand children or your children&lt;br /&gt;By listening to the beautiful sound and original&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Got to head the warning of the global warming&lt;br /&gt;It’s a real thing, it’s a real thing&lt;br /&gt;If you care about the children &lt;br /&gt;Future generation got to act now some how&lt;br /&gt;Be careful about global warming&lt;br /&gt;If you care about the future of the future of your grandchildren or your children&lt;br /&gt;The green house gasses how it’s polluting our planetary system&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;The ice caps melting, glaciers receding&lt;br /&gt;Hey Kilimanjaro where did your snow go?&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;It’s dangerous, you know it’s real  &lt;br /&gt;Got to head the warning of the global warming&lt;br /&gt;It’s a real thing, it’s a real thing&lt;br /&gt;If you care about the children &lt;br /&gt;Future generation got to act now some how&lt;br /&gt;Global Warming&lt;br /&gt;Global Warming&lt;br /&gt;Global Warming&lt;br /&gt;It’s a real thing&lt;br /&gt;It’s dangerous&lt;br /&gt;Global Warming&lt;br /&gt;The future is now &lt;br /&gt;Tomorrow is coming &lt;br /&gt;You got to do the right thing&lt;br /&gt;Think of the children and the children’s children&lt;br /&gt;It’s dangerous&lt;br /&gt;Global Warming&lt;br /&gt;Global Warming&lt;br /&gt;Global Warming&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-78b4d8e5f3fc53c7" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v13.nonxt3.googlevideo.com/videoplayback?id%3D78b4d8e5f3fc53c7%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D7D3BC4C7E11C46774EB83C28B98BC53633829D6.6C557EFD2146223A9550E86DF45D8B9B55530D6E%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D78b4d8e5f3fc53c7%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DwpBh9l8knxzqNf5Etubbt5YPY7k&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v13.nonxt3.googlevideo.com/videoplayback?id%3D78b4d8e5f3fc53c7%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D7D3BC4C7E11C46774EB83C28B98BC53633829D6.6C557EFD2146223A9550E86DF45D8B9B55530D6E%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D78b4d8e5f3fc53c7%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DwpBh9l8knxzqNf5Etubbt5YPY7k&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5008251379804248013?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5008251379804248013/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5008251379804248013&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5008251379804248013'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5008251379804248013'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/01/global-warming-song-by-alex-kajumulo.html' title='GLOBAL WARMING - a song by ALEX KAJUMULO (bush man)'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-824235239614832642</id><published>2011-01-02T08:06:00.004+03:00</published><updated>2011-01-02T10:30:19.953+03:00</updated><title type='text'>GLOBAL WARMING  - HOW TO PREVENT</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;In order to reduce the harmful effects of global warming, the following steps should be taken&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;•  Reduce the amount of waste products incurred by industrial plants that contribute to destruction of the ozone layer. Strict laws should be enforced that cut down on factory emissions of polluted air into the environment. Some examples of harmful pollutants are ethane, sulfur dioxide, carbon dioxide, chlorofluorocarbons (CFCs), and carbon monoxide. &lt;br /&gt;•  Encourage industries to develop technologies that use waste materials as raw materials. This will cut down on harmful emissions and reduce industrial waste. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Use alternative sources of energy whenever possible. Alternative energy like hydroelectric power, wind power, and solar power should replace those energy sources like oil and coal that produce toxic gases like sulfur dioxide and carbon dioxide. Factories should use low-sulfur fuels-high-sulfur materials mix with water vapor and create acid rain that damages the environment. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Prevent industrialized countries from producing poisonous chemicals like chemical fertilizers that spread carbon monoxide into the environment. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Plant more trees that soak up carbon dioxide and release oxygen. Afforestation and reforestation are the most important ways to reduce the harmful gases in the atmosphere that damage the ozone layer and increase global warming. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Reduce the toxic gases motor vehicles eject into the atmosphere as exhaust fumes. We should focus research and resources on developing internal combustion engines that don't emit so much exhaust that can destroy the environment. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Decrease intoxicants emitted by factories and cars. This can be done by using gadgets that convert smoke into vapor and carbon dioxide, which are currently being developed in many industrialized nations. Alternatively, we should try to make hydrogen fuel a more viable option than it is currently-hydrogen does not pollute the environment like oil and coal, but it's difficult to store and distribute. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Reduce the amount of heavy industries in developed countries. The ozone layer is like a heavy blanket above the Earth's atmosphere that plays an important role in minimizing the amount of direct sun light that hits the Earth's surface. The ozone layer can be damaged by gaseous emissions from heavy industries in countries like the US, England, France, and others. Global warming results from industrial development and can be minimized if developed countries work to decrease exhaust from industrial plants. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Reduce the production and testing of nuclear weapons. A nuclear explosion causes great harm to the environment, so we should discourage countries from testing them. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Confront global warming worldwide. Global warming affects everyone in the world-its impacts are not confined to certain countries, like industrialized ones. All people throughout the world suffer from the impacts of global warming and a damaged ozone layer. Therefore, countries should work together to confront this problem as a unified movement. War and fighting throughout the world should not prevent countries from understanding that global warming affects everyone equally. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Educate people about how to conserve the environment, and how important it is to practice conservation. This is the most important means to controlling the spread of global warming. Secondly, governments should work with industries to place filters in their exhaust systems so that fewer toxic chemicals are released into the atmosphere. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•  Use more alternative sources of energy. Only when people put environmental conservation first and work to modify industries so that they don't harm the environment as much will we decrease the affects of global warming.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-824235239614832642?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/824235239614832642/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=824235239614832642&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/824235239614832642'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/824235239614832642'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2011/01/global-warming-how-to-prevent.html' title='GLOBAL WARMING  - HOW TO PREVENT'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-1255857259435378227</id><published>2010-12-24T12:43:00.013+03:00</published><updated>2010-12-24T13:08:10.412+03:00</updated><title type='text'>SALAMU TOKA KWA DADA NAYMA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRssL-tU2I/AAAAAAAABGE/i-PV1ncRUEc/s1600/msosi.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRssL-tU2I/AAAAAAAABGE/i-PV1ncRUEc/s400/msosi.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554183746840515426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kaka Ben Salaam&lt;br /&gt;Leo nimekula ugali nyama na mchicha. Jana nilienda shamba nikachuma mchicha wa shambani kwangu, na mahindi ya ugali wa shambani kwangu, baadhi ya siku huwa nakula kande jioni ya mahindi ya shambani kwangu huwa nakula ndizi za shambani kwangu nakula mayai ya mifugo yangu na mapapai makomamanga, mihogo na viazi kuku wa kienyeji mifugo yangu mapera na mastafeli. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRr_SgwFbI/AAAAAAAABF0/lz9zDEZo51w/s1600/msosi%2B3.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRr_SgwFbI/AAAAAAAABF0/lz9zDEZo51w/s400/msosi%2B3.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554182975499802034" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unajua nilianzaje kupenda kilimo? niliingiwa uchungu siku moja kwenda sokoni nikauziwa papai sh 1500/- du nikaamua kuanza kupanda site miti ya matunda hadi ikawa imezidi ndipo nikaamua kutafuta shamba kwa ajili ya mahitaji ya nyumbani kwangu nilifanikiwa hivyo matunda mengi siku hizi nakula natoa site nilikopanda miaka ya nyuma kuna ndizi aina kama sita, michungwa miwili mfenesi mmoja umeshaanza kuzaa muembe  mmoja mkomamanga  m-peach na m-apple ingawa hiyo m-apple sijala matunda bado mihogo kidogo. Huko shambani ndoko nimepatas uhuru wa kupanda kila ninachoona nakipenda ili niweze kula. Nusu ua shamba napanda mitiki kwa ajili ya kulinda shamba langu, Hahahahaha  Back to Eden.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;NAYMA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRsX1nAMlI/AAAAAAAABF8/QoIK1d1boK8/s1600/msosi2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRsX1nAMlI/AAAAAAAABF8/QoIK1d1boK8/s400/msosi2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554183397238125138" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRw0S5l1YI/AAAAAAAABHc/d15idmgMlMo/s1600/Image488.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRw0S5l1YI/AAAAAAAABHc/d15idmgMlMo/s400/Image488.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554188284183565698" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRwWLhteAI/AAAAAAAABHU/NRmYJzeR-YU/s1600/Image539.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRwWLhteAI/AAAAAAAABHU/NRmYJzeR-YU/s400/Image539.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554187766808279042" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRvuaPCCCI/AAAAAAAABHM/kMUywMzYlvc/s1600/Image446.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRvuaPCCCI/AAAAAAAABHM/kMUywMzYlvc/s400/Image446.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554187083561699362" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRvXx1qbZI/AAAAAAAABHE/pRieRuVIhaU/s1600/Image442.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRvXx1qbZI/AAAAAAAABHE/pRieRuVIhaU/s400/Image442.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554186694760754578" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRvLWP8F_I/AAAAAAAABG8/KYXFNDgvIVU/s1600/Image439.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRvLWP8F_I/AAAAAAAABG8/KYXFNDgvIVU/s400/Image439.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554186481196341234" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRuySCm1eI/AAAAAAAABG0/abZhNX5g_GE/s1600/Image434.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRuySCm1eI/AAAAAAAABG0/abZhNX5g_GE/s400/Image434.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554186050569950690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRukHs8S9I/AAAAAAAABGs/-j7GMjDng6s/s1600/Image434.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRukHs8S9I/AAAAAAAABGs/-j7GMjDng6s/s400/Image434.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554185807276559314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRuZBbKTaI/AAAAAAAABGk/-5YlXsiOMEc/s1600/Image433.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRuZBbKTaI/AAAAAAAABGk/-5YlXsiOMEc/s400/Image433.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554185616612806050" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRuLK3iLxI/AAAAAAAABGc/QQM86zUFoC0/s1600/Image347.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRuLK3iLxI/AAAAAAAABGc/QQM86zUFoC0/s400/Image347.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554185378629562130" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRtvck1dUI/AAAAAAAABGU/ZEeWt4vgVMc/s1600/Image150.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRtvck1dUI/AAAAAAAABGU/ZEeWt4vgVMc/s400/Image150.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554184902346634562" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRtS3SnF_I/AAAAAAAABGM/gVnHu_XN9ZI/s1600/Image068.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRtS3SnF_I/AAAAAAAABGM/gVnHu_XN9ZI/s400/Image068.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5554184411301746674" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-1255857259435378227?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/1255857259435378227/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=1255857259435378227&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1255857259435378227'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1255857259435378227'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/12/salamu-toka-kwa-dada-nayma.html' title='SALAMU TOKA KWA DADA NAYMA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TRRssL-tU2I/AAAAAAAABGE/i-PV1ncRUEc/s72-c/msosi.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4586005431549333376</id><published>2010-12-13T20:36:00.008+03:00</published><updated>2010-12-13T20:55:05.840+03:00</updated><title type='text'>KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO</title><content type='html'>Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga (Lushoto), Mbeya, Ruvuma, Tabora na Arusha. Kilimo hiki kinaendeshwa na wakulima wadogo katika maeneo yenye ukubwa wa kati ya hekta 0.2-0.4 pia kuna maeneo ya wakulima wakubwa wenye hekta kati ya 2-20. Wakulima hao hujishughulisha na kilimo cha zao hilo kwa njia ya mkataba na kampuni hiyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoho hutumika katika kutengeneza rangi za asili za vyakula ambazo kwa sasa hupendwa zaidi kuliko zile zinazotokana na kemikali na pia huongeza ladha na harufu katika vyakula. Hivyo hutumika katika viwanda vya kusindika vyakula, kwa mapishi ya nyumbani na hata katika viwanda vya vipodozi kama rangi ya mdomo, uso n.k. Ina virutubisho muhimu vinavyohitajika mwilini kama madini ya chuma, vitamin A na C.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZcd4OZq3I/AAAAAAAABFo/qHdrnE6RetU/s1600/hoho.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 309px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZcd4OZq3I/AAAAAAAABFo/qHdrnE6RetU/s400/hoho.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5550225259159464818" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2.0 TABIA YA MMEA&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Hoho ni zao la jamii ya pilipili isiyo kali, tunda lake ni nene kiasi la duara pia linaweza kuwa lililochongoka,. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3.0 ENEO NA HALI YA HEWA INAYOFAA KWA KILIMO &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Hoho hustawi vema katika maeneo ya usawa wa bahari hadi mwinuko wa mita 2,000 yenye mvua ya wastani wa mm.600-1,250 na wastani wa joto la nyuzi za sentigredi 21 hadi 24. Udongo wa tifitifu wenye rutuba, usiotuamisha maji na wenye hali ya uchachu (pH) kati ya 5.0-6.5 hufaa zaidi. Umwagiliaji ni muhimu pale mvua inapokuwa chache. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4.0 UZALISHAJI &lt;br /&gt;4.1 UTAYARISHAJI WA KITALU&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Chagua eneo katika ardhi isiyo na mtelemko mkali na yenye rutuba ya kutosha. Ardhi iwe imepumzishwa bila kuoteshwa mazao ya jamii ya pilipili, biringanya, nyanya, n.k. ili kuepukana na mashambulizi ya wadudu na magonjwa. &lt;br /&gt;Tayarisha kitalu kabla ya msimu wa mvua. Andaa vizuri matuta manne yenye urefu wa wastani wa mita 10 kila moja na upana wa mita moja (1) ili kustawisha miche inayotosha ekari moja. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha njia ya nusu mita kati ya tuta na tuta. Mwagilia maji ya kutosha siku moja kabla ya kusia mbegu na endelea kunyweshea kulingana na hali ya hewa na hali ya udongo. Sia mbegu kwenye, mstari, nafasi kati ya mstari na mstari ni sm 10 na kina cha sm1. Kiasi cha mbegu cha nusu kilo kinatosha eneo la hekta moja. Weka matandazo kwenye kitalu au tumia nailoni nyeusi ili kuhifadhi unyevunyevu na kuzuia uotaji wa magugu. &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;4.2 UTAYARISHAJI WA SHAMBA &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Shamba lilimwe vizuri na kuweka matuta ili kuhifadhi unyevunyevu na kurahisisha umwagiliaji. Matuta yanaweza kuwa makubwa au madogo kulingana na matakwa ya mkulima. Matuta makubwa hupandwa mistari miwili na matuta madogo hupandwa mstari mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZbewZdTMI/AAAAAAAABFg/ayeV89hBR-0/s1600/hoho%2Bnyekundu.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 341px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZbewZdTMI/AAAAAAAABFg/ayeV89hBR-0/s400/hoho%2Bnyekundu.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5550224174726597826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt; 4.3 UPATIKANAJI WA MBEGU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mbegu ambazo hutumika ni chotara ambazo huuzwa kwenye maduka ya pembejeo za kilimo nchi nzima. Haishauriwi kutumia mbegu kutoka zao la msimu uliopita kwani ubora wa paprika utaharibika na hivyo kuharibu soko unashauriwa kununua mbegu bora. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4.4 UPANDAJI&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Mbegu huoteshwa na kukuzwa kitaluni kwa muda wa wiki 6-8 na miche hupandikizwa shambani ikiwa na urefu wa sm.6-10. Mwagilia maji kitaluni kabla ya kuhamisha miche. Panda shambani kwa nafasi ya sm.75-90 kati ya miche kwa sm.90-105 kati ya mistari, wastani wa miche 12,500 itapatikana kwa hekta. Weka samadi shambani tani 25-37 kwa hekta wiki 1-2 kabla ya kupandikiza miche, au kilo 560-670 za NPK (mbolea ya viwandani) kwa hekta kwa uwiano wa 4:7:7 katika udongo usio na rutuba ya kutosha. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ITALIAN PAPRIKA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZa-Q7vbEI/AAAAAAAABFY/o1LKsEktlSY/s1600/italian%2Bpaprika.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 399px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZa-Q7vbEI/AAAAAAAABFY/o1LKsEktlSY/s400/italian%2Bpaprika.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5550223616524643394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5.0 KUHUDUMIA SHAMBA&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Palizi ifanyike mara magugu yanapotokea shambani. Umwagiliaji maji ufanyike kama ilivyo kwa mazao mengine kama nyanya. Tumia mbolea kiasi cha kilo 140 za SA au CAN kwa hekta hasa wakati mmea inapotoa matunda ili kupata matunda makubwa na kuvuna kwa muda mrefu (hadi miezi 10). &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;6.0 MAGONJWA NA WADUDU &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wadudu &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Funza wa vitumba &lt;br /&gt;• Vidukari &lt;br /&gt;• Kidomozi (Leaf miner) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kudhibiti: Tumia dawa aina ya permethrin&lt;br /&gt;Magonjwa &lt;br /&gt;•    Kuoza mizizi &lt;br /&gt;• Mnyauko wa majani &lt;br /&gt;•    Batobato &lt;br /&gt;Kudhibiti: Choma nyasi kwenye kitalu kabla ya kusia mbegu. &lt;br /&gt;Badilisha mazao yasiyo ya jamii ya pilipili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;7.0 UVUNAJI&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Matunda ya kwanza huwa tayari kuvunwa kuanzia miezi 2-3 baada ya kupandikizwa; matunda yaliyokomaa vizuri na kuwa na rangi nyekundu ndiyo huvunwa. Matunda 30-80 hupatikana kwa mmea mmoja. &lt;br /&gt;Ubora wa hoho huongezeka kutegemeana na kiwango cha rangi yake ikiwa ni nyekundu njano au kijani. Mazao kiasi cha tani 3.5 kwa hekta hupatikana. Baada ya kuvuna mwagilia maji, piga dawa (kama ni muhimu) na weka mbolea kuongeza uzalishaji unaofuata. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;8.0 USINDIKAJI &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoho huuzwa ikiwa bado fresh tofauti na jamii nyingine za pilipili ambazo zinaweza kukaushwa na kusindikwa kasha kuuzwa baadae. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZam84OAtI/AAAAAAAABFQ/Q0AATa6Y3IU/s1600/hoho%2Bua.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 339px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZam84OAtI/AAAAAAAABFQ/Q0AATa6Y3IU/s400/hoho%2Bua.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5550223216004170450" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;9.0 SOKO LA PAPRIKA &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Soko la hoho lipo nchi nzima kwenya masoko makubwa na hata magengeni, hoho hutumiwa zaidi kama kiungo cha kupikia mapishi mbali mbali au kutia kwenye kachumbari. Tatizo kubwa wanalokabiliana nalo wakulima ni kutokuwa na soko la uhakika ndani na nje ya nchi, mazao huweza kuoza shambani au njiani kutokana na tabu ya usafiri hasa vijijini ambapo mvua zikinyesha barabara hazipitiki kwa urahisi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna aina ya pilipili isiyo kali kama hoho lakini ni ndefu kama pilipili za kawaida ijulikanayo kama PAPRIKA ambayo ina soko kubwa nje ya nchi. Zao hili kwa sasa huzalishwa kwa msukumo wa kampuni ya kigeni ya Hispania inayoitwa Tanzania Spices Ltd iliyopo mkoani Iringa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZaPHOJ_AI/AAAAAAAABFI/88LDpHGT3rA/s1600/hoho%2Bkijani.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 357px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZaPHOJ_AI/AAAAAAAABFI/88LDpHGT3rA/s400/hoho%2Bkijani.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5550222806463675394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;10.0 GHARAMA YA UZALISHAJI WA HEKTA MOJA:&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Mbegu Tshs. 24,000 /- &lt;br /&gt;Vibarua 200,000/- &lt;br /&gt;Mbolea(mboji/samadi) 300,000/- &lt;br /&gt;Madawa 100,000/- &lt;br /&gt;Jumla 624,000/- &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAPATO:&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Kilo 3,500/- X 800/- 2,800,000/-&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4586005431549333376?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4586005431549333376/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4586005431549333376&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4586005431549333376'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4586005431549333376'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/12/kilimo-bora-cha-pilipili-hoho.html' title='KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TQZcd4OZq3I/AAAAAAAABFo/qHdrnE6RetU/s72-c/hoho.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4639745024414249753</id><published>2010-11-24T19:44:00.002+03:00</published><updated>2010-11-24T19:59:51.033+03:00</updated><title type='text'>MATAPELI WA SAMAKI WA UREMBO</title><content type='html'>Kumekuwa na baadhi ya watu ambao huwatapeli baadhi ya watu kwa kuwauzia samaki wa baharini na kuwaambia kwamba niwa maji baridi, wanachofanya ni kuwavua samaki wa maji chumvi toka baharini, na kisha kuwaweka kwenye chombo kizuri chenye maji baridi yasiyo na chumvi, wakiwa humo huweza kushi hata zaidi ya masaa 12 na ndipo huanza kuishiwa nguvu na baadae kufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida samaki wa baharini ni wazuri zaidi ya wale wa maji baridi, na hii ndio huwavutia zaidi watu wasio na uelewa wa samaki wa urembo na kuwa nunua, kwa kawaida matapeli hawa utawakuta kwenye makutano ya barabara kubwa na huuza samaki hawa kwa wenye magari wakati wa foleni kubwa za jioni, na wakisha kuuzia kesho huama eneo hilo na kuamia lingine maana wanajua kwamba utawatafuta&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu niliyemnasa kwenye video hii alikuwa kwenye mataa ya Ubungo, mimi nilikuwa natokea mwenge kuelekea maeneo ya Ilala&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-2885731c66845cc2" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v3.nonxt2.googlevideo.com/videoplayback?id%3D2885731c66845cc2%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D2C1CBD5333881F277D11EDF59A4F494798BD2D3E.1327D2BB128DD0282D6503163B0F98FB11887276%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D2885731c66845cc2%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3D0iDM4ikurXzoYgazvwwgIKIII7s&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v3.nonxt2.googlevideo.com/videoplayback?id%3D2885731c66845cc2%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D2C1CBD5333881F277D11EDF59A4F494798BD2D3E.1327D2BB128DD0282D6503163B0F98FB11887276%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D2885731c66845cc2%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3D0iDM4ikurXzoYgazvwwgIKIII7s&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4639745024414249753?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4639745024414249753/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4639745024414249753&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4639745024414249753'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4639745024414249753'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/11/matapeli-wa-samaki-wa-urembo.html' title='MATAPELI WA SAMAKI WA UREMBO'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-1951676822124906702</id><published>2010-11-18T17:42:00.007+03:00</published><updated>2010-11-18T18:18:29.016+03:00</updated><title type='text'>KILIMO BORA CHA MAEMBE</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVC2pNWebI/AAAAAAAABFA/NZPQl7o5_Aw/s1600/MAEMBE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 292px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVC2pNWebI/AAAAAAAABFA/NZPQl7o5_Aw/s400/MAEMBE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5540908423091485106" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maembe hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Tabora, Pwani, Mtwara, Tanga, Mwanza, Morogoro na Mbeya. Uzalishaji wake ni wastani wa tani 159,472 kwa mwaka. Maembe ni zao muhimu la biashara na chakula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA UZALISHAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ili kupata mazao bora ni muhimu kuzingatia kanuni bora za kilimo cha maembe hasa kanuni&lt;br /&gt;zifuatazo:&lt;br /&gt;Kuchagua aina bora ya kupanda kulingana na mahitaji ya soko.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;DHIBITI MAGONJWA, WADUDU, NA MAGUGU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Fanya ukaguzi wa shamba mara kwa mara ili uweze kudhibiti wadudu na magonjwa ya matunda kabla madhara hayajawa makubwa&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;UGONJWA WA KUTU KWENYE MAJANI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOU9mwYgxoI/AAAAAAAABEg/d0jO9Agg26E/s1600/MAEMBE%2BKUTU.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOU9mwYgxoI/AAAAAAAABEg/d0jO9Agg26E/s400/MAEMBE%2BKUTU.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5540902652581299842" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Ni muhimu kudhibiti wadudu, magonjwa na magugu ili kupata mazao bora ambayo yatapata soko zuri na kuweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu.&lt;br /&gt;• Hakikisha shamba ni safi wakati wote ili kupata matunda bora na kurahisisha uvunaji.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MAANDALIZI KABLA YA KUVUNA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kusafisha shamba pamoja na barabara za shamba&lt;br /&gt;• Safisha shamba ili kurahisisha uvunaji na usafirishaji shambani.&lt;br /&gt;Kukagua shamba kuona maembe kama yamekomaa Maembe hukomaa katika kipindi cha miezi 4 hadi-6 tangu kutoa maua kutegemea hali ya hewa na aina.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;DALILI ZA MAEMBE YALIYOKOMAA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Maembe hung’ara&lt;br /&gt;• Kwa aina nyingine rangi ya kijani hufifia na kuanza kubadilika kuwa ya manjano.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;ANDAA VIFAA VYA KUBEBEA, SEHEMU YA KUFUNGASHIA NA USAFIRI.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;VIFAA VYA KUBEBEA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Ngazi&lt;br /&gt;• Vikapu&lt;br /&gt;• Mifuko&lt;br /&gt;• Ndoo&lt;br /&gt;• Vichumio&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;VIFAA VYA KUFUNGASHIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Makasha ya mbao/plastiki na ya makaratasi magumu na matenga&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;VYOMBO VYA KUSAFIRISHIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Matoroli&lt;br /&gt;• Magari&lt;br /&gt;• Baiskeli&lt;br /&gt;• Matela ya matrekta&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUVUNA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Njia bora ya kuvuna maembe ni Kuchuma kwa mkono&lt;br /&gt;• Kwa miembe mifupi chuma maembe pamoja na kikonyo chake&lt;br /&gt;• Kwa miembe mirefu chuma kwa kutumia kichumio maalumu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KICHUMIO MAALUM&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVAd6EhzxI/AAAAAAAABEo/e7bZlQOY95E/s1600/KICHUMIO2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 210px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVAd6EhzxI/AAAAAAAABEo/e7bZlQOY95E/s400/KICHUMIO2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5540905799097896722" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Acha kikonyo chenye urefu wa sentimita tatu hadi nne ili kuzuia madoa ya utomvu. Utomvu huchafua matunda na hushusha ubora. Pia embe lililovunwa bila kikonyo chake huingiliwa na vimelea vya ugonjwa kwa urahisi.&lt;br /&gt;• Vuna wakati wa asubuhi au jioni ili kuepuka jua kali linaloweza kubabua matunda.&lt;br /&gt;• Wakati wa kuvuna hakikisha maembe hayadondoshwi chini, ili kuepuka kuchubuka kwa matunda ama kupondeka hasa yale yaliyoiva barabara. Aidha beba matunda kwa vikapu au mifuko na kusanya kwenye kivuli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVBR1aip7I/AAAAAAAABEw/ubA-JzWc_oM/s1600/KICHUMIO.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 281px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVBR1aip7I/AAAAAAAABEw/ubA-JzWc_oM/s400/KICHUMIO.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5540906691201247154" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUCHAMBUA MAEMBE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kuchambua ni kutenga matunda yaliyooza, kupasuka, yenye dalili za magonjwa au kubonyea, ili kupata matunda yenye ubora kwa ajili ya matumizi, kusindika au kuuza.&lt;br /&gt;• Matunda yaliyooza na yenye wadudu ni vyema yafukiwe ili kuzuia kuenea kwa wadudu waharibifu na vimelea vya magonjwa.&lt;br /&gt;• Matunda yaliyopasuka, kubonyea , kuchubuka kidogo wakati wa kuvuna au kuiva sana yatumike haraka kwa chakula.&lt;br /&gt;• Matunda mazuri ambayo hayajapata madhara yoyote yatunzwe kwa ajili ya kusindikwa, kutumika au kuuzwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUSAFISHA MAEMBE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Baada ya kuchambua, safisha matunda kwa maji safi ili kuondoa uchafu na mabaki ya madawa.&lt;br /&gt;• Maembe yanayokusudiwa kuuzwa nje ya nchi hunyunyiziwa nta ili kuzuia kunyauka na kudumisha ubora.&lt;br /&gt;• Baada ya kusafisha tumbukiza maembe kwenye maji yenye nyuzi joto zipatazo 52 za Sentigredi kwa muda wa dakika tano. Maji haya pia yanaweza kuchanganywa na madawa ya klorini asilimia 1 ili kuzuia magonjwa ya ukungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUPANGA MADARAJA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Madaraja hupangwa kwa lengo la kurahisisha ufungashaji, usafirishaji na uuzaji. Madaraja hupangwa kulingana na ubora, ukubwa , aina rangi na uivaji.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KUFUNGASHA MAEMBE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ufungashaji hufanyika katika sehemu safi na yenye kivuli. Ufungashaji wa kujaza kupita kiasi husababisha upotevu wa maembe. Aidha ubora hushuka kutokana na kuminyana na kubonyea kwa matunda wakati wa kusafirisha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TENGA LA KUFUNGASHIA MAEMBE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVCBazi1oI/AAAAAAAABE4/ICv1QiCIBTA/s1600/MAEMBE%2BTENGA.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 381px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVCBazi1oI/AAAAAAAABE4/ICv1QiCIBTA/s400/MAEMBE%2BTENGA.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5540907508692080258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inashauriwa kufungasha kwenye makasha ya mbao/ plastiki , makaratasi magumu au tenga kwa sababu zifuatazo:&lt;br /&gt;• Matunda yanaweza kupangwa na kusafirishwa bila kuchubuka, kubonyea au kupasuka.&lt;br /&gt;• Huweza kupakiwa na kupakuliwa kwenye chombo cha usafiri kwa urahisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa ufungashaji ni muhimu kuzingatia yafuatayo:&lt;br /&gt;• Kasha moja lisizidi uzito wa kilo 20 ili kurahisisha ubebaji.&lt;br /&gt;• Makasha yawe imara na yenye matundu ya kutosha ili kuruhusu mzunguko wa hewa.&lt;br /&gt;• Ni muhimu kutanguliza vitu vilivyo safi ndani ya vifungashio ili kuzuia michubuko na mipasuko ya matunda wakati wa kusafirisha.&lt;br /&gt;• Maembe yapangwe kwa kubananisha na kwa kuhakikisha kuwa vikonyo havitoboi matunda na kusababisha majeraha wakati wa kusafirisha. Kubananisha matunda husaidia kuzuia mgongano unaoweza kusababisha matunda kusambaratika na hivyo kubonyea au kupasuka wakati wa kusafirisha.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;KUSAFIRISHA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ili kuepuka upotevu na uharibifu wakati wa kusafirisha, ni muhimu maembe yapangwe kwenye vyombo vya kufungashia na kusafirisha kwa uangalifu, ndani ya matela, mikokoteni na magari. Epuka kutupa matunda wakati wa kupakia na kupakua. Wakati wa kupanga mazao katika vyombo vya usafiri yasirundikwe ovyo na yasijazwe kupita kiasi ili yasimwagike. Vilevile yafunikwe ili yasipigwe na jua. Jua huongeza kasi ya kuoza. Matunda yakipigwa na jua kwa muda wa saa mbili mfululizo husababisha kuoza kwa asilimia 100.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;KUHIFADHI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Maembe huweza kuhifadhiwa kwenye chumba chenye hali ya hewa yenye joto la nyuzi 8 hadi 10 za Sentigredi na unyevu wa asilimia 85 hadi 90. Katika hali hiyo, maembe yanaweza kuhifadhiwa bila kuharibika kwa mwezi mmoja.&lt;br /&gt;• Kagua mara kwa mara ili kugundua uharibifu unaoweza kutokea&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-1951676822124906702?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/1951676822124906702/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=1951676822124906702&amp;isPopup=true' title='10 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1951676822124906702'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1951676822124906702'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/11/kilimo-bora-cha-maembe.html' title='KILIMO BORA CHA MAEMBE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TOVC2pNWebI/AAAAAAAABFA/NZPQl7o5_Aw/s72-c/MAEMBE.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>10</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-9187958373500895786</id><published>2010-10-09T12:24:00.011+03:00</published><updated>2010-10-09T12:55:27.761+03:00</updated><title type='text'>KITUO CHA KUZALISHA NA KUFUGA SAMAKI KINGOLWIRA - MOROGORO</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA5F6jDEoI/AAAAAAAABEY/yuTIdaFIsJk/s1600/kingo.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA5F6jDEoI/AAAAAAAABEY/yuTIdaFIsJk/s400/kingo.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525979516561986178" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MSAIDIZI WA BWANA KALINGA akiwalisha kambale kwenye bwawa la kufugia&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA47jvZZqI/AAAAAAAABEQ/OM0V6i4z3rM/s1600/lisha.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA47jvZZqI/AAAAAAAABEQ/OM0V6i4z3rM/s400/lisha.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525979338641073826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4wXQTlzI/AAAAAAAABEI/erKrQSV1MQ8/s1600/mimi.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4wXQTlzI/AAAAAAAABEI/erKrQSV1MQ8/s400/mimi.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525979146310883122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4oazXbRI/AAAAAAAABEA/fmFtrzUNPgI/s1600/kalinga+2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4oazXbRI/AAAAAAAABEA/fmFtrzUNPgI/s400/kalinga+2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525979009824288018" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BUSTANI ya mipapai, maji yakitolewa kwenye mabwawa hutumika kumwagilia bustani hii&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4gR2T54I/AAAAAAAABD4/zpJ9fpuU2kA/s1600/bustani.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4gR2T54I/AAAAAAAABD4/zpJ9fpuU2kA/s400/bustani.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525978869981767554" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BATA akiogelea na kusaidia mzunguko wa oksijen kwenye maji&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4Yb7zuzI/AAAAAAAABDw/Mn3IYQsgdok/s1600/aeration.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4Yb7zuzI/AAAAAAAABDw/Mn3IYQsgdok/s400/aeration.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525978735250225970" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BWAWA lililochimbwa tayari kwa matumizi, mabanda ya bata na kuku yakiwa pembeni tayari&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4GnDz8nI/AAAAAAAABDo/C0zQZNK_hlg/s1600/chimba.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA4GnDz8nI/AAAAAAAABDo/C0zQZNK_hlg/s400/chimba.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525978428998939250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TANKI LIKIJENGWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA365VbU1I/AAAAAAAABDg/6tA6_uxpqFM/s1600/tanki+jenga.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA365VbU1I/AAAAAAAABDg/6tA6_uxpqFM/s400/tanki+jenga.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525978227746231122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TANKI LA KULELEA VIFARANGA VYA SAMAKI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA3zfi8L5I/AAAAAAAABDY/bvdcCsMmd8E/s1600/tank.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA3zfi8L5I/AAAAAAAABDY/bvdcCsMmd8E/s400/tank.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525978100564504466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MTAALAMU BWANA KALINGA AKINIPA MAELEZO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA3nRRjIII/AAAAAAAABDQ/pwpVNXD3jdQ/s1600/kalinga.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA3nRRjIII/AAAAAAAABDQ/pwpVNXD3jdQ/s400/kalinga.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525977890575032450" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MTAMBO WA KUTOTOLESHEA MAYAI YA KAMBALE MAABARA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA3cW1slKI/AAAAAAAABDI/kver4_Tu8o4/s1600/mtambo+wa+kambale.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA3cW1slKI/AAAAAAAABDI/kver4_Tu8o4/s400/mtambo+wa+kambale.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525977703090263202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA1e1gXWMI/AAAAAAAABDA/Ap6f7FtnuxA/s1600/maelezo.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA1e1gXWMI/AAAAAAAABDA/Ap6f7FtnuxA/s400/maelezo.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525975546658773186" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MASHINE YA KUSAGIA CHAKULA CHA SAMAKI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA1U6BsXuI/AAAAAAAABC4/Loqm-MULNVs/s1600/mashine+ya+kusagia.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA1U6BsXuI/AAAAAAAABC4/Loqm-MULNVs/s400/mashine+ya+kusagia.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525975376073613026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHAKULA CHA SAMAKI&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA1JcrN2iI/AAAAAAAABCw/JjMmpOYtSjs/s1600/chakula+maabara.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA1JcrN2iI/AAAAAAAABCw/JjMmpOYtSjs/s400/chakula+maabara.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525975179216149026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KWA MAWASILIANO NA BW KALINGA&lt;br /&gt;0757891761 au 0787596798&lt;br /&gt;BEI YA KIFARANGA CHA SAMAKI NI KATI YA SHILINGI 30 - 50 KUTEGEMEA UKUBWA&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-9187958373500895786?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/9187958373500895786/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=9187958373500895786&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9187958373500895786'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9187958373500895786'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/10/kituo-cha-kuzalisha-na-kufuga-samaki.html' title='KITUO CHA KUZALISHA NA KUFUGA SAMAKI KINGOLWIRA - MOROGORO'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLA5F6jDEoI/AAAAAAAABEY/yuTIdaFIsJk/s72-c/kingo.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3196421309033002876</id><published>2010-10-09T11:30:00.009+03:00</published><updated>2010-10-09T12:04:02.563+03:00</updated><title type='text'>KITUO CHA KUFUGIA SAMAKI MOROGORO MJINI BOMA ROAD</title><content type='html'>Nilibahatika kutembelea vituo vya ufugaji na uzalishaji wa samaki huko Morogoro mjini barabara ya boma na Kingolwira, mwenyeji wangu alikuwa ni Bwana Melton Kalinga ambapo tulishinda karibia kutwa nzima akinionyesha vitu mbali mbali huku tukibadilishana uzoefu na utaalamu wa kuzalisha samaki, wakati yeye alikuwa akinifundisha namna ya kuzalisha Sato na Kambale, mimi nilimfundisha namna ya kuzalisha samaki wa mapambo hasa Gold fish na Angels&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HAPA NI MOROGORO MJINI BOMA ROAD kwenye kituo cha kufugia samaki, kuna mabwawa ambapo samki hufugwa baada ya kuzalishwa katika kituo cha Kingolwira&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAqPkyZOAI/AAAAAAAABBw/aeFwRvrX-n0/s1600/bango.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAqPkyZOAI/AAAAAAAABBw/aeFwRvrX-n0/s400/bango.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525963189845047298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHANZO CHA MAJI ni kutoka katika kisima cha kuchimbwa na maji huvutwa kwa pampu ya umeme&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAtMwUcI6I/AAAAAAAABCo/ffHp6VfZh_Y/s1600/chanzo.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAtMwUcI6I/AAAAAAAABCo/ffHp6VfZh_Y/s400/chanzo.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525966439935910818" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAtEjcch8I/AAAAAAAABCg/CjyjksGZ414/s1600/bwawa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAtEjcch8I/AAAAAAAABCg/CjyjksGZ414/s400/bwawa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525966299040876482" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BANDA LA BATA kinyesi chao chakula cha samaki, pia wakiogelea husaidia kuingiza hewa kwenye bwawa (aeration)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAs9dQeO0I/AAAAAAAABCY/M8I8kDE6uac/s1600/banda+2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAs9dQeO0I/AAAAAAAABCY/M8I8kDE6uac/s400/banda+2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525966177120959298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SEHEMU YA KUWEKEA CHAKULA CHA SAMAKI sehemu hii imejengwa kwa kutumia miti na inahamishika&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAs0Q7nNiI/AAAAAAAABCQ/b5lpPXJtEjg/s1600/sehemu+ya+chakula.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAs0Q7nNiI/AAAAAAAABCQ/b5lpPXJtEjg/s400/sehemu+ya+chakula.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525966019193419298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SEHEMU YA KUWEKEA CHAKULA CHA SAMAKI imejengwa kwa saruji, ni sehemu ya kudumu&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAsoWeVJEI/AAAAAAAABCI/Plk2XMkkyMI/s1600/sehemu+yachakula+2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAsoWeVJEI/AAAAAAAABCI/Plk2XMkkyMI/s400/sehemu+yachakula+2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525965814522782786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BATA pia hufukuza ndege wanaokula samaki na kuwala vyura wala samaki&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAsdUiYKuI/AAAAAAAABCA/a9N0yF6-PnA/s1600/bata.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAsdUiYKuI/AAAAAAAABCA/a9N0yF6-PnA/s400/bata.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525965625024326370" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NDEGE MLA SAMAKI naye alikuwepo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAsUZ3k49I/AAAAAAAABB4/FOVa5eGDyY8/s1600/mla+samaki.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAsUZ3k49I/AAAAAAAABB4/FOVa5eGDyY8/s400/mla+samaki.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5525965471836595154" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3196421309033002876?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3196421309033002876/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3196421309033002876&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3196421309033002876'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3196421309033002876'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/10/kituo-cha-kufugia-samaki-morogoro-mjini.html' title='KITUO CHA KUFUGIA SAMAKI MOROGORO MJINI BOMA ROAD'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TLAqPkyZOAI/AAAAAAAABBw/aeFwRvrX-n0/s72-c/bango.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7074306879426465288</id><published>2010-09-27T19:14:00.005+03:00</published><updated>2010-09-27T19:27:47.132+03:00</updated><title type='text'>SIKU YA KICHAA CHA MBWA DUNIANI</title><content type='html'>Kila mwaka tarehe 28 ya mwezi wa tisa (september) ni siku ya kichaa cha mbwa duniani, hapa nchini serekali katika kampeni ya siku hii maalum imetoa kiasi cha chanjo 100,000 bure kwa mafugaji mbwa katika mikoa ta Dar es salaam, Mtwara, Lindi na Pemba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kutokana na takwimu za wizara ya mifugo na uvuvi inaonyesha mwaka jana watu 21,000 walingatwa na mbwa nchini Tanzania. Kati ya hao watu 51 walifariki dunia kwa sababu ya kichaa cha mbwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa kwa kiswahili ugonjwa huu unaitwa kichaa cha mbwa, lakini ukweli hushambulia hata wanyama wengine kama paka, ng'ombe, mbuzi, kondoo na hata binadamu, Ugonjwa huu kwa wanyama hauna dawa ila kinga tu kwanjia ya chanjo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuuelewa zaidi ugonjwa huu soma hapa &lt;br /&gt;http://mitiki.blogspot.com/2009/08/kichaa-cha-mbwa.html&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7074306879426465288?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7074306879426465288/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7074306879426465288&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7074306879426465288'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7074306879426465288'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/09/siku-ya-kichaa-cha-mbwa.html' title='SIKU YA KICHAA CHA MBWA DUNIANI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4505505104834875187</id><published>2010-09-23T15:25:00.003+03:00</published><updated>2010-09-23T15:35:35.043+03:00</updated><title type='text'>DADA NAYMA ANAOMBA USHAURI ZAIDI</title><content type='html'>Hello Bro Bennet. Angalia miche yangu hatua iliyofikia bado sijaipeleka shambani,&lt;br /&gt;naomba ushauri zaidi niliiotesha mwezi wa tano mwezi wa saba nikaiweka kwenye mifuko miche 300 tu.&lt;br /&gt;nayma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJtHtxlN_jI/AAAAAAAABBg/Byf3k2bsoOs/s1600/miti+ya+naymah.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJtHtxlN_jI/AAAAAAAABBg/Byf3k2bsoOs/s400/miti+ya+naymah.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5520084620001803826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJtIHlpaTjI/AAAAAAAABBo/i7Z0dIcrOJs/s1600/nayma2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJtIHlpaTjI/AAAAAAAABBo/i7Z0dIcrOJs/s400/nayma2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5520085063474761266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dada &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nayma&lt;/span&gt; leo naomba nikuweke hadharani, wadau huyu dada nimekuwa nikimshauri kuanzia kuandaa mbegu, kitalu, kusia mbegu, umwagiliaji, kuhamisha mbegu kutoka kwenye kitalu hadi kwenye vipakti&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dada &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nayma&lt;/span&gt; miche yako bado ni michanga kiasi, na kama unafuatilia utabiri wa mvua za msimu wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;September mpaka November&lt;/span&gt; ni kwamba hakutakuwa na mvua za kutosha ila kwa mikoa ya kanda ya ziwa  na zaidi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Bukoba&lt;/span&gt;, nakushauri endelea kumwagilia miche yako ikue zaidi huku ukisubiri mvua za mwezi wa December mwishoni na January 2011, hapo itakuwa mikubwa ya kuweza kuhimili kama mvua zitakuwa chache&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NB&lt;/span&gt; Hongera sana na anza kuandaa mbegu nyingine ili mwezi wa January uwe na miche mingi zaidi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4505505104834875187?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4505505104834875187/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4505505104834875187&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4505505104834875187'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4505505104834875187'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/09/dada-nayma-anaomba-ushauri-zaidi.html' title='DADA NAYMA ANAOMBA USHAURI ZAIDI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJtHtxlN_jI/AAAAAAAABBg/Byf3k2bsoOs/s72-c/miti+ya+naymah.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7990875233181433016</id><published>2010-09-23T14:32:00.002+03:00</published><updated>2010-09-23T15:00:50.097+03:00</updated><title type='text'>KILA KAZI NA HATARI ZAKE</title><content type='html'>Leo nilikuwa nimekwenda kutibu mbwa 9 katika kampuni ya usafirishaji ijulikanayo kama Ruvuvu transport huko kurasini, mbwa hao walikuwa wanasumbuliwa na ugonjwa wa minyoo ya kwenye ngozi ujulikanao kama MANGE, ugonjwa huu husambazwa na viroboto wa mbwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HAPA MBWA ANAANDALIWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-ada2d71b4cb1d7ad" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v20.nonxt8.googlevideo.com/videoplayback?id%3Dada2d71b4cb1d7ad%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D518C92578C569613DD90F4135369D8079EA61CD5.14E212955077DBAB53900605FF20E8E3BE8978E9%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3Dada2d71b4cb1d7ad%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3D7bfDRYCNKc4IRDJJ9m1eAhGluLc&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v20.nonxt8.googlevideo.com/videoplayback?id%3Dada2d71b4cb1d7ad%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D518C92578C569613DD90F4135369D8079EA61CD5.14E212955077DBAB53900605FF20E8E3BE8978E9%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3Dada2d71b4cb1d7ad%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3D7bfDRYCNKc4IRDJJ9m1eAhGluLc&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUCHOMA SINDANO MBWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-85b169f4dd5db66b" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v12.nonxt4.googlevideo.com/videoplayback?id%3D85b169f4dd5db66b%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D127FAD3BA0D3C9A32D06BAA6379B798AA9DFF645.74E5B20E0E76A47DFC73115055045DC2438D16A8%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D85b169f4dd5db66b%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DEPuvAF3VAn-iQGXJqYrfIaX8cq8&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v12.nonxt4.googlevideo.com/videoplayback?id%3D85b169f4dd5db66b%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D127FAD3BA0D3C9A32D06BAA6379B798AA9DFF645.74E5B20E0E76A47DFC73115055045DC2438D16A8%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D85b169f4dd5db66b%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DEPuvAF3VAn-iQGXJqYrfIaX8cq8&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7990875233181433016?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7990875233181433016/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7990875233181433016&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7990875233181433016'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7990875233181433016'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/09/kila-kazi-na-hatari-zake.html' title='KILA KAZI NA HATARI ZAKE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7445616086222562906</id><published>2010-09-17T10:08:00.005+03:00</published><updated>2010-09-17T11:24:56.253+03:00</updated><title type='text'>SHARK - MKEMIA WA MAJI</title><content type='html'>Leo nilikuwa nabadili maji kwenye chombo cha kufugia samaki wa urembo (aquarium)baada ya kuweka maji masafi na kuwarudisha samaki wangu kuna kitu nikakigundua. Pamoja ya kwamba samaki wote ni wa urembo lakini kila mmoja anatabia yake, ni samaki wawili aina ya shark ambao wanauwezo wa kutambua maji kama yana kitu chochote kibaya, kwa mfano kama kemikali yoyote, chumvi au madini yoyote yale zaidi ya kiwango cha kawaida. Mara tu utakapowaweka kwenye maji ambayo hayako sawa basi utawaona wanakaa chini tu na wala hawaogelei kama kawaida yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati narudishia mawe kwenye chombo chao yalisuguana na chenga chenga zake zikabadili ubora wa maji, ingawa hayakuwa na tatizo lolote kiafya lakini samaki hawa aina ya shark waliweza kugundua hilo na walikaa kama wanavyoonekana hapa kwenye picha mmoja aligeuka juu chini kama vile kafa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJMc7acx5eI/AAAAAAAABBM/WvdtoXmVHu4/s1600/17092010018.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer; width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJMc7acx5eI/AAAAAAAABBM/WvdtoXmVHu4/s400/17092010018.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5517785775496881634" border="0"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJMczcl8ipI/AAAAAAAABBE/GCioU4e5p84/s1600/17092010017.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer; width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJMczcl8ipI/AAAAAAAABBE/GCioU4e5p84/s400/17092010017.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5517785638633245330" border="0"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuona wako hivo nikawasha pampu ya kuongeza hewa kwenye maji pamoja na filter baada ya dakika kama 10 samaki hao wakaanza kuogelea kama kawaida, angalia video hii&lt;br /&gt;&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-1b0b2b24ae2e3fb6" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v21.nonxt8.googlevideo.com/videoplayback?id%3D1b0b2b24ae2e3fb6%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D5CD233F2C0FA064683E8379FE18A6EC756D636A8.623DC1EB3B5281C0D39E0D4A8C17CB17C8D1E658%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D1b0b2b24ae2e3fb6%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3D8WWHAvvHqmOivcZ31gwSq2w9jlo&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v21.nonxt8.googlevideo.com/videoplayback?id%3D1b0b2b24ae2e3fb6%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D5CD233F2C0FA064683E8379FE18A6EC756D636A8.623DC1EB3B5281C0D39E0D4A8C17CB17C8D1E658%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D1b0b2b24ae2e3fb6%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3D8WWHAvvHqmOivcZ31gwSq2w9jlo&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hawa hapa kwenye video ni goldfish aina ya shubunkin, redcap na goldspike&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-bb12dd2bc3b2ec2f" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v3.nonxt1.googlevideo.com/videoplayback?id%3Dbb12dd2bc3b2ec2f%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D1C0273C780BD87389B700263C0B019A8A81ABA29.315CB81454995469E6B74E0A6D4C944EFA192E5E%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3Dbb12dd2bc3b2ec2f%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DIfLmp1lGjJd7ZK5KbPYdxbvypNc&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v3.nonxt1.googlevideo.com/videoplayback?id%3Dbb12dd2bc3b2ec2f%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D1C0273C780BD87389B700263C0B019A8A81ABA29.315CB81454995469E6B74E0A6D4C944EFA192E5E%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3Dbb12dd2bc3b2ec2f%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DIfLmp1lGjJd7ZK5KbPYdxbvypNc&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Angel fish ni aina nyingine ya samaki nilionao&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-83de4e26857e2e04" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v5.nonxt1.googlevideo.com/videoplayback?id%3D83de4e26857e2e04%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D265F4329A0D06D78E63042F39716DCE3B97AD983.2EAD172350B1E9B045F3250BF1EF16E73B90C7C3%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D83de4e26857e2e04%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DdptpQ_fzgBQAvJB0A988U29B5FA&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v5.nonxt1.googlevideo.com/videoplayback?id%3D83de4e26857e2e04%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D265F4329A0D06D78E63042F39716DCE3B97AD983.2EAD172350B1E9B045F3250BF1EF16E73B90C7C3%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D83de4e26857e2e04%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DdptpQ_fzgBQAvJB0A988U29B5FA&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Huyu anajulikana kama catfish, nayeye kazi yake kubwa ni kisafisha vioo na urembo wa ndani, anauwezo pia wa kumla samaki yoyote aliyekufa bila ya wewe kuanza kuhangaika kumtoa&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="320" height="266" class="BLOG_video_class" id="BLOG_video-2859df4bd7da46c" classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,40,0"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/get_player"&gt;&lt;param name="bgcolor" value="#FFFFFF"&gt;&lt;param name="allowfullscreen" value="true"&gt;&lt;param name="flashvars" value="flvurl=http://v3.nonxt1.googlevideo.com/videoplayback?id%3D02859df4bd7da46c%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D2C2C78F2D8C6A341D6169E0CB1150CFD3A3A90BA.5F6E9EC8007F6F930B0526468F2540F820D84EA6%26key%3Dck1&amp;amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D2859df4bd7da46c%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DabPhPMnGnoCVeSSyLPkT1z80Pi8&amp;amp;autoplay=0&amp;amp;ps=blogger"&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/get_player" type="application/x-shockwave-flash"width="320" height="266" bgcolor="#FFFFFF"flashvars="flvurl=http://v3.nonxt1.googlevideo.com/videoplayback?id%3D02859df4bd7da46c%26itag%3D5%26app%3Dblogger%26ip%3D0.0.0.0%26ipbits%3D0%26expire%3D1331482458%26sparams%3Did,itag,ip,ipbits,expire%26signature%3D2C2C78F2D8C6A341D6169E0CB1150CFD3A3A90BA.5F6E9EC8007F6F930B0526468F2540F820D84EA6%26key%3Dck1&amp;iurl=http://video.google.com/ThumbnailServer2?app%3Dblogger%26contentid%3D2859df4bd7da46c%26offsetms%3D5000%26itag%3Dw160%26sigh%3DabPhPMnGnoCVeSSyLPkT1z80Pi8&amp;autoplay=0&amp;ps=blogger"allowFullScreen="true" /&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7445616086222562906?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7445616086222562906/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7445616086222562906&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7445616086222562906'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7445616086222562906'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/09/blog-post.html' title='SHARK - MKEMIA WA MAJI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TJMc7acx5eI/AAAAAAAABBM/WvdtoXmVHu4/s72-c/17092010018.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-8370161264704676000</id><published>2010-08-21T08:48:00.006+03:00</published><updated>2010-08-21T09:08:13.345+03:00</updated><title type='text'>KILIMO BORA CHA MAHINDI</title><content type='html'>Mahindi ni chakula muhimu na ni aina ya nafaka katika mataifa ya Afrika yaliyomo kusini mwa jangwa la Sahara. Ni chakula cha matumizi ya nyumbani kwa idadi ya watu inayokadiriwa kuwa asilimia 50. Ni chanzo muhimu cha madini na kuongeza nguvu mwilini, protini, madini ya chuma (iron) vitamini na madini mengine asilia.Waafrika hutumia mahindi kwa njia mbalimbali – (uji, ugali na pombe). Na mahindi ya kuchoma. Kila sehemu ya mmea wa mahindi ina thamani kiuchumi : punje, majani, shina na magunzi huweza kutoa kiasi kikubwa cha bidhaa nyinginezo zilizo chakula na zisizokuwa chakula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vile vile mahindi ni chakula muhimu cha mifugo (ng’ombe) na huhifadiwa kama silage. Pia mabaki ya mimea na nafaka na pia hutumika viwandani kutengeneza wanga na mafuta.    &lt;br /&gt;Mahitaji ya mahindi katika hali ya hewa, udongo na Mahindi ni mimea ambayo hustahimili mabadiliko mengi ya hali ya hewa na humea katika maeneo mengi tofauti. Kuna aina nyingi za mahindi yanayotofautiana katika muda wa kukomaa, mahindi huwa na ustahimili mkubwa kwa mabadiliko katika kiwango cha joto. Mahindi haswa huwa mimea ya maeneo ya joto ambako unyevu ni wa kutosha. Mmea huu unahitaji kiwango cha joto cha kila siku cha nyuzi joto 20º ili umee vyema. Joto la juu sana kwa mazao mazuri ni kama nyuzi joto 30º. Hupandwa sana katika sehemu zilizo katika kimo cha mita 3000 kutoka bahari hadi kwenye ukanda wa pwani. mahindi yaweza kupandwa kama chakula cha mifugo.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SHAMBA LANGU NI SHAMBA DARASA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9s0JWXFxI/AAAAAAAABA0/uvVgMVxBw_8/s1600/darasa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9s0JWXFxI/AAAAAAAABA0/uvVgMVxBw_8/s400/darasa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5507740512416110354" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahindi huwa yanaathirika na ukosefu wa unyevu wakati wa kutoa maua na matunda. Pia yanahitaji maji ya kutosha wakati wa kupanda. Katika nchi za joto jingi (tropiki), mahindi hufanya vyema katika mvua ya kiwango cha milimita 600 hadi 900 wakati wa kukua. Mahindi yanaweza kukuzwa kwenye aina nyingi za udongo lakini hukua vyema zaidi katika mchanga, usiotuamisha maji mengi, ulio na hewa ya kutosha na ulio na rutuba na madini ya kutosha. Kuwepo kwa mazao mengi ya mahindi kunapelekea kunyonywa sana kwa madini kwenye udongo. Mahindi yaweza kukuzwa katika  udongo ulio na hali ya mchanga na (PH) kutoka 5 hadi 8 ingawa 5.5 hadi 7 ndio mwafaka. Mahindi yako katika kikundi cha mimea kinachoaminika kuathirika na hali ya chumvi katika maji na udongo. Kwa vile mimea ambayo ni michanga huwacha sehemu kubwa bila kuzingirwa na ardhi, mmomonyko wa udongo na kupoteza maji hutokea sana sana hivyo basi ni bora umakini uzingatiwe katika uhifadhi wa udongo na maji kwa kuweka matandazo (mulching).  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MATUMIZI YA MBOLEA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mahindi hustawi zaidi yakiwekwa mbolea, iwapo mambo mengine yanayosaidia katika kukua pia yapo kwa kiwango kinachostahili. Mbolea inayotumiwa na wakulima wadogo mara yingi huwa haitoshi. Mahindi ya kiwango cha juu yaweza tu kufikia kiwango cha juu cha Uzalishaji iwapo yatapewa lishe na madini ya kutosha. Mahindi ya tani 2 kwa hekta na tani 5 kwa hekta hutumia karibu kilo 60 N, kilo 10 za P205 na kilo 70 K20 kutoka katika udongo. MAhindi hunyonya Nitrogen pole pole katika miezi ya kwanza baada ya kupanda, lakini huongezeka hadi kiwango cha juu kabisa wakati wa kutoa maua na kukuza tunda (gunzi). Mahindi huhitaji nitrogen kwa kiwango cha juu na ukosefu huwa ndio kizingiti. Kiwango cha juu cha nitrogen kinahitajika mara tatu; kwanza wakati wa kupanda, pili, wakati ambapo mmea umefikia sentimita 50 za urefu na tatu, wakati matunda ya mahindi yanaanza kutoa zile nyuzi nyuzi nyororo (silking).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Udongo mwingi huwa na madini ya phosphorous (P205) na potassium (K20) lakini sio kiwango kinachotosheleza mahitaji haswa ya mbegu za mahindi zinapochipua. Nyunyuzia P205 karibu na mbegu ili ziote kwa haraka. K20 hutumika kwa kiwango kikubwa lakini hitaji la mimea hubainika baada ya upimaji wa hali ya udongo kujua kiasi cha mahitaji &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(soil test).&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DALILI ZA UPUNGUFU WA MBOLEA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ukosefu wa K20 husababisha ncha za majani kuwa na rangi ya njano na kuunda gunzi (cob) lisilo na punje hadi juu. Ukosefu wa P205 hufanya matawi kuwa na rangi ya samawati na mbegu zisizo laini. Dalili za ukosefu wa nitrogen ni majani ya rangi ya manjano na mimea dhaifu mifupi. Phosphate haifyonzwi  haraka na mahindi na pia udongo mwingi wa nchi za joto hukosa madini hayo ya phosphate. Inashauriwa unyunyuzie mbolea ya kiasili kama samadi kabla ya kulima ili uboreshe hali ya udongo na kuongezea madini.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Katika ukulima wa kiasili, &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(organic farming&lt;/span&gt;, Nitrogen (N) hutiwa kwenye udongo kupitia kwa upandaji wa mimea ya jamii ya mikunde (legumes) ambayo hutoa nitrogen katika hewa, Hata hivyo mapendekezo ya kimbolea yaliyo katika misingi ya uchunguzi wa udongo hutoa nafasi nzuri ya kupata kiasi kizuri cha mbolea bila kuweka kiwango cha chini au juu. Omba msaada kutoka kwa mafisa ugani wa kilimo waliyo katika eneo lako. &lt;br /&gt;Katika maeneo yanayo tegemea mvua kukuza mahindi, panda mbegu wakati wa mvua ya kwanza. Hii itaruhusu mizizi kunyonya madini yaliyotengenzwa na bakteria katika udongo.  Maji yaliyosimama huyeyusha na kuondoa madini ya nitrogen kutoka katika udongo na kusababisha ukosefu wa Nitrogen. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUDHIBITI MAGUGU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Udhibiti wa magugu ni muhimu sana. Katika wiki 4 hadi 6 za mbele baada ya kumea, mahindi huathiriwa sana na magugu. Ni lazima mahindi yapandwe mara moja baada ya kutayarisha shamba. Unaweza kulima katikati ya laini za mahindi ili udhibiti magugu. Nchini Tanzania, kupalilia mara mbili kunahitajika kwa aina nyingi za mahindi, ingawa kupalilia kwa mara ya tatu kutahitajika kwa aina ambazo zinahitaji miezi 6 hadi 8 kukomaa. Kupalilia kwa mikono kunahitaji siku 15 kwa hekta la mikono &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(power tiller)&lt;/span&gt; ni masaa mawili mpaka matatu kwa ekari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UHUSIANO WA NIPE NIKUPE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Desmodium (desmodium uncinatum) nyasi ya Molasses (melinis minutifolia) zikipandwa kati kati ya laini za mahindi huzuia wadudu kama stalk borers moths. Mimea hii hutoa kemikali ambazo huwafukuza wadudu aina stem borers’ moths. Zaidi ya hayo Desmodium huzui gugu haribifu,witchweed striga hermonthica. Napier grass (pennisetum purpureum) na Sudan grass &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(sorghum vulgare sodanese)&lt;/span&gt; ni mimea mizuri sana inayonasa wadudu aina ya stem borers. Napier grass ina njia yake madhubuti ya kujikinga dhidi ya wadudu wanaotoboa mmea kwa kutoa utomvu kutoka kwenye shina, ambayo huzuia wadudu kufyoza mmea na kusababisha uharibifu. Nyasi hizi pia huvutia adui wa stem borers kama mchwa, earwigs na buibui. Nyasi aina ya Sudan pia husaidia maadui asilia, kama nyigu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(parasitic wasp)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MAHINDI TAYARI KWA KUVUNWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9saIPwouI/AAAAAAAABAs/SNournUOZOs/s1600/tayari.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9saIPwouI/AAAAAAAABAs/SNournUOZOs/s400/tayari.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5507740065443390178" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahindi huweka kivuli kwenye mimea ya mboga mboga ikipandwa safu moja katikati ya mboga kwenye maeneo yaliyo na jua kali. Hii huongeza mazao ya mboga zilizopandwa hivi. na mimea jamii ya mikunde huongeza nitrogen kwenye udongo ambayo huitajika zaidi katika ukuaji wa mahindi pia hupunguza wadudu aina ya (leafhoppers, leafbeatles, stalk borers na fall army worm), upandaji wa mimea jamii ya mikunde ufanyike mara baada ya palizi ya kwanza&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KUPUKUSUA MAHINDI KWA KUTUMIA MASHINE YA MKONO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9r5ekoh2I/AAAAAAAABAk/yFS1b_3sYzE/s1600/pukusua.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9r5ekoh2I/AAAAAAAABAk/yFS1b_3sYzE/s400/pukusua.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5507739504500836194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UVUNAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Uvunaji hufanyika kwa kutumia mikono kwa mashamba madogo na mashine (combine harvester) hutumika kwa ajili ya mashamba makubwa, Zao la wastani la mahindi ulimwenguni mnamo mwaka 2000 lilikuwa kilogramu 4255 kwa kila hekta. Zao la wastani nchini Marekani ilikuwa kilo 8600 kila hekta, huku mataifa yaliyo chini ya jangwa la Sahara la Afrika yakivuna kilo 1316 kwa kila hekta ya shamba. Zao la wastani katika taifa la Tanzania kati ya mwaka 2001-2005 lilikuwa kati ya gunia 15-19 kwa hekta (sawa na kilo 1350-1750) Ukilima kwa kuzingatia ukulima wa kisasa na kanuni zake kwa Tanzania utavuna kilo 5000 kwa hecta (ukanda wa pwani) na kilo 7500 kwa nyanda za juu kama Iringa, Mbeya, Ruvuma, Arusha n.k&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;RUNDO LA MAHINDI BAADA YA KUPUKUSUA&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9rDPBTgLI/AAAAAAAABAc/G9AC3eyrzu0/s1600/rundo+la+mahindi.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9rDPBTgLI/AAAAAAAABAc/G9AC3eyrzu0/s400/rundo+la+mahindi.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5507738572613189810" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-8370161264704676000?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/8370161264704676000/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=8370161264704676000&amp;isPopup=true' title='15 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8370161264704676000'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8370161264704676000'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/08/kilimo-bora-cha-mahindi.html' title='KILIMO BORA CHA MAHINDI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TG9s0JWXFxI/AAAAAAAABA0/uvVgMVxBw_8/s72-c/darasa.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>15</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4296653284473998014</id><published>2010-08-15T19:37:00.005+03:00</published><updated>2010-08-15T20:40:34.722+03:00</updated><title type='text'>KILIMO CHA MICHUNGWA NA MACHENZA</title><content type='html'>Ndugu Ali Kalufya alitaka kujua kwa kina ukuliama wa michungwa na jamii yake, aliuliza swali hili katika mtandao wa Dada Subi nami najaribu kumweleza haya...&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Michungwa na Jamii yake hustawi zaidi ukanda wa pwani wenye joto kiasi, mvua nyingi na udongo wenye rutuba, kwa Tanzania mikoa kama Pwani, Dar es salaam, Tanga, Mtwara,   Lindi, na Morogoro ni maarufu kwa kilimo hiki &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MBEGU&lt;br /&gt;Kwa kuanzia unakusanya mbegu za mlimao kutoka katika malimao yaliyokomaa na ikiwezekana yawe yameiva yakiwa mtini, kausha mbegu zake na kisha unaweza kutolea ganda la nje ili ziweze kuota vizuri. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KITALU&lt;br /&gt;Mwaga mbegu zako kwenye kitali na uzifukie kwa udongo kiasi cha nusu sentimeta, mwagia maji kilasiku na baada ya wiki 3 - 6 mbegu zitaanza kuchipua, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MICHE YA MILIMAO TAYARI KWA KUUNGWA&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGgmKkr3pnI/AAAAAAAABAU/t8ITfDzjpZU/s1600/MILIMAO.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGgmKkr3pnI/AAAAAAAABAU/t8ITfDzjpZU/s400/MILIMAO.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5505692507548657266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;baada miche kufikia kiasi cha sentimeta 3 - 5, miche ihamishiwe kwenye pakiti zenye udongo wenye mbolea ya kutosha na viwekwe kwenye kivuli kiasi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MICHE YA JAFFER BAADA YA KUUNGWA&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGglvR4PDeI/AAAAAAAABAM/HUPFlWokI0Q/s1600/JAFFER.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGglvR4PDeI/AAAAAAAABAM/HUPFlWokI0Q/s400/JAFFER.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5505692038643781090" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KUUNGA MICHE&lt;br /&gt;Miche ikifikia urefu wastani sentimeta 30 - 45 inawezwa kuungwa ikiwa unataka iwe michungwa au michenza, kazi hii inahitaji utaalamu kiasi na unaweza kuomba msaada kutoka kwa maafisa ugani wa Kilimo. Kwa michungwa kuna iana mbili kuu hapa Tanzania ambazo ni Jaffer na Valencia. Jaffer ni rahisi kuunga kwa sababu vikonyo vyake ni vikuwa na viko wazi kwenye miti,miti yake huwa mikubwa na inazaa sana, lakini huathirika sana jua likiwa kali na matun da mengi huanguka, pia machungwa yake hukua na kuiva haraka, soko likiwa baya mengi huishia shambani kwa kuanguka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MTI WA JAFFER&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGglRHUTkQI/AAAAAAAABAE/A8wW9YL0NSc/s1600/MTI+JAFFER.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGglRHUTkQI/AAAAAAAABAE/A8wW9YL0NSc/s400/MTI+JAFFER.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5505691520412651778" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JINSI YA KUUNGA MICHE YA MILIMAO KUWA MICHUNGWA AU MACHENZA&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGghEWLvYBI/AAAAAAAAA_s/PXXmLqFl6BM/s1600/untitled.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 344px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGghEWLvYBI/AAAAAAAAA_s/PXXmLqFl6BM/s400/untitled.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5505686903018446866" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Valencia ni miti ya wastani, vikonyo havipo wazi kwa hiyo huwapa kazi waungaji (hawaipendi) ina uzao wa wastani na inakabili ukame na matunda yake hayaivi haraka, msimu wa machungwa ukiwa katikati wewe ndio unaanza kuvuna na ukisha bado unakuwa na machungwa wakati bei iko juu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MTI WA VALENCIA&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGgkuTjrHEI/AAAAAAAAA_8/lB2aEtie6iM/s1600/VALLNCIA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGgkuTjrHEI/AAAAAAAAA_8/lB2aEtie6iM/s400/VALLNCIA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5505690922402913346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UPANDAJI&lt;br /&gt;Baada ya uungaji kukubali unaweza kuandaa shamba lako kwa kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kusubiri msimu wa mvua, miche ipandwe mara baada tu ya mvua za kwanza kunyesha, umbali wa kupanda ni mita 8 * 8 kwa jaffer na mita 5 * 8 kwa valencia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KUPALILIA&lt;br /&gt;Miche isafishiwe si chini ya mara 2 - 4 kwa mwaka na miche ikifikisha miaka mitatu unaweza ukasafishia visahani na kufyeka sehemu nyingine&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UZAO&lt;br /&gt;Kuanzia miaka mitatu miche itaanza kutoa maua na kuzaa na huchanganya kuzaa baada ya miaka mitano, miche huendelela kuzaa hadi kufikia miaka 25 - 30 tangu kupandwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WADUDU/MAGONJWA&lt;br /&gt;Magonjwa makuu ni fangasi, miti kunyauka na nzi wa michungwa, dawa kwa ajili ya magonjwa yote haya zinapatikana madukani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CHUNGWA LILILOSHAMBULIWA NA NZI WA MICHUNGWA&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGgjigAJdSI/AAAAAAAAA_0/r_U26QNzLSc/s1600/WADUDU.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGgjigAJdSI/AAAAAAAAA_0/r_U26QNzLSc/s400/WADUDU.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5505689620073510178" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4296653284473998014?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4296653284473998014/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4296653284473998014&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4296653284473998014'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4296653284473998014'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/08/kilimo-cha-michungwa-na-machenza.html' title='KILIMO CHA MICHUNGWA NA MACHENZA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TGgmKkr3pnI/AAAAAAAABAU/t8ITfDzjpZU/s72-c/MILIMAO.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-6336275293390803033</id><published>2010-07-06T18:02:00.010+03:00</published><updated>2010-07-06T18:22:59.117+03:00</updated><title type='text'>WAKALA WA MBEGU ZA MITI NA SABA SABA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kwa wale wanaohitaji mbegu za miti au miche kutoka kwa wakala wa mbegu za miti wa Taifa, mnaweza kuzipata sabasaba kwenye banda la maliasili badala ya kuzifuta mbegu au miche kule morogoro, wana mbegu nyingi na miche ya aina mbali mbali&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNJto3fk8I/AAAAAAAAA_Q/g4a78FbxMxA/s1600/wakala.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNJto3fk8I/AAAAAAAAA_Q/g4a78FbxMxA/s400/wakala.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5490813419107881922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNJifxbI2I/AAAAAAAAA_I/E1pvNRch7o0/s1600/mpingo2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNJifxbI2I/AAAAAAAAA_I/E1pvNRch7o0/s400/mpingo2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5490813227687945058" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNIIvmuo-I/AAAAAAAAA-4/fzIjlS2icYs/s1600/mpingo.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNIIvmuo-I/AAAAAAAAA-4/fzIjlS2icYs/s400/mpingo.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5490811685749826530" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNHzeJ94UI/AAAAAAAAA-w/SOScO5ZYO_8/s1600/mkangazi.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNHzeJ94UI/AAAAAAAAA-w/SOScO5ZYO_8/s400/mkangazi.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5490811320288534850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNHhvXDyLI/AAAAAAAAA-o/0yjKQ5oHLgQ/s1600/miembe2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNHhvXDyLI/AAAAAAAAA-o/0yjKQ5oHLgQ/s400/miembe2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5490811015669205170" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNGsiciXgI/AAAAAAAAA-Y/JmGGF62YUqY/s1600/miembe.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNGsiciXgI/AAAAAAAAA-Y/JmGGF62YUqY/s400/miembe.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5490810101669453314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-6336275293390803033?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/6336275293390803033/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=6336275293390803033&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6336275293390803033'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6336275293390803033'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/07/wakala-wa-mbegu-za-miti-na-saba-saba.html' title='WAKALA WA MBEGU ZA MITI NA SABA SABA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TDNJto3fk8I/AAAAAAAAA_Q/g4a78FbxMxA/s72-c/wakala.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-6955769915306675157</id><published>2010-06-21T20:46:00.001+03:00</published><updated>2010-06-21T20:51:56.658+03:00</updated><title type='text'>MALARIA HAIKUBALIKI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TB-mo-U2v6I/AAAAAAAAA-A/Ogf05kNd7u8/s1600/malaria.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 261px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TB-mo-U2v6I/AAAAAAAAA-A/Ogf05kNd7u8/s400/malaria.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5485286094016004002" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-6955769915306675157?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/6955769915306675157/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=6955769915306675157&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6955769915306675157'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6955769915306675157'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/06/malaria-haikubaliki.html' title='MALARIA HAIKUBALIKI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TB-mo-U2v6I/AAAAAAAAA-A/Ogf05kNd7u8/s72-c/malaria.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3880462198933709331</id><published>2010-06-18T20:34:00.005+03:00</published><updated>2010-06-18T21:41:56.120+03:00</updated><title type='text'>UFUGAJI BORA WA SUNGURA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UTANGULIZI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kabla hujaamua kufuga sungura hakikisha ya kwamba umejitoa na una muda wa kuwahudumia wanyama waha, ufugaji wao si rahisi kama vile ukifuga paka au mbwa, sungura wanahitaji uangalizi na hassa kwenye usafi kwa sababu ni rahisi kwao kupata maradhi yatokanayo na mazingira mabaya na machafu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MABANDA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kna aina mbili za mabanda ya kufugia kwanza ni yale ya kuwafungia ndani muda wote bila kutoka nje na ya pili ni ile ya pili ni nusu nusu yaani wanakuwa na mabanda na wanaweza kutoka nje kwenye ua maalum, katika aina zote mbili ni muhimu kuhakikisha hakuna upenyo wa kuruhusu panya kupita kwa sababu huwa wanakula watoto wa sungura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBu9tj19v_I/AAAAAAAAA6k/EXP32iOn7g0/s1600/sungura.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 244px; height: 324px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBu9tj19v_I/AAAAAAAAA6k/EXP32iOn7g0/s400/sungura.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5484185561667059698" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UFUGAJI WA NDANI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1 -&lt;/span&gt; Usitumie banda la kioo (aquarium) kwa sababu halina hewa ya kutosha na ni vigumu kusafisha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2 -&lt;/span&gt; Sakafu ya nyavu za waya ni nzuri zaidi ila hakikisha hakuna sehemu zenye ncha kali inayoweza kuwaumiza sungura, kwani wakumia ni mpaka wapone wenyewe au umchinje kwa sababu ukitumia dawa za antibiotic sungura hana uwezo wa kuzimeng'enya na kuisha mwilini mwake, siku ukimchinja atabakia na dawa na hata ukinusa nyama yake utahisi harufu ya dawa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3 - &lt;/span&gt;Ukubwa wa banda usipungue mita 4 * 2 kwa kila sungura mmoja, likiwa kubwa zaidi ni vizuri&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4 -&lt;/span&gt; Chini kuwekewe matandazio kama nyasi kavu au maranda ya mbao, lakini maranda yatokanbayo na miti yenye mafuta kama mi-pine na mikaratusi hayafai, wawekee kipande cha blanket au taulo la zamani kwa ajili ya kulalia na kujifungulia hasa kwa wazazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5 -&lt;/span&gt; Ni muhimu kuwawekea sehemu ya kujificha mara wanapohisi hatari, unaweza kutumia mbao, box gumu au plastiki&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBu8ojzSNDI/AAAAAAAAA6U/wH4Mzbgay0E/s1600/sungura2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 324px; height: 244px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBu8ojzSNDI/AAAAAAAAA6U/wH4Mzbgay0E/s400/sungura2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5484184376244843570" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UFUGAJI WA NJE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1 -&lt;/span&gt; Sehemu yote izungushiwe wavu wa kuku kuzuia panya kuingia na wanyama wengine kama paka, mbwa, mwewe nk&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2 -&lt;/span&gt; Upande mmoja uwe na mabanda, sehemu ya chakula na maji pamoja na kivuli kwa ajili ya sungura kupumzika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3 -&lt;/span&gt; Futi moja chini ya udongo kuwe na zege kuzuia sungura kuchimba na kwenda mbali&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4 - &lt;/span&gt;Eneo la wazi liwe huru na hatari zote za sumu kama dawa za kuulia wadudu au mbolea, pia majani yaliyoota yasiwe ni yale yenye sumu (waone wataalamu wakushauri au ng'oa yote)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Tumia mabakuli ya kigae, plastiki au jengea kwa saruji, maji yabadilishwe kila siku na vyombo visafishwe kila siku&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHAKULA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Wapewe majani, mabaki ya mboga za jikoni baada ya kuchambuliwa, pia unaweza kuwawekea pumba au chakula cha kuku (growers mash) kwenye vyombo maalum kama chakula chenye virutubisho (concentrates)&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;USAFI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kila siku jaribu kuondoa uchafu kama vyakula vilivyo mwagika, na kinyesi kilichoganda kwenya matandazio, fagia na kubadili matandazio angalau mara moja kwa wiki, manyoya ya sungura mzazi yasiondolewe hii huonyesha kwamba anakaribia kujifungua watoto&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBu7oVHb85I/AAAAAAAAA6M/N5Yt1lX95nw/s1600/sungura+3.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 324px; height: 244px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBu7oVHb85I/AAAAAAAAA6M/N5Yt1lX95nw/s400/sungura+3.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5484183272791208850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MENO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Wakati mwingine meno ya mbele hukua sana na kumsababishia usumbufu wakati wa kula, waone wataalam ukiona ni marefu zaidi na yanahitaji kupunguzwa, dalili kuu ni sungura kushindwa kula kwa zaidi ya masaa 12&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MIGUU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Miguu ya sungura si kama ya wanyama wengine, nyayo zake zimefunikwa kwa manyoya, angalia ukiona yananyonyoka kuna tatizo chunguza, kucha zake nazi huhitaji kupunguzwa zikikua sana&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;UBEBAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Usimbebe kwa kutumia masiki yake huwa wanaumia sana, shika ngozi nyuma ya shingo kama paka ukitaka kumbeba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DAWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Wapewe dawa ya minyoo kama piperazine kila baada ya miezi mitatu, dawa za wadudu kama akheri powdeer zinyunyuziwe kwenya mabanda yao kuzuia viroboto, usiwape dawa nyingine bila ushauri wa kitaalamu, antibiotics ndio usijaribu kabisa kama nilivyosema mwanzo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3880462198933709331?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3880462198933709331/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3880462198933709331&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3880462198933709331'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3880462198933709331'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/06/ufugaji-bora-wa-sungura.html' title='UFUGAJI BORA WA SUNGURA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBu9tj19v_I/AAAAAAAAA6k/EXP32iOn7g0/s72-c/sungura.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-636584884842162088</id><published>2010-06-10T17:19:00.011+03:00</published><updated>2010-06-10T18:24:16.464+03:00</updated><title type='text'>AINA 10 ZA MBWA  WENYE AKILI ZAIDI DUNIANI</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1 - BORDER COLLIE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEBtYSdPcI/AAAAAAAAA4c/BDqP1m-YiBg/s1600/border+collie.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 261px; height: 354px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEBtYSdPcI/AAAAAAAAA4c/BDqP1m-YiBg/s400/border+collie.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481164100612210114" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;2 - POODLE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEAifHOHLI/AAAAAAAAA4M/AjjNa7rlDpU/s1600/poodle.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 194px; height: 279px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEAifHOHLI/AAAAAAAAA4M/AjjNa7rlDpU/s400/poodle.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481162813953940658" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3 - GERMAN SHEPHERD / ALSATION&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEBURvjbAI/AAAAAAAAA4U/22m-MIcmas8/s1600/gs.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 186px; height: 279px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEBURvjbAI/AAAAAAAAA4U/22m-MIcmas8/s400/gs.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481163669358472194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4 - GOLDER RETRIEVER&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEAHlyornI/AAAAAAAAA4E/IDXlS1efLt0/s1600/GOLDER+RETRIEVER.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEAHlyornI/AAAAAAAAA4E/IDXlS1efLt0/s400/GOLDER+RETRIEVER.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481162351890181746" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5 -  DOBERMAN PINSCHER&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD_oc5IjxI/AAAAAAAAA38/2uwH1Ria5v8/s1600/DP.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 354px; height: 279px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD_oc5IjxI/AAAAAAAAA38/2uwH1Ria5v8/s400/DP.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481161816925572882" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;6 - SHETLAND SHEEPDOG&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD_Le9nJhI/AAAAAAAAA30/VA73jnohM4k/s1600/SHEETLAND+SHEEPDOG.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 354px; height: 304px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD_Le9nJhI/AAAAAAAAA30/VA73jnohM4k/s400/SHEETLAND+SHEEPDOG.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481161319265019410" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;7 - LABRADOR RETRIEVER&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD-w2uJasI/AAAAAAAAA3s/a6RrG0sySwU/s1600/LABRADOR+RETRIVER.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 367px; height: 367px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD-w2uJasI/AAAAAAAAA3s/a6RrG0sySwU/s400/LABRADOR+RETRIVER.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481160861786139330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;8 - PAPILLON&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD-DQd_AWI/AAAAAAAAA3k/k7d0ch-Afmw/s1600/PAPILLON.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 279px; height: 308px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD-DQd_AWI/AAAAAAAAA3k/k7d0ch-Afmw/s400/PAPILLON.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481160078423687522" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;9 - ROTTWEILER&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD10hsV8eI/AAAAAAAAA3c/L7FQmdx3g-c/s1600/ROTTWEILER.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 354px; height: 331px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD10hsV8eI/AAAAAAAAA3c/L7FQmdx3g-c/s400/ROTTWEILER.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481151029256253922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;10 - AUSTRALIAN CATTLE DOG&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD06eiMn2I/AAAAAAAAA3U/b1D3_JJW4Yg/s1600/AUTRALIAN+CATTLE+DOG.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 267px; height: 354px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBD06eiMn2I/AAAAAAAAA3U/b1D3_JJW4Yg/s400/AUTRALIAN+CATTLE+DOG.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5481150031975980898" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-636584884842162088?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/636584884842162088/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=636584884842162088&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/636584884842162088'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/636584884842162088'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/06/aina-10-za-mbwa-wenye-akili-zaidi.html' title='AINA 10 ZA MBWA  WENYE AKILI ZAIDI DUNIANI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TBEBtYSdPcI/AAAAAAAAA4c/BDqP1m-YiBg/s72-c/border+collie.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7067490478937302378</id><published>2010-06-03T08:24:00.003+03:00</published><updated>2010-06-03T08:27:04.373+03:00</updated><title type='text'>URAFIKI WA MBWA NA KOBE</title><content type='html'>Huyu mbwa mdogo ajulikanaye kama HOPE huwa anapenda kupanda juu ya mgongo wa kobe huyu ajulikanaye kama CARL, CARL naye bila hiyana huamua kumtembeza tembeza rariki yake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;object width="640" height="385"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/TyXrSJpQ_tk&amp;color1=0xb1b1b1&amp;color2=0xd0d0d0&amp;hl=en_US&amp;feature=player_embedded&amp;fs=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="allowFullScreen" value="true"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="allowScriptAccess" value="always"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/TyXrSJpQ_tk&amp;color1=0xb1b1b1&amp;color2=0xd0d0d0&amp;hl=en_US&amp;feature=player_embedded&amp;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="640" height="385"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7067490478937302378?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7067490478937302378/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7067490478937302378&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7067490478937302378'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7067490478937302378'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/06/urafiki-wa-mbwa-na-kobe.html' title='URAFIKI WA MBWA NA KOBE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-9064252233138191345</id><published>2010-05-31T13:32:00.002+03:00</published><updated>2010-05-31T15:00:30.022+03:00</updated><title type='text'>KILIMO CHA PILIPILI MANGA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Jina la kitalaam ni Piper nigram na kwa kiingereza ni black pepper. Zao hili asili yake ni Mashariki ya Mbali, na linalimwa zaidi katika mkoa wa Tanga na Zanzibar. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Matumizi&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Pilipili nyeusi na nyeupe zote hutumika kwa mapishi ya nyama, samaki na kwa mapishi mengine mbalimbali. Nchi za magharibi zina matumizi makubwa ya viungo hivi. Aidha pilipili mtama nyeusi ndiyo huzalishwa zaidi hapa nchini. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Uzalishaji&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;• &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hali ya hewa na udongo &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Viungo vingi humea katika maeneo yenye joto la wastani kati ya nyuzi joto 24-26 na huzalishwa maeneo ya mwambao. Udongo wenye rutuba na unaopitisha maji na wenye uchachu wa kiasi cha pH 6.5. Mahitaji ya mvua ni mililita 1500-2000 kwa mwaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TAOkZV8ALaI/AAAAAAAAA3M/ZUrDIWhHwG0/s1600/manga1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TAOkZV8ALaI/AAAAAAAAA3M/ZUrDIWhHwG0/s400/manga1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5477402327105154466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;• Uchaguzi wa mbegu &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Uchaguzi huzingatia mambo yafuatayo:- &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;a)&lt;/span&gt; Urefu wa pingili na ukubwa wa majani &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;b)&lt;/span&gt; Ufupi wa pingili unaoambatana na majani madogo. &lt;br /&gt;Tofauti iko hadi kwenye umbile la matunda. Majani ya mche mama sehemu kinapokatwa kipando huondolewa wiki mbili kabla ya kukata. Vipando vyenye macho (nodes) 3-4 humika. Macho mawili huzikwa kwenye udongo na kipando kiwekewe kivuli. Inashauriwa kuweka mbolea ya samadi wakati wa kupanda. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;• Nafasi ya upandaji&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Nafasi ya kupanda ni mita 2-3 kati ya mmea na mmea endapo miche imepandwa na miti inayotakiwa kupogolewa mara kwa mara. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;•&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; Mahitaji ya mbolea &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Matumizi ya mbolea hapa Tanzania si makubwa katika kilimo cha viungo. Ingawa kiasi cha kilo 0.4 cha Urea, kilo 0.3 cha Superphosphate na kilo 0.3 cha Potash ya Muriate kinaweza kutumika kwa miche mikubwa. &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;• Miti ya kusimikia miche &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Miche hupandwa kwa kusimikiwa nguzo ili ikue kwa kujizungusha kwenye miti kama mijenga ua, n.k. Mti huo wa kusimikia nao pia hupaswa kupunguziwa majani ili kupunguza giza. Kila kabla ya msimu miti hiyo hupaswa kupunguziwa matawi (pruning). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kupogolea miche ya pilipili mtama &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mche ukifikia miezi 18 inapaswa kupogolea kwa kukata sehemu ya juu ya mche ili kufanya matawi mengine yachipue chini ya mche. Inashauriwa mche kuwa na urefu wa mita 3-3.5. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Uvunaji &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Maua ya kwanza hutoka baada ya miaka miwili. Matunda hukomaa miezi tisa (9) hadi kumi (10). &lt;br /&gt;Uvunaji ni mizunguko 5 hadi 6 kwa mwaka. Pilipili mtama inaweza kuvunwa kwa misimu miwili. Mavuno ni kati ya tani 0.35-3.75 kwa hekta. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kuhifadhi &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Pilipili mtama inaweza ikawekwa kwenye chombo kisichopitisha hewa na kudumu kwa miaka 20 bila kuharibika. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mashambulizi ya wadudu na magonjwa &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Hapa nchini hakuna matatizo makubwa ya wadudu na magonjwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Masoko &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Soko la pilipili matama linapatikana ndani ya nchi na nje pia. Bei ya ndani ni kati ya Sh1,000-1,500. Zao hili huuzwa katika nchi za Uganda, Kenya, Uingereza, Ujerumani, Mashariki ya Kati, n.k. Bei ya Nje ni wastani wa dola za kimarekani 1,985 kwa tani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-9064252233138191345?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/9064252233138191345/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=9064252233138191345&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9064252233138191345'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9064252233138191345'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/05/kilimo-cha-pilipili-manga.html' title='KILIMO CHA PILIPILI MANGA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/TAOkZV8ALaI/AAAAAAAAA3M/ZUrDIWhHwG0/s72-c/manga1.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5554802442878468334</id><published>2010-05-27T19:59:00.004+03:00</published><updated>2010-05-27T20:56:19.756+03:00</updated><title type='text'>BIO -GAS / HEWA VUNDE</title><content type='html'>Kuni na mkaa vimekuwa vikiongezeka bei kila siku pia vikiwa ni vyanzo vya uharibifu wa mazingira kutokana na ukataji miti, njia mbadala inahitajika katika kutatua tatizo hili kwa wakulima, na kinyesi cha wanyama kinaweza kutumia kuzalisha nishati ijulikanayo kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BIO –GAS&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinachofanyika ni kukusanya kinyesi cha wanyama hasa ng’ombe wanaofugwa ndani, kikichanganyika na mkojo pamoja na maji yanaelekezwa katika tanki maalum kwa ajili ya kuzalisha nishati hii. Baada ya bacteria kuozesha mchanganyiko huu kwa njia isiyohitaji hewa ya oksijeni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(anaerobic fermentation&lt;/span&gt;) nishati ya bio gas huzalisha ikiwa na wastani wa hewa ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;METHANE 65%&lt;/span&gt; na kasha gasi hii huelekezwa kwenye nyumba kwa kutumia mabomba hadi jikoni kwa ajili ya kupikia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchanganyiko uliokwisha tumika hutoka nje wenyewe kwa kusukumwa na mchanganyi ko mpya mara uingiapo, kinyeshi kinachotoka nacho pia hutumika kama mbolea kwa ajili ya kustawisha mazao ya mkulima&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_6wrDvxOMI/AAAAAAAAA3E/6AYj9vFvMxY/s1600/BIO+GAS.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 239px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_6wrDvxOMI/AAAAAAAAA3E/6AYj9vFvMxY/s400/BIO+GAS.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5476008450715629762" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;FAIDA ZA BIO-GAS&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1-&lt;/span&gt;Huongeza kipato cha mkulima kwa kupunguza muda wa kutafuta kuni na mkaa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2-&lt;/span&gt;Husaidia katika utunzaji wa mazingira kwa sababu haichafui hewa na hupunguza ukataji miti hovyo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3-&lt;/span&gt;inaweza kutumika kuwashia taa kama itazalishwa ya kutosha &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4-&lt;/span&gt;mbolea inayobaki hutumika kwa ajili ya kustawisha mazao&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5-&lt;/span&gt;Afya ya mkulima hulindwa kwa sababu upikaji kwa kutumia bio gas hauna moshi, kina mama jikoni hawaathiriki na moshi kama wakitumia kuni, badala ya kinyesi cha wanyama kuwa kingi na kukosa matumizi na kugeuka uchafu sasa kitatumika kuzalisha nishati hii&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5554802442878468334?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5554802442878468334/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5554802442878468334&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5554802442878468334'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5554802442878468334'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/05/bio-gas-hewa-vunde.html' title='BIO -GAS / HEWA VUNDE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_6wrDvxOMI/AAAAAAAAA3E/6AYj9vFvMxY/s72-c/BIO+GAS.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2027749902108115314</id><published>2010-05-17T08:51:00.004+03:00</published><updated>2010-05-17T08:58:12.893+03:00</updated><title type='text'>ZANZIBAR HAKUNA MBUNG'O</title><content type='html'>Ni miaka zaidi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;sita (6)&lt;/span&gt; tokea mbung’o waache kuonekana katika visiwa vya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Zanzibar&lt;/span&gt; na tokea kipindi hicho ng’ombe kadhaa wamekuwa wakipimwa damu ili kujua kama wana ugonjwa wa ndigana/nagana unaosambazwa na mbung’o lakini matokeo yamekuwa mazuri yakionyesha kwamba ng’ombe hawana vimelea vya ugonjwa huo hatari kwa mifugo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MBUNG'O WAKIPANDANA&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_DanDcY-LI/AAAAAAAAA04/Oik4USkpQF8/s1600/mbung%27o.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 298px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_DanDcY-LI/AAAAAAAAA04/Oik4USkpQF8/s400/mbung%27o.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5472113911729289394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii imesababisha uzalishaji wa maziwa kuongezeka mara tatu zaidi, uzalishaji wa nyama marambili zaidi, matumizi ya samadi ya mifugo nayo yameongezeka mara tano zaidi na hii inamaanisha kwamba wafugaji wa ng’ombe kipato chao kimeongezeka zaidi. Je sababu ya haya yote na mbung’o kupotea ni nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida mbung’o jike akishapandwa mara moja hawezi kupandwa tena maisha yake yote, yaani inamaanisha kwamba huwa wana mzao mmoja tu katika maisha yao yote. Sasa kinachofanyika kitaalam ni kwamba mbung’o wanakamatwa wakiwa hai kisha wana tengwa majike na madume, majike yanauwawa  na madume yanapelekwa kwenye maabara na kupigwa mionzi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;gamma&lt;/span&gt; kutoka katika &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;cobalt 60&lt;/span&gt;, baada ya hapo yanakuwa yanapanda majike kama kawaida ila yanapoteza uwezo wa kuwazalisha kwa maana hiyo watapandana bila kuzalishana na pole pole kizazi kinapotea na kufutika kabisa&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MTEGO WA KUKAMATIA MBUNG'O&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_DaY5Fz0YI/AAAAAAAAA0w/J2kD3cdjF8E/s1600/mtego.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 380px; height: 382px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_DaY5Fz0YI/AAAAAAAAA0w/J2kD3cdjF8E/s400/mtego.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5472113668432056706" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa Zanzibar zoezi lilifanikiwa asilimia 100 kwa sababu mbung’o hawawezi kutoka sehemu nyingine na kuhamia Zanzibar kwa kuwa ni kisiwa, pia wao walizalisha madume mengi kwenye maabara na kuyaachia baada ya kuyaua kizazi, njia hii inajulikana kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;sterile male technique&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2027749902108115314?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2027749902108115314/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2027749902108115314&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2027749902108115314'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2027749902108115314'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/05/zanzibar-hakuna-mbungo.html' title='ZANZIBAR HAKUNA MBUNG&apos;O'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S_DanDcY-LI/AAAAAAAAA04/Oik4USkpQF8/s72-c/mbung%27o.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7332019766170301719</id><published>2010-05-06T11:00:00.003+03:00</published><updated>2010-05-06T11:17:43.936+03:00</updated><title type='text'>KUPUNGUZIA MATAWI MITI JAMII YA MICHUNGWA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Bw Elyc&lt;/span&gt; ameniambia kwamba nimwelekeze jinsi ya kupunguzia matawi ya miche yake jamii ya michungwa nami namwomba azingatie haya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1-&lt;/span&gt; Kipindi kizuri cha kupunguzia matawi miti yako ni kipindi cha jua na wakati huu mimea isiwe na matunda wala maua&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2-&lt;/span&gt; Matawi yanakatwa sehemu zile zenye magonjwa , zilizokufa, matawi yaliyofungamana au katikati ya mti ili kuufanya utawanyike vizuri&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3-&lt;/span&gt; Pia punguza matawi yaliyopo kwenye njia  pamoja na matawi yanayoelekea kuelemewa kutokana na kuwa na matawi madogo mengi zaidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4-&lt;/span&gt; Tumia zana maalum za kupunguzia matawi kama mikasi na misumeno maalum inayopatikana kwenye maduka ya pembejeo za kilimo, uwe mwanagalifu vifaa hivi visikuumize maana vina ncha kali na tumia vifaa vya kujikinga kama mabuti maalum ya mashambani na glovu za mikononi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5-&lt;/span&gt; Milimao inabidi ipunguziwe matawi kila Mwaka au kila baada ya miaka miwili, kila tawi lipunguze kiasi cha robo au theluthi ya juu, kwa kufanya hivi mlimao hautakuwa mkubwa sana na kusababisha usumbufu wakati wa kuvuna&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MCHUNGWA AINA YA JAFFER&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S-J6mzlGhBI/AAAAAAAAA0o/AlKvEM18itM/s1600/jaffer.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 297px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S-J6mzlGhBI/AAAAAAAAA0o/AlKvEM18itM/s400/jaffer.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5468067704680645650" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;6- ZINGATIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(a)&lt;/span&gt;Panda miche yako kwa nafasi zinazokubalika kitaalam laa sivyo mime yako ikibanana itakuwa inakimbilia juu, kwa michungwa aina ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;jaffer&lt;/span&gt; panda mita 8 kwa 8 &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(8m * 8m)&lt;/span&gt; na kwa aina ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Valencia&lt;/span&gt; panda &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(5m * 8m)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(b)&lt;/span&gt;kumbuka kupunguzia miche yako jamii ya michungwa kuna maanisha kupunguza mazao kwa sababu mti mkubwa ndio unazaa matunda mengi, usiupunguze matawi mti wako kama huna sababu ya kufanya hivyo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(c)&lt;/span&gt;Vifaa vinavyotumika kwa ajili ya kupunguzia matawi viwe na makali ya kutosha kuepusha kupasua na kuchana matawi, unaweza kuomba afisa ugani wa eneo lako ili akuonyeshe kwa vitendo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(d)&lt;/span&gt;Kama utachanganya michungwa ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;jaffer&lt;/span&gt; na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Valencia&lt;/span&gt; uipande kwa uwiano  wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2:5&lt;/span&gt; yaani katika kila michungwa 7 miwili iwe jaffer na mitano iwe Valencia, hii ni kwa sababu michungwa aina ya jaffer ni mikubwa na inazaa sana na inawahi kuiva lakini haihimili sana ukame, michungwa ya Valencia ina uzazi wa wastani na inahimili ukame kwa hiyo ukiichanganya shambani utapata mavuno ya mwanzo kwenye jaffer na mavuno ya kati yatakuwa na mchanganyiko wa jaffer za mwisho na Valencia za mwanzo na kisha mwisho utapata mavuno ya Valencia tu. Kwa hiyo utakuwa na machungwa katika msimu wote wa mavuno na ii itazuia machungwa kuiva yote pamoja na kuharibikia shambani&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7332019766170301719?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7332019766170301719/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7332019766170301719&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7332019766170301719'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7332019766170301719'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/05/kupunguzia-matawi-miti-jamii-ya.html' title='KUPUNGUZIA MATAWI MITI JAMII YA MICHUNGWA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S-J6mzlGhBI/AAAAAAAAA0o/AlKvEM18itM/s72-c/jaffer.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-1507936958369482155</id><published>2010-05-04T12:51:00.005+03:00</published><updated>2010-05-04T13:17:42.811+03:00</updated><title type='text'>JINSI YA KULIMA BUSTANI KWENYE ENEO LENYE MAJIMAJI</title><content type='html'>Kutokana na tatizo la bwana &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chacha Wambura Ng'wanambiti&lt;/span&gt; katika post hii hapa http://mataranyirato.blogspot.com/2010/05/aisifuye-mvua-imemnyea.html nimeamua kutoa maelezo kwa ufupi jinsi ya kukabiliana na sehemu ambazo maji husimama wakati wa mvua&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9_zj_P7aoI/AAAAAAAAA0g/HG01W6TGbcs/s1600/kubota.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 357px; height: 204px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9_zj_P7aoI/AAAAAAAAA0g/HG01W6TGbcs/s400/kubota.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5467356272250284674" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1-&lt;/span&gt; Lima na tifua udongo kwa kutumia trekta la mkono (power tiller) kiasi cha inchi 12 chini, udongo mwingine unaweza kuujaza kama matuta na kuweka mifereji pande zote la eneo lako. Kama huna trekta hili pia unaweza kutumia jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2-&lt;/span&gt; Jaza majani makavu, vijiti, maranda ya mbao n.k kiasi cha inchi 5 -6 halafu mbolea vunde au samadi kiasi cha inchi 4 halafu rudishia udongo wako juu yake na hapo utakuwa umeinyajua ardhi yako kiasi cha inchi 8 juu (kumbuka maranda na mbolea vitadidia kidogo) kisha pitisha harrow au jembe la kukokotwa na ng’ombe ili kuweza kuchanganya vitu hivi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9_ygCwZf_I/AAAAAAAAA0Y/QhymbIqYeCY/s1600/VUNDE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 286px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9_ygCwZf_I/AAAAAAAAA0Y/QhymbIqYeCY/s400/VUNDE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5467355104960675826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3-&lt;/span&gt; Acha udongo wako ukauke kiasi cha siku 3 kisha pitisha harrow au jembe la kukokotwa na ng’ombe tena ili kuvunja vunja mabonge ya udongo yaliyotokea wakati wa udongo kukauka na pia kuchanganya mchanganyiko huu zaidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4-&lt;/span&gt; Weka tena mbolea vunde au samadi kiasi cha nchi mbili juu ya mchanganyiko huu kisha panda mbegu au miche yako na uizungushie udongo kiasi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5-&lt;/span&gt; Mwagia maji kadri inavyo hitajika kama udongo utakuwa mkavu, na uendelee kufuata kanuni za kilimo bora kama inavyoshauriwa kitaalamu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9_v1n8Wx7I/AAAAAAAAA0Q/UGxhV5nfp7A/s1600/MAKSAI.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 243px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9_v1n8Wx7I/AAAAAAAAA0Q/UGxhV5nfp7A/s400/MAKSAI.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5467352177185310642" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-1507936958369482155?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/1507936958369482155/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=1507936958369482155&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1507936958369482155'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1507936958369482155'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/05/jinsi-ya-kulima-bustani-kwenye-eneo.html' title='JINSI YA KULIMA BUSTANI KWENYE ENEO LENYE MAJIMAJI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9_zj_P7aoI/AAAAAAAAA0g/HG01W6TGbcs/s72-c/kubota.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2292784713187303785</id><published>2010-04-30T03:28:00.003+03:00</published><updated>2010-04-30T03:52:02.917+03:00</updated><title type='text'>MSEELE - delonix elata</title><content type='html'>Kutokana na maombi ya ndugu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Godleader A Shoo&lt;/span&gt; alitaka kujua matumizi ya mti wa mdodoma, mti huu hujulikana kitaalam kama delonix elata na jina la kiswahili ni mseele lakini watu wengi wanauita mdodoma kwa sababu imepandwa sana Dodoma na hii inatokana na kuhimili kwake hali ya ukame&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9opfaqXS2I/AAAAAAAAA0I/RHXbnH54vYU/s1600/mseele.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9opfaqXS2I/AAAAAAAAA0I/RHXbnH54vYU/s400/mseele.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5465726717477210978" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miti hii inauwezo wa kuhimili joto kali na baridi ya wastani kwa hiyo inaweza kuota ukanda wa pwani hadi ukanda wa akti mikoa ya Dodoma, Singida, Shinyanga n.k&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MATUMIZI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1-&lt;/span&gt; Wengi huipanda kwa ajili ya mapambo na hii hutokana na mwonekano wake mzuri na pia maua yake yanapochanua hupendeza pia&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2-&lt;/span&gt; Kwenye miti hii tunapata pia kuni kwa ajili ya kupikia na ndio maana hupandwa sana maeneo makame kwa sababu pia inakuwa haraka kiasi&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3-&lt;/span&gt;Nguzo za kujengea pia zinapatikana kama mti utaacha ukue, nguzo si kubwa sana lakini kwa nyumba za vijijini zinatosha kabisa, pia nguzo hizi huweza kutoa mbao&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4- &lt;/span&gt;Dawa za magonjwa mbali mbali kama vile majani yakipondwa husaidia kupunguza uvimbe na pia kupunguza sumu ya wadudu kama nyuki, manyigu, na nge. Pia mizizi yake ikichemshwa na kunywewa husaidia matatizo ya tumbo&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5-&lt;/span&gt; Majani yake huweza kutumika kama chakula cha mifugo, ukipanda miche hii hakikisha hamna wanyama kama mbuzi na Ng'ombe maana wataila ikiwa midogo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAUA YA MSEELE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9oonQhRznI/AAAAAAAAA0A/Bm1T11uMZuQ/s1600/mseele+maua.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9oonQhRznI/AAAAAAAAA0A/Bm1T11uMZuQ/s400/mseele+maua.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5465725752682073714" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2292784713187303785?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2292784713187303785/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2292784713187303785&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2292784713187303785'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2292784713187303785'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/04/mseele-delonix-elata.html' title='MSEELE - delonix elata'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9opfaqXS2I/AAAAAAAAA0I/RHXbnH54vYU/s72-c/mseele.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-6559578471339904940</id><published>2010-04-23T17:35:00.007+03:00</published><updated>2010-04-23T17:58:14.002+03:00</updated><title type='text'>FUNGATE LA MKULIMA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Tukiwa na babu na bibi yangu mzee Msumari nyumbani kwake Makorora Tanga, huyu ni mdogo wa mwisho wa Bibi mzaa Baba na ndiye aliyebakia pekee&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9GzHSqF9MI/AAAAAAAAAzw/R7wgKabji2I/s1600/BABU.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9GzHSqF9MI/AAAAAAAAAzw/R7wgKabji2I/s400/BABU.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463344760825967810" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Tunapata msosi na my wife wangu tukiwa kijijini kwetu, hapa ni Ugali, kuku wa kienyeji na Mchunga bila kusahau ngogwe na chachandu la mbilimbi halafu tunashushia na mnazi au boha&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9GyfECL2TI/AAAAAAAAAzo/1-etGBl_Tx4/s1600/MSOSI.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9GyfECL2TI/AAAAAAAAAzo/1-etGBl_Tx4/s400/MSOSI.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463344069705718066" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Kaburi la Marehemu Baba yangu mzee Reginald Bennet huko Muhinduro Tarafa ya Maramba Wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9Gx631P9II/AAAAAAAAAzg/Eon7EX-_pyM/s1600/DSC02652.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9Gx631P9II/AAAAAAAAAzg/Eon7EX-_pyM/s400/DSC02652.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463343447954945154" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9Gxovw218I/AAAAAAAAAzY/dHJ58GAicb0/s1600/BABA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9Gxovw218I/AAAAAAAAAzY/dHJ58GAicb0/s400/BABA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463343136551393218" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Hili ni kaburi la marehemu Bibi mzaa Baba aitwaye Perpetua Mohamed kijijini kwetu Muhinduro Tarafa ya Maramba Wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9Gw_JWsNnI/AAAAAAAAAzQ/PbX4XSTtvaQ/s1600/BIBI.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9Gw_JWsNnI/AAAAAAAAAzQ/PbX4XSTtvaQ/s400/BIBI.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463342421866460786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wife akishangaa machungwa, yakiwa madogo hivi tunaita mawashata taa&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9G0x-LKelI/AAAAAAAAAz4/mP-JEai4O9M/s1600/DSC02644.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9G0x-LKelI/AAAAAAAAAz4/mP-JEai4O9M/s400/DSC02644.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463346593573534290" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;NB&lt;/strong&gt; Picha za tukiwa Lushoto na Pangani sitaziweka humu kutokana na maombi ya mke wangu (privacy)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-6559578471339904940?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/6559578471339904940/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=6559578471339904940&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6559578471339904940'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6559578471339904940'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/04/fungate-la-mkulima.html' title='FUNGATE LA MKULIMA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9GzHSqF9MI/AAAAAAAAAzw/R7wgKabji2I/s72-c/BABU.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-6442820393368283183</id><published>2010-04-22T14:23:00.002+03:00</published><updated>2010-04-22T14:30:31.183+03:00</updated><title type='text'>MSIONE NIKO KIMYA NIKO KWENYE FUNGATE</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9AzR88cRiI/AAAAAAAAAyw/pbuJt_7IOo8/s1600/FUNGATE.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9AzR88cRiI/AAAAAAAAAyw/pbuJt_7IOo8/s400/FUNGATE.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5462922731510842914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-6442820393368283183?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/6442820393368283183/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=6442820393368283183&amp;isPopup=true' title='16 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6442820393368283183'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/6442820393368283183'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/04/msione-niko-kimya-niko-kwenye-fungate.html' title='MSIONE NIKO KIMYA NIKO KWENYE FUNGATE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S9AzR88cRiI/AAAAAAAAAyw/pbuJt_7IOo8/s72-c/FUNGATE.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>16</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5002472153050004237</id><published>2010-03-26T22:49:00.002+03:00</published><updated>2010-03-26T22:52:34.471+03:00</updated><title type='text'>KONDOO AKISAIDIWA KUZAA WATOTO MAPACHA</title><content type='html'>&lt;object width="640" height="385"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/spy2Jdq2wr8&amp;color1=0xb1b1b1&amp;color2=0xcfcfcf&amp;hl=en_US&amp;feature=player_embedded&amp;fs=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="allowFullScreen" value="true"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="allowScriptAccess" value="always"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/spy2Jdq2wr8&amp;color1=0xb1b1b1&amp;color2=0xcfcfcf&amp;hl=en_US&amp;feature=player_embedded&amp;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="640" height="385"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5002472153050004237?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5002472153050004237/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5002472153050004237&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5002472153050004237'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5002472153050004237'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/03/kondoo-akisaidiwa-kuzaa-watoto-mapacha.html' title='KONDOO AKISAIDIWA KUZAA WATOTO MAPACHA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3787903116405634335</id><published>2010-03-26T21:20:00.006+03:00</published><updated>2010-03-26T22:00:36.807+03:00</updated><title type='text'>JINSI YA KUKATA MICHE YA MISOJI (MITIKI)</title><content type='html'>Kwa kawaida miche ya misoji mara baada ya kutolewa kwenye kitalu huitaji kukatwa, mjasiliamali aliyeko jijini Mwanza aitwae&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; NAYMA&lt;/span&gt; aliniomba nimwelekeze kwa picha na mimi bila hiyana nilikwenda shamba na kung,oa mche mmoja na kuukata na kuupiga picha kabla ya kuukata na baada ya kuukata ili kupata kipandikizi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MCHE KABLA YA KUKATWA (angalia mishale kujua sehemu za kukata)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60BIS8grpI/AAAAAAAAAyY/NBsFo85ztzc/s1600/mche2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60BIS8grpI/AAAAAAAAAyY/NBsFo85ztzc/s400/mche2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5453015965851758226" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mche wangu niliukata na kuacha kiasi cha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;nchi mbili&lt;/span&gt; au pingili mbili za vidole kwa sehemu ya juu ya mzizi na kwenye mzizi niliondoa ile sehemu nyembamba ya chini, kwa kawaida hii sehemu ya chini hufa mara baada ya kupandwa kwa sababu sehemu nene/kubwa ya mzizi inayoachwa ndiyo huifadhi maji na chakula cha mmea, nadhani hapa nitakuwa nimemsaidia kama bado nipigie kwenye ile namba niliyokupa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KIPANDIKIZI TAYARI KWA KUPANDWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60AeDSrTDI/AAAAAAAAAyQ/WNgIfNgfktw/s1600/kipanikizi2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60AeDSrTDI/AAAAAAAAAyQ/WNgIfNgfktw/s400/kipanikizi2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5453015240095255602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbuka wakati wa kupandwa lazima uweke kisahani ili kiweze kukusanya maji kwa ajili ya ukuaji mzuri, kama ni udongo unaotuamisha maji usiweke kisahani bali wekea kama tuta au mwinuko&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WEKA KISAHANI KAMA UDONGO HAUTUAMISHI MAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60DpONYPgI/AAAAAAAAAyg/jguF_XJ0ZzQ/s1600/KISAHANI.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 343px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60DpONYPgI/AAAAAAAAAyg/jguF_XJ0ZzQ/s400/KISAHANI.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5453018730539269634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WEKA TUTA KAMA UDONGO UNATUAMISHA MAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60D_-fFANI/AAAAAAAAAyo/MG3qbnuLNB4/s1600/TUTA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 343px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60D_-fFANI/AAAAAAAAAyo/MG3qbnuLNB4/s400/TUTA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5453019121455530194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3787903116405634335?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3787903116405634335/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3787903116405634335&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3787903116405634335'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3787903116405634335'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/03/jinsi-ya-kukata-miche-ya-misoji-mitiki.html' title='JINSI YA KUKATA MICHE YA MISOJI (MITIKI)'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S60BIS8grpI/AAAAAAAAAyY/NBsFo85ztzc/s72-c/mche2.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4702576107510248806</id><published>2010-03-19T18:29:00.005+03:00</published><updated>2010-03-19T18:57:28.998+03:00</updated><title type='text'>MBWA WAKIPANDANA KWA NINI HUNASIANA AU KUNATANA?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S6Oel9HjBmI/AAAAAAAAAyA/h91HWhscusQ/s1600-h/mbwa.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 343px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S6Oel9HjBmI/AAAAAAAAAyA/h91HWhscusQ/s400/mbwa.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5450374348946998882" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadhani karibia kila mtu ameshawahi kuona mbwa wakipandana, kama bado basi maelezo haya yatakusaidia siku ukiwaona, mara baada ya mbwa dume kumpanda jike utaona dume anageuka na kupeana mgongo na jike kila mmoja akiangalia upande wake wakati huo huo, uume ukiwa bado ndani ya uke, wanakuwa kama wanavutana na wakati mwingine wanaweza kutoa milio kama wanalalamika, unaweza kuhisi wanaumia na ukataka kuwatenganisha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ACHA&lt;/span&gt;  na wala usijaribu kufanya hivyo utawaumiza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida mbwa dume anapoanza kumpanda jike uume unakuwa haujasimama bali husaidiwa na kiuongo kijulikanacho kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;baculum&lt;/span&gt;, hii ni tishu kama mfupa na iko ndani ya uume wa mbwa. Wakati mbwa dume anapotaka kumwaga manii ndani ya uke ndipo damu hujaa kwenye uume na hapo uume hutanuka &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(kudinda)&lt;/span&gt; kwa hiyo akimaliza kutoa manii uume hunasa ndani ya uke kwa sababu ya kule kutanuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S6OeaO8t6lI/AAAAAAAAAx4/2gYE_VjYHGA/s1600-h/mbwa1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 257px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S6OeaO8t6lI/AAAAAAAAAx4/2gYE_VjYHGA/s400/mbwa1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5450374147574983250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbwa dume anapogeuka anazipa muda Mbegu za kiume ziweze kuingia vizuri kwenye uke na hivyo kusababisha ujauzito, ukitumia nguvu kuwaachanisha, mbali na kuumia pia jike &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;hataweza kupata ujauzito&lt;/span&gt;. Hiki ni kitu cha asili kwa hiyo husaidia pia kuzuia madume mengine yasiingilie tendo hili na kulikatisha wakati Mbegu bado zinaogelea na kuyafuata mayai kwenye mji wa mimba, kwa kawaida hata kama mbwa madume walikuwa wanapigana kila mmoja akitaka kumpanda jike, mara baada ya Yule aliyefanikiwa kupanda na kugeuka wale wengine huacha vurugu zote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MBWA WALIONASIANA BAADA YA KUPANDANA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S6Od14d9QAI/AAAAAAAAAxw/JUZonEq5JJI/s1600-h/mbwa2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 263px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S6Od14d9QAI/AAAAAAAAAxw/JUZonEq5JJI/s400/mbwa2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5450373523065094146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tendo hili huchukua kati ya dakika &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;20 – 30&lt;/span&gt; na mbwa hufanikiwa kunasuka mara baada ya damu kupungua kwenye uume na uume kusinyaa na kupungua ukubwa. Kwa mbwa dume ambaye ni mara yake ya kwanza kupanda basin a hata yeye huchanganyikiwa atakapoona amenasa, anaweza hata kujaribu kujinasua au kupiga kelele, unachotakiwa ni kumshika shika shika mbwa wako kichani huku ukimuongelesha kwa upole, yaani jaribu kumpunguza presha ili atulie&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4702576107510248806?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4702576107510248806/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4702576107510248806&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4702576107510248806'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4702576107510248806'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/03/mbwa-wakipandana-kwa-nini-hunasiana-au.html' title='MBWA WAKIPANDANA KWA NINI HUNASIANA AU KUNATANA?'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S6Oel9HjBmI/AAAAAAAAAyA/h91HWhscusQ/s72-c/mbwa.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2635095403459566681</id><published>2010-03-08T19:47:00.006+03:00</published><updated>2010-03-08T20:16:33.724+03:00</updated><title type='text'>KILIMO CHA UYOGA</title><content type='html'>Miaka ya karibuni, utaalamu wa kuotesha uyoga umeanza hapa Tanzania baada ya watu kutilia maanani lishe bora ya protini na manufaa mengine ya zao hilo. Kwa kuwa uyoga upo wa aina mbalimbali, usitawishaji wake hutofautiana katika mahitaji yake, ikiwa ni pamoja na hali ya hewa, malighafi za kuoteshea, urahisi wa teknologia ya kuotesha katika mazingira ya Tanzania na soko lake kwa wananchi na katika hotel. Hata hivyo ni wananchi wachache tu wanaojua kilimo cha uyoga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5UuzyUmSMI/AAAAAAAAAxc/52661ehFxv0/s1600-h/uyoga.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 231px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5UuzyUmSMI/AAAAAAAAAxc/52661ehFxv0/s400/uyoga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5446310791590856898" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uyoga unaozalishwa unafahamika. Aina zinazofaa kwa Tanzania ni zile ambazo hustawi vizuri, kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi joto 20C hadi 33C. Kwa mfano uyoga aina ya mamama n.k. Aina hizi za uyoga pia uhitaji hali ya unyevu hewani (moisture) wa kiasi cha asilimia 75%.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UOTESHAJI WA UYOGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kuanza kuzalisha uyoga inabidi kuwa na chumba chenye paa ambalo litazuia jua, mvua, na vumbi. Chumba hiki kinatakiwa kiwe na sakafu inayohifadhi unyevunyevu pamoja na sehemu ya giza ambayo ni muhimu kwa kuotesha utando wa uyoga. Mkulima&lt;br /&gt;wa kawaida anaweza kutumia kasha kama sehemu ya giza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbegu za uyoga huzalishwa kwenye maabara zenye vifaa vinavyowezesha kuotesha mbegu hizo bila kuchafuliwa au kuchanganyika na vimelea kama bakteria, ukungu au jamii&lt;br /&gt;nyingine za uyoga ambazo haziliwi. Hapa Tanzania hivi sasa maabara hizo zipo Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(SUA)&lt;/span&gt;, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kituo cha utafiti wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kilimo-Uyole&lt;/span&gt; na taasisi ya utafiti wa kilimo cha bustani- Tengeru (&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HORTI&lt;/span&gt; –&lt;br /&gt;Tengeru, Arusha).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HATUA MUHIMU ZA KUOTESHA UYOGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Hatua muhimu za kuotesha uyoga baada ya kupata mbegu ni kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;Kusanya masalia ya mazao kama vile mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua nk. Vitu hivi hutumika kama mali&lt;br /&gt;ghafi kwa kuoteshea uyoga.&lt;br /&gt;Mabua, majani ya mpunga au migomba yakatwe kwa urefu usiozidi sm 6, au urefu wa vidole kwa kutumia panga au kisu.&lt;br /&gt;Loweka mali ghafi kwenye maji ya kawaida kwa muda wa siku nzima (masaa 24).&lt;br /&gt;Kisha yachemshe kwa muda wa saa mbili ili kuua vijidudu pamoja na vimelea vilivyomo.&lt;br /&gt;Ipua na umwage maji yote halafu tandaza kwenye kichanja kisafi ili yapoe bila kuchafuliwa na vumbi au vijidudu.&lt;br /&gt;Kisha jaza mali ghafi hii katika mifuko ya nailoni tayari kwa&lt;br /&gt;kupanda mbegu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NAMNA YA KUPANDA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kuna aina mbili za upandaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;AINA YA KWANZA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5UuKlCEcQI/AAAAAAAAAxM/BtsvwOydL0Y/s1600-h/MFUKO+WA+UYOGA.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 399px; height: 365px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5UuKlCEcQI/AAAAAAAAAxM/BtsvwOydL0Y/s400/MFUKO+WA+UYOGA.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5446310083648844034" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chukua mfuko wa nailoni wenye upana wa cm 40 - 45 na kimo cm 75. Weka tabaka la mali ghafi ya kuoteshea yenye kina cha sm 10 katika mfuko halafu tawanya mbegu ya uyoga juu yake. Baada ya kuweka mbegu, weka tena tabaka nyingine ya vioteshea na kuweka &lt;br /&gt;mbegu juu yake. Endelea kuongeza tabaka kwa namna hii mpaka ifike ujazo wa robo tatu ya mfuko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;AINA YA PILI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5Uw2FMLHzI/AAAAAAAAAxk/pQ5oFnRMYIQ/s1600-h/MFUKO.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 397px; height: 340px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5Uw2FMLHzI/AAAAAAAAAxk/pQ5oFnRMYIQ/s400/MFUKO.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5446313030038789938" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Changanya malighafi ya kuoteshea (baada ya kuchemshwa na kupoa) na mbegu ya uyoga katika uwiano wa 1: 25 (mbegu : malighafi ya kuoteshea) kwa uyoga aina ya mamama (Pleurotus spp.)Kisha mchanganyiko huo ujazwe katika mifuko ya nailoni mifuko hii&lt;br /&gt;iwe na ukubwa wa cm 20 kwa cm 40 ambamo unaweza kujaza kilo 1 – 1.5 ya mali ghafi ya kuoteshea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Funga mifuko na toboa matundu kwenye mifuko yenye kipenyo cha cm 1 kwa kila umbali wa cm 6 hadi 10 kwa kila mfuko.Matundu yawe mengi ili kuingiza hewa ya kutosha ndani ya mifuko. Kumbuka uyoga ni kiumbe hai hivyo unahitaji kupumua kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini. &lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5UuhGgoNsI/AAAAAAAAAxU/saxkhtQ21hA/s1600-h/UYOGA+MATUNDU.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 399px; height: 365px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5UuhGgoNsI/AAAAAAAAAxU/saxkhtQ21hA/s400/UYOGA+MATUNDU.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5446310470592509634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MATUNZO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Weka mifuko kwenye chumba cha giza. Kwa mkulima wa kawaida waweza kutumia kasha lisilopitisha mwanga kama chumba cha giza. Acha mifuko humo kwa muda wa siku 14 - 21 bila kufunua ili ukungu mweupe uweze kutanda vizuri.Utando wa uyoga ukishatanda vizuri kwenye mali ghafi ya kuoteshea, hamishia kwenye chumba chenye mwanga na hewa ya kutosha kisicho pigwa na jua. Katika chumba chenye mwanga, mifuko inaweza kuwekwa&lt;br /&gt;kwenye, meza, chanja la waya au miti. Mifuko inaweza pia kuning’inizwa kwenye kamba toka kwenye boriti za paa la chumba hicho. Unatakiwa kudumisha hali ya unyevu kwenye chumba hicho cha mwanga kwa kumwaga maji sakafuni. Ukiona vipando vinakauka&lt;br /&gt;unaweza kunyunyizia maji yaliyochemshwa na kupoa juu ya mifuko mara tatu au zaidi kwa siku. Tumia bomba la mkononi lenye ukubwa wa lita moja kunyunyizia maji. &lt;br /&gt;Tafadhali: usizidishe maji kwani maji yakiwa mengi sana yaweza kuozesha uyoga uliyoanza kuota. Aina nyingi za uyoga huanza kutoa vichwa (pini) siku 2 - 3 baada&lt;br /&gt;ya kuwekwa kwenye mwanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UVUNAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Uyoga huwa tayari kuchumwa siku tatu baada ya vichwa /pini kuonekana.&lt;br /&gt;Uyoga uvunwe kwa mkono kwa kushika katikati ya shina la uyoga kisha zungusha hadi uyoga ung’oke. Usiondoe kichwa peke yake katika kuvuna uyoga kwani kubakiza shina huzuia uyoga mwingine kutokea. Mkulima anatakiwa ajue soko la uyoga kabla ya kuvuna ili kuepuka gharama za kuhifadhi. Kwani uyoga ukishavunwa unatakiwa uliwe&lt;br /&gt;kabla haujaharibika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JINSI YA KUHIFADHI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;i) Unaweza ukauweka uyoga kwenye mifuko ya karatasi na kuhifadhi kwenye jokofu.&lt;br /&gt;ii) Unaweza ukauanika juani hadi ukauke na kuweka kwenye mifuko ya nailoni liyofungwa vizuri ili isipitishe hewa na unyevu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SOKO LA UYOGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;i) Watu wengi hupenda uyoga mbichi uliotoka shambani wakati huo huo kama kitoweo, kwa kutumia kama nyama, samaki, au kama kiungo.&lt;br /&gt;ii) Unaweza kuuza uyoga mbichi kwa bei ya shilingi 3000/= hadi 5000/= kwa kilo kwa uyoga aina ya mamama.&lt;br /&gt;Pia unaweza kuuza nje ya nchi ikiwa uyoga wako ni kiasi kikubwa na uko katika viwango vinavyo kubalika kimataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5Ut0beKksI/AAAAAAAAAxE/mWvwIXp1mxQ/s1600-h/MAMAMA.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 397px; height: 340px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5Ut0beKksI/AAAAAAAAAxE/mWvwIXp1mxQ/s400/MAMAMA.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5446309703125209794" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAMBO YA KUZINGATIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Uzalishaji wa uyoga huzingatia sana hali ya hewa na vifaa ulivyonavyo, hivyo basi, kabla hujachagua aina ya uyoga unaotaka kupanda pata ushauri kwa wataalamu walio&lt;br /&gt;karibu nawe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukishanunua mbegu, kama hupandi kwa muda huo, hakikisha umehifadhi mbegu hiyo kwenye jokofu. Kama huna jokofu la kuhifadhia, nunua mbegu baada ya kuandaa kila kitu. Hata hivyo, uotaji wa mbegu huwa mzuri kama zitakaa nje ya jokofu kwa siku mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbegu za uyoga huwekwa ndani ya chupa yenye ujazo wa mililita 300, waweza kutumia chupa moja katika kupanda kwenye kilo 15 ya mali ghafi ya kuoteshea. Hakikisha&lt;br /&gt;unamaliza mbegu yote iliyo ndani ya chupa kwani ikibaki itapata maambukizo ya vimelea.&lt;br /&gt;Hakikisha unaponunua mbegu iwe ni nyeupe. Mbegu ambayo siyo nyeupe ni dalili za maambukizo ya vimelea vingine na hivyo haifai kwa kupanda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakikisha chumba cha kupandia ni kisafi na hakipati vumbi toka nje ili kuzuia maambukizo ya magonjwa ya uyoga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usimwagilie uyoga maji yasiyochemshwa kwani maji hayo mara nyingi si salama. Yaweza kusababisha vimelea vingine kuota, kwani uyoga ni dhaifu kuhimili ushindani wa&lt;br /&gt;vimelea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia waweza kusababisha magonjwa ya uyoga ambayo kutibu kwake kunahitaji kutumia dawa za viwandani ambazo ni sumu na hivyo kusababisha madhara kwa mlaji. Unaweza kupata faida nyingi kutokana na uzalishaji wa uyoga,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;FAIDA ZA UYOGA:-&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Lishe kama protini inayolingana na ile ipatikanayo kwenye maziwa, samaki na kunde. Pia utapata vitamini B, C, na D, na madini ya joto, phosphoras, chuma na potashi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uyoga husadikika kutibu maradhi kama kifua kikuu, kisukari, moyo, shinikizo la damu na figo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Masalia ya mazao hutumika katika kuzalishia uyoga, na baada ya kilimo cha uyoga yanaweza kutumika kama mbolea asili kwa kilimo cha bustani. Masalia ya kilimo cha uyoga pia hutumika kama chakula cha mifugo kama ng’ombe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kilimo hiki huhitaji eneo dogo sana la ardhi na kiasi kidogo cha maji, hivyo hupunguza tatizo la ukosefu wa ardhi na ugomvi katika jamii ambao unatokana na tatizo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kilimo hiki ni njia nyepesi ya kutoa ajira kwa familia kutokana na gharama ndogo, teknolojia rahisi inayotumika na pato lake kubwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2635095403459566681?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2635095403459566681/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2635095403459566681&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2635095403459566681'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2635095403459566681'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/03/kilimo-cha-uyoga.html' title='KILIMO CHA UYOGA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S5UuzyUmSMI/AAAAAAAAAxc/52661ehFxv0/s72-c/uyoga.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7160634034443966245</id><published>2010-02-21T20:05:00.006+03:00</published><updated>2010-02-21T20:35:28.503+03:00</updated><title type='text'>MAKAKARA - PASSION FRUITS</title><content type='html'>Ni mimea inyotambaa na kuhimili hali nyingi za hewa (sio ukame) mme huu hustawi zaidi ukanda usio na baridi wastani wa 20c – 30c na kiasi cha mvua 1500mm za ujazo kwa Mwaka, tunda huwa na ukubwa wa sentimeta 10 kwa kipenyo na uzito gramu 90, kuna aina kadhaa za matunda haya lakini yale ya kijani/manjano hustawi zaidi ukanda wa pwani na yale yenye wekundu Fulani  hustawi zaidi maeneo ya misitu, hupendelea udongo wa kichanga wenye mbolea na usiotuamisha maji, pia udongo usiwe na chumvi nyingi na pia kusiwe na mwamba chini kasi cha mita moja tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4Ft4v-DpUI/AAAAAAAAAw0/Pj9R2kxoVMk/s1600-h/makakara.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 257px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4Ft4v-DpUI/AAAAAAAAAw0/Pj9R2kxoVMk/s400/makakara.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5440750646557123906" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UPANDAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mbegu zipandwe kwanza kwenye mifuko ya plastiki yenye udongo wenye rutuba ya kutosha , kiasi cha Mbegu 3 kwa kila mfuko na mara zinapoota mimea ikingwe na jua kali na ikifikia urefu wa sentimeta 30, huweza kuhamishiwa shambani&lt;br /&gt;Kwenye shamba lako hakikisha kuna nguzo zenye waya mmoja kwa ajili ya mimea kutambaa juu yake, sehemu ya juu baada ya nguzo kuzikwa chini ibakie kama mita mbili na kati ya msatari na mstari iwe ni mita 2 (ukanda wa pwani ) na mita 3 ukanda wa juu kiasi, na umbali kati ya nguzo na nguzo kwenye mstari ni mita 6, na mimea ipandwe umbali wa mita 3 kati ya nguzo na nguzo kufuata mstari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4FtcaMl29I/AAAAAAAAAwk/-r0La_wfsNY/s1600-h/NGUZO+WAYA.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 399px; height: 365px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4FtcaMl29I/AAAAAAAAAwk/-r0La_wfsNY/s400/NGUZO+WAYA.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5440750159676169170" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UANGALIZI&lt;br /&gt;MBOLEA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mbolea za viwandani ziwekwe kutokana na hali ya udongo, muone afisa ugani kilimo ili afanye vipimo kujua mahitaji na upungufu wa udongo,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAGONJWA WADUDU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Wadudu kama chawa wa mimea na mchwa wekundu ndio adui wa makakara, pia fangasi husshambulia sana maua ya makakara. Dawa za jamii ya kopa zitumike mara dalili za magonjwa au wadudu kuonekana, kiasi cha kilo 2.8 – 3 hutosha kwa hekta moja au gramu 225 kwa ajili ya dumu moja la lita 20&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAGUGU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Makakara yanatakiwa yawe kwenye shamba safi lisilo na majani na magugu, jembe la Mkono au madawa kama ROUND-UP na GRAMOXONE ynaweza kutumika mimea ikishaefuka na kuwa juu kwenye waya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUFUNDISHA MIMEA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ni lazima kuyafundisha matawi mawili ya kwanza kwa kuyaelekeza kutambaa kwenye waya kila moja likielekea upande wake na matawi yatakayoota kutokana na matawi makuu nayo yaelekezwe juu kwenye waya yakifikia ukubwa wa sentimeta 30 – 40&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4FuwawoaTI/AAAAAAAAAw8/36w0_v9rgic/s1600-h/NGUZO+WAYA2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 399px; height: 365px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4FuwawoaTI/AAAAAAAAAw8/36w0_v9rgic/s400/NGUZO+WAYA2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5440751602936342834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUPUNGUZA MATAWI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Silazima kupunguza matawi kwa sababu mmea mkubwa zaidi ndio hutoa matunda mengi zaidi, labda kama kuna matatizo katika uchumaji ndio unaweza kupunguza baadhi ya matawi kiasi.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;UVUNAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Uvunaji huanza baada ya miezi 8 – 9 baada yam mea kupandwa na matunda hukusanywa baada ya kudondoka yenyewe chini baada ya kuiva kila baada ya wiki moja, matunda yahifadhiwe sehemu kavu na isiyo na joto , kiasi cha tani 5 – 10 huweza kupatikana katika hakta moja kwa msimu&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4FtsfzcTxI/AAAAAAAAAws/5iIOvbtv4vw/s1600-h/KAPU.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 399px; height: 365px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4FtsfzcTxI/AAAAAAAAAws/5iIOvbtv4vw/s400/KAPU.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5440750436059205394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7160634034443966245?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7160634034443966245/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7160634034443966245&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7160634034443966245'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7160634034443966245'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/02/makakara-passion-fruits.html' title='MAKAKARA - PASSION FRUITS'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S4Ft4v-DpUI/AAAAAAAAAw0/Pj9R2kxoVMk/s72-c/makakara.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5539863904051547441</id><published>2010-02-08T18:06:00.006+03:00</published><updated>2010-02-08T18:26:13.118+03:00</updated><title type='text'>DARAJA LINALOISHI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3Ar5qj2lbI/AAAAAAAAAwM/cSivow_m_pg/s1600-h/ROOT+BRIDGE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 188px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3Ar5qj2lbI/AAAAAAAAAwM/cSivow_m_pg/s400/ROOT+BRIDGE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435893019913393586" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huko nchini &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;INDIA&lt;/span&gt; sehemu za &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHERAPUNJEE &lt;/span&gt;ambako ni eneo tengefu lenye majimaji ambako wanapatikana watu jamii ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KHASIS&lt;/span&gt; huwa wanatumia mizizi ya miti jamii ya mipira kutengeneza madaraja kwa ajili ya matumizi ya kila siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3ArPfkLEOI/AAAAAAAAAv0/bWm1-o6TnLA/s1600-h/ROOT+BRIDGE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 188px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3ArPfkLEOI/AAAAAAAAAv0/bWm1-o6TnLA/s400/ROOT+BRIDGE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435892295407440098" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanachofanya ni kuielekeza mimizi ya mti husika kukua kuelekea upende wa pili wa mto, kwa kawaida miti hii huwa na mizizi ya chini ya udongo na ile ambayo hutokea kwenye matawi na kuelea elea hewani, kwa hiyo mizizi hii inayoelea hewani huongozwa kukua kufuatana na matakwa ya watu hao mpaka upande wa pili na hapo huachiwa ikue kwa kuingia ardhini ili kupata uimara unaohitajika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3ArvbHyCiI/AAAAAAAAAwE/PEQ0ZurBhfs/s1600-h/mama+darajani.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3ArvbHyCiI/AAAAAAAAAwE/PEQ0ZurBhfs/s400/mama+darajani.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435892843970431522" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kupata daraja kamili na lenye uimara unaohitajika zoezi hili huchukua kati ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miaka 10 hadi 15&lt;/span&gt;, na yapo madaraja yenye hadi refu wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;futi 100&lt;/span&gt; na huwa na uwezo wa kuhimili jumla ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;watu 50&lt;/span&gt; kwa pamoja kama wote watakaa juu ya daraja husika. Kati ya madaraja hayo lililo maarufu zaidi hujulikana kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UMSHIANG DOUBLE DECKER ROOT BRIDGE&lt;/span&gt; ambalo kama jina lake lilivyo lina njia mbili ya juu na chini&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DARAJA LA UMSHIANG&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3Ard9JCArI/AAAAAAAAAv8/IG32BeD7Rvc/s1600-h/umshiang.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3Ard9JCArI/AAAAAAAAAv8/IG32BeD7Rvc/s400/umshiang.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435892543864832690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3AsGIg87sI/AAAAAAAAAwU/YRxf9dBi9t4/s1600-h/umshiang1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3AsGIg87sI/AAAAAAAAAwU/YRxf9dBi9t4/s400/umshiang1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435893234112720578" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5539863904051547441?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5539863904051547441/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5539863904051547441&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5539863904051547441'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5539863904051547441'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/02/daraja-linaloishi.html' title='DARAJA LINALOISHI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S3Ar5qj2lbI/AAAAAAAAAwM/cSivow_m_pg/s72-c/ROOT+BRIDGE.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7655681081756775232</id><published>2010-02-07T17:41:00.004+03:00</published><updated>2010-02-07T17:49:23.161+03:00</updated><title type='text'>MBUZI WA MOROCCO</title><content type='html'>Mbuzi unaowaona pichani hupatikana nchini &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MOROCCO&lt;/span&gt;, inasemekana ni kawaida kuwaona mbuzi wakiwa wamepanda juu ya hivyo vichaka ni kwa sababu wanafuata matunda yajulikanayo kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ARGO&lt;/span&gt;, kutokana na kuyapenda sana matunda hayo basi mbuzi hao hudandia juu ya matawi ya vichaka ili kupata matunda hayo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S27SbA5QmkI/AAAAAAAAAvk/vEHeZqwq7rg/s1600-h/MBUZI+WA+COMORRO.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 304px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S27SbA5QmkI/AAAAAAAAAvk/vEHeZqwq7rg/s400/MBUZI+WA+COMORRO.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435513161821231682" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S27Skgj1pqI/AAAAAAAAAvs/BlhqGJP7BIU/s1600-h/MBUZI+WA+COMMORO1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S27Skgj1pqI/AAAAAAAAAvs/BlhqGJP7BIU/s400/MBUZI+WA+COMMORO1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435513324940142242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7655681081756775232?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7655681081756775232/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7655681081756775232&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7655681081756775232'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7655681081756775232'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/02/mbuzi-wa-morocco.html' title='MBUZI WA MOROCCO'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S27SbA5QmkI/AAAAAAAAAvk/vEHeZqwq7rg/s72-c/MBUZI+WA+COMORRO.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7483771466442071836</id><published>2010-01-26T20:59:00.002+03:00</published><updated>2010-01-26T21:18:33.586+03:00</updated><title type='text'>SIMBA MWENYE FADHILA</title><content type='html'>&lt;object width="425" height="344"&gt;&lt;param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/btuxO-C2IzE&amp;color1=0xb1b1b1&amp;color2=0xcfcfcf&amp;hl=en_US&amp;feature=player_embedded&amp;fs=1"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="allowFullScreen" value="true"&gt;&lt;/param&gt;&lt;param name="allowScriptAccess" value="always"&gt;&lt;/param&gt;&lt;embed src="http://www.youtube.com/v/btuxO-C2IzE&amp;color1=0xb1b1b1&amp;color2=0xcfcfcf&amp;hl=en_US&amp;feature=player_embedded&amp;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"&gt;&lt;/embed&gt;&lt;/object&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 1969 John Rendall na Ace berg walimuona mtoto wa simba (dume) aliyekuwa anauzwa huko Harrods alionekana mpweke ndani ya kibanda chake kidogo na wakaamua kumnunua na kwenda naye nyumbani kwao  ambako ni ghorofani na wakampa jina la Christian. Paroko wa kanisa moja aliwaruhusu kucheza naye katika viwanja vya kanisa lakini ndani ya muda mfupi simba alikuwa haraka na kuwa mkubwa ambako kwenye nyumba yao asingeweza kuendelea kuishi zaidi ya hapo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakaamua kumrudisha kwenye mazingira yake ya asili kwenye mbuga za Afrika na baada ya Mwaka walipotaka kumtembelea waliambiwa ya kwamba amekuwa mkubwa na kuwa na milki yake na sasa amegeuka mnyama pori kamili kwa hiyo ni hatari kama simba wengine kwa maana hiyo wasingeweza kumsogelea karibu tena, pamoja na hayo bado waliamua kwenda kumuangalia hivyo hivyo, baada ya kumtafuta kwa masaa kadhaa walifanikiwa kumuona…….. ukiangalia kwenye video hii utaona jinsi alivyo warukia kwa furaha akiruka ruka, kucheza nao huku nao wakimkumbatia na wala hakuwa mkali au hatari kwao kama walivyoambiwa, na mwisho alikuja simba mwingine jike ambaye alikuwa ni mke wake kwenye hiyo milki yake na huyo simba jike naye akabaki akiwaangalia tu na wala hakuwashambulia (&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; ni kama naye alitambulishwa)&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7483771466442071836?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7483771466442071836/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7483771466442071836&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7483771466442071836'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7483771466442071836'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/blog-post.html' title='SIMBA MWENYE FADHILA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-7652385647992896923</id><published>2010-01-23T09:44:00.005+03:00</published><updated>2010-01-23T09:57:23.704+03:00</updated><title type='text'>VODACOM NA WAATHIRIKA WA MAFURIKO</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1qbIpaOkFI/AAAAAAAAAvY/CnrhDX6t7oc/s1600-h/red+alert.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 283px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1qbIpaOkFI/AAAAAAAAAvY/CnrhDX6t7oc/s400/red+alert.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429822873605673042" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kuthamini waliopatwa na maafa ya mafuriko pote nchini kampuni ya simu ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;VODACOM&lt;/span&gt; imeanzisha kampeni inayojulikana kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;RED ALERT&lt;/span&gt; itakayowawezesha wateja wake kuchangia kadri wawezavyo ili kuwasaidia waathirika wa mvua na mafuriko pote nchini&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kwa ufupi ni kwamba ukitaka kuchangia waliopatwa na maafa pote hapa nchini kama Kilosa, Same, Tanga na Dodoma basi tuma neno &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAAFA&lt;/span&gt; kwenda namba &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;15599&lt;/span&gt; na hapo utakatwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;shilingi 250/= (PAMOJA NA KODI)&lt;/span&gt; kama mchango wako kwa waathirika wa mvua na mafuriko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Serekali imefanya tathmini na kutangaza kwamba kiasi cha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;shilingi billioni 10&lt;/span&gt; zinahitajika ili kuweza kuwasaidia wale walioathirika mpaka hali itakapo tengemaa, na kampeni hii ni kuanzia tarehe &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;24th January 2010 paka 30th January 2010 (wiki moja tu)&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-7652385647992896923?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/7652385647992896923/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=7652385647992896923&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7652385647992896923'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/7652385647992896923'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/vodacom-na-waathirika-wa-mafuriko.html' title='VODACOM NA WAATHIRIKA WA MAFURIKO'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1qbIpaOkFI/AAAAAAAAAvY/CnrhDX6t7oc/s72-c/red+alert.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-8312125231556645327</id><published>2010-01-23T07:38:00.005+03:00</published><updated>2010-01-23T07:45:06.625+03:00</updated><title type='text'>MTI MZEE ZAIDI DUNIANI</title><content type='html'>Mti mzee kuliko yote duniani ulio hai ni bristlecone pine &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Pinus longaeva)&lt;/span&gt; unaoitwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Methuselah&lt;/span&gt; mti huu unapatikana marekani California katika mlima mweupe, mti huu ambao uko futi 11,000 juu ya usawa wa bahari una &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miaka 4838&lt;/span&gt; na sio tu ni mti mzee zaidi bali ni kiumbe kizee zaidi duniani cha asili &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(non-cloned&lt;/span&gt;) kilicho hai&lt;br /&gt;Kabla ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Methuselah&lt;/span&gt; haujagunduliwa kwamba ni mti mzee zaidi duniani Mwaka 1957 na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Edmund Schulman&lt;/span&gt; iliaminika kwamba mti mkubwa aina ya Sequoias ndio mti wenye umri mkuwa zaidi ukiwa na miaka 2000&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MITI AINA YA METHUSELAH HUKO CALIFORNIA KATIKA MLIMA MWEUPE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1p-HJ5go2I/AAAAAAAAAvQ/FRgUDnI-0a0/s1600-h/Prometheus.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 252px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1p-HJ5go2I/AAAAAAAAAvQ/FRgUDnI-0a0/s400/Prometheus.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429790962129871714" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mti mwingine aina ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Prometheus&lt;/span&gt; uligunduliaka baada ya mwanafunzi wa Mwaka wa mwisho chuoni  &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1964&lt;/span&gt; ajulikanaye kama , &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Donald R. Currey&lt;/span&gt; alipokuwa akifanya majaribio ya kisayansi na kifaa chake cha kuchimbia viini vya miti miti kuvunjika ndani ya mti, aliomba ruhusa ya kuukata mti huo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(iliauchunguze zaidi)&lt;/span&gt; kutoka idara ya misitu na alistaajabu alipokubaliwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(wenzetu hawakati miti hovyo hovyo bila sababu maalum)&lt;/span&gt; na baada ya kuukata mti huo ndipo walipogundua kwamba ni mti wenye umri mkubwa zaidi duniani ukiwa na zaidi ya miaka 5000.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MITI AINA YA METHUSELAH WENYE MIAKA 4838&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1p92Z2UN_I/AAAAAAAAAvI/Z-mYXXf5_Gc/s1600-h/Methuselah.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1p92Z2UN_I/AAAAAAAAAvI/Z-mYXXf5_Gc/s400/Methuselah.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429790674353666034" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Prometheus&lt;/span&gt; ndio mti mzee zaidi kugunduliwa lakini umekufa baada ya kukatwa na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Methuselah&lt;/span&gt; ndio mti mzee zaidi duniani ulio hai mpaka sasa. Miti ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Methuselah&lt;/span&gt; iko mingi na yote ikiwa na umri zaidi ya miaka 4000 na ipo California katika mlima mweupe lakini mahali ulipo kutwa mti wa Prometheus pamefanywa siri kwani bado wanaendelea kulichunguza eneo hili wakiamini wataukuta mti mwingine wenye umri unaofanana na ule walioukata&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KISIKI CHA MTI WA PROMETHEUS BAADA YA KUKATWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1p9X9kEXZI/AAAAAAAAAvA/6miD30Iqcck/s1600-h/kisiki.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 269px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1p9X9kEXZI/AAAAAAAAAvA/6miD30Iqcck/s400/kisiki.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429790151364861330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-8312125231556645327?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/8312125231556645327/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=8312125231556645327&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8312125231556645327'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8312125231556645327'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/mti-mzee-zaidi-duniani.html' title='MTI MZEE ZAIDI DUNIANI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1p-HJ5go2I/AAAAAAAAAvQ/FRgUDnI-0a0/s72-c/Prometheus.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3247583527076781216</id><published>2010-01-19T10:41:00.004+03:00</published><updated>2010-01-19T10:50:52.875+03:00</updated><title type='text'>MTI MPWEKE ZAIDI DUNIANI</title><content type='html'>Mti aina ya acacia ulioota kwenye jangwa la sahana nchini Niger ndio mti ulio mpweke zaidi baada ya kuwa umbali wa zaidi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;maili 250&lt;/span&gt; pande zote bila kukutana na mti mwingine. Mti huu uligunduliwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mwaka 1970&lt;/span&gt; lakini uliota mahala hapo wakati jangwa halijawa kavu kama lilivyo sasa, kwa miaka hiyo ambako mti huu uliota haukuwa peke yake bali kulikuwa na miti mingine ila yenyewe ilikufa baada ya jangwa hili kuendelea kuwa kavu zaidi na kupata kiasi kidogo cha mvua&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MTI MPWEKE PICHANI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1VjHRo_TaI/AAAAAAAAAuw/Rm_oDbeOufw/s1600-h/mti+mpweke.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 342px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1VjHRo_TaI/AAAAAAAAAuw/Rm_oDbeOufw/s400/mti+mpweke.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5428353902510558626" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtii huu Ulikufa baada ya dreva wa lori kutoka Libya alipougonga, inasemekana dreva huyo alikuwa akiendesha lori hilo huku akiwa amelewa pombe. Baada ya mti huu  kufa wana sayansi walichimba pembeni yake na kugundua mizizi ilikwenda chini kiasi cha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;futi 120 (mita 36)&lt;/span&gt; mpaka kufikia maji ya chini ya ardhi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(water table)&lt;/span&gt; Sasa hivi sehemu ulipoota mti huo imejengwa  nguzo ya chuma kama kumbukumbu ya mti mpweke zaidi duniani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NGUZO MAHALI ULIPOKUWA MTI MPWEKE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1VjsSUEwdI/AAAAAAAAAu4/fZHaxF9eqYk/s1600-h/nguzo+pweke.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 297px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1VjsSUEwdI/AAAAAAAAAu4/fZHaxF9eqYk/s400/nguzo+pweke.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5428354538346430930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3247583527076781216?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3247583527076781216/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3247583527076781216&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3247583527076781216'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3247583527076781216'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/mti-mpweke-zaidi-duniani.html' title='MTI MPWEKE ZAIDI DUNIANI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1VjHRo_TaI/AAAAAAAAAuw/Rm_oDbeOufw/s72-c/mti+mpweke.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-980574948622146991</id><published>2010-01-17T09:36:00.005+03:00</published><updated>2010-01-17T09:45:12.951+03:00</updated><title type='text'>UGONJWA WA MIGUU NA MIDOMO - FOOT AND MOUTH DISEASE</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KWATO ZA MNYAMA MWENYE FMD&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1Kx1n8M4dI/AAAAAAAAAuo/XyRiTraELsk/s1600-h/KWATO.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 325px; height: 381px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1Kx1n8M4dI/AAAAAAAAAuo/XyRiTraELsk/s400/KWATO.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5427596035747537362" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu husababishwa na virusi jamii ya Aphtovirus vinavyoambukiza binadamu pia &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Aphtae epizooticae)&lt;/span&gt; ambavyo vipo kwenye Makundi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;A, O, C, SAT1, SAT2, SAT3, Asia1&lt;/span&gt;, vinauwezo wa kuishi kwenye matezi na ndani ya mifupa (bone marrow) madhali PH isiwe chini ya 6 na vinauwezo wa kuendelea kuishi kwenye mwili wa mnyama aliyekufa au kwenye udongo kwa mwezi mzima madhali PH isizidi 6. Kama lilivyo jina lake ugonjwa huu hushambulia kwato na midomo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(fizi)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huua zaidi ndama kuliko wanyama wakubwa, hushambulia wanyama wenye kwato kama ng’ombe, mbuzi, kondoo, punda, farasi, nguruwe, nyati maji, na wanyama wengine wenye kwato wanyama jamii ya ngamia, llama na nyati  pori, huwa hawasumbuliwi sana na ugonjwa huu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MIKONO YA MTU ALIYEAMBUKIZWA UGONJWA &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1Kxk9cyB7I/AAAAAAAAAug/VFAJ6lsg7z4/s1600-h/MIKONO.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 378px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1Kxk9cyB7I/AAAAAAAAAug/VFAJ6lsg7z4/s400/MIKONO.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5427595749463558066" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUSAMBAA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa hussambazwa kwa njia ya mate, machozi, kinyesi, viatu, vifaa vya kuhudumia wanyama, nyama, maziwa, magari na hata hewa hasa kwa ukanda wa pwani usizidi futi 300 kutoka usawa wa bahari, wanyama ambao wana vijidudu na hawaumwi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(carriers)&lt;/span&gt; kama nyati pori  pia husambaza ugonjwa huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DALILI KUU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Toka mnyama aambukizwe huchukua siku 2 -14 na dalili kuu ni uzalishaji wa maziwa kushuka, kusaga meno, joto hupanda, mnyama huchechemea na kurusha mateke, ukiangalia fizi na kati kati ya kwato utaona kama vipele ambavyo baadae hupasuka na kuwa vidonda, wanyama hutoa mimba na wanyama wadogo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(ndama )&lt;/span&gt;hufa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DAWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu hauna dawa, bali unaweza kutibu vidonda kwa kutumia dawa (antibiotic) kama ulipo hakuna dawa unaweza kutumia chumvi au magadi ukiyeyusha kwenye maji na kuosha kwenye fizi na kwato za mnyama&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KINGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kuna chanjo za ugonjwa huu ambazo hupigwa , sindano ya pili hupigwa baada ya siku 30 na baada ya hapo ni kila baada ya miezi 6 &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;( waone maafisa ugani wa mifugo)&lt;/span&gt; unaweza kuwakinga wanyama wako kwa kuzuia mwingiliano na wanyama wengine na kabla ya kuleta mnyama mpya hakkisha amepata chanjo zote &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(sijui wangapi wanafanya hii)&lt;/span&gt; pia karantini zitumike mara mlipuko wa ugonjwa huu unapotokea, wanyama wenye ugonjwa wauwawe na kuchomwa moto &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(incineration&lt;/span&gt;)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MFANO WA KIBAO CHA KARANTINI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1Kw2Zl7SWI/AAAAAAAAAuQ/KBoltQ0X4Sc/s1600-h/QUARANTINE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 338px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1Kw2Zl7SWI/AAAAAAAAAuQ/KBoltQ0X4Sc/s400/QUARANTINE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5427594949564254562" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WANYAMA WENYE UGONJWA WAKICHOMWA MOTO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1KxZMBMUjI/AAAAAAAAAuY/KMJ1wnnIuQQ/s1600-h/INCINERATOR.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 328px; height: 386px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1KxZMBMUjI/AAAAAAAAAuY/KMJ1wnnIuQQ/s400/INCINERATOR.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5427595547215942194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-980574948622146991?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/980574948622146991/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=980574948622146991&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/980574948622146991'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/980574948622146991'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/ugonjwa-wa-miguu-na-midomo-foot-and.html' title='UGONJWA WA MIGUU NA MIDOMO - FOOT AND MOUTH DISEASE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S1Kx1n8M4dI/AAAAAAAAAuo/XyRiTraELsk/s72-c/KWATO.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3352412446672634669</id><published>2010-01-12T19:52:00.006+03:00</published><updated>2010-01-12T20:16:19.371+03:00</updated><title type='text'>KAMBALE ANAYETEMBEA</title><content type='html'>Hii ni aina ya kambale inayopatikana sana bara la &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Asia na Africa&lt;/span&gt;, amepewa jina la kambale anayetembea sababu ya uwezo wake wa kujikongoja na kuhama toka sehemo moja hadi nyingine kupitia nchi kavu kwa dhumuni la kutafuta chakula au mazingira mazuri, sio kwamba anatembea bali hujinyanyua juu kwa kutumia mapezi yake na kujinyonga nyonga kama nyoka na ii humuwezesha kusogea mbele, ana uwezo wa kuka muda mrefu nje ya maji madhali ardhi isiwe kavu bali iwe na unyevu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hupendelea kwenye maji yenye kina kifupi au yasiyotembea, kama kwenye vijito na mito, mabwawa, majaluba ya mpunga na sehemu yoyote ambayo maji hujikusanya. Hukua hadi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;sentimeta 30 &lt;/span&gt;(urefu wa rula ya mwanafunzi) hana magamba kama kambale wengine bali ngozi yake huwa na ulenda ulenda unaomsaidia atembeapo nchi kavu, ana rangi ya kijivu mpaka kahawia iliyokolea kabisa. Tofauti na yake na kambale wengine yeye hana &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;mapezi ya kwanza&lt;/span&gt; juu ya mgongo bali pezi lake la pili huwa refu mpaka karibu na mwisho wa mkia, unapomvua kambale huyu usimshike akiwa hai au hata kama kafa mshike kwa umakini sababu ana miiba iliyojificha kwenye mapezi ya chini karibu na mkia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ysRPEov5I/AAAAAAAAAt4/lxt1kAsSOeM/s1600-h/ATEMBEAYE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 254px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ysRPEov5I/AAAAAAAAAt4/lxt1kAsSOeM/s400/ATEMBEAYE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5425901063178338194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hupendela halijoto kati ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;10c mpaka 28c,&lt;/span&gt; chakula chao kikuu ni samaki wadogo, wadudu, konokono wasio na magamba na mimea ya kwenye maji, kambale hawa wanatabia ya ulafi inayowafanya wawe hatari kwa viumbe wengine wa kweye maji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ytfu9x0OI/AAAAAAAAAuI/ns8Crp6YBfE/s1600-h/KAMBALE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ytfu9x0OI/AAAAAAAAAuI/ns8Crp6YBfE/s400/KAMBALE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5425902411769303266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3352412446672634669?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3352412446672634669/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3352412446672634669&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3352412446672634669'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3352412446672634669'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/kambale-anayetembea.html' title='KAMBALE ANAYETEMBEA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ysRPEov5I/AAAAAAAAAt4/lxt1kAsSOeM/s72-c/ATEMBEAYE.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4542942423831575890</id><published>2010-01-09T18:31:00.012+03:00</published><updated>2010-01-09T19:01:27.139+03:00</updated><title type='text'>ADHA YA MVUA JIJINI DAR ES SALAAM</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Kuwasha taa ni muhimu maana madereva hawaoni vizuri mbele kwa sababu ya ukungu kwenye vioo vya mbele&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ikHaVWosI/AAAAAAAAAs4/6ybPCuhTTK4/s1600-h/kasheshe.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ikHaVWosI/AAAAAAAAAs4/6ybPCuhTTK4/s400/kasheshe.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424766198402687682" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ikgIkhmGI/AAAAAAAAAtA/rdDjgAtToaA/s1600-h/barabara.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ikgIkhmGI/AAAAAAAAAtA/rdDjgAtToaA/s400/barabara.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424766623131211874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hapo hata dala dala hazitanui maana inaweza kudumbukia kwenye mtaro, njia haionekani&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0imaBEmHEI/AAAAAAAAAtQ/PLijGMsyCB0/s1600-h/maji.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0imaBEmHEI/AAAAAAAAAtQ/PLijGMsyCB0/s400/maji.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424768717062282306" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ikrp1SnjI/AAAAAAAAAtI/DzBZ4-GxsQo/s1600-h/balaa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ikrp1SnjI/AAAAAAAAAtI/DzBZ4-GxsQo/s400/balaa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424766821038464562" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ukiwa na mwamvuli hautaloana labda miguuni ndio kasheshe&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ijbKRmVlI/AAAAAAAAAso/uNj1vS08D-Q/s1600-h/mwamvuli.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ijbKRmVlI/AAAAAAAAAso/uNj1vS08D-Q/s400/mwamvuli.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424765438177728082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Magari (hasa ya petroli) nayo hupata hitilafu na kuzimika, hii husababisha adha kwa wenye kuyamiliki na gharama za ziada kama kusukumwa na kuyatengeneza tena&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ijBP9DN1I/AAAAAAAAAsg/2m6fabXyUOk/s1600-h/gari+bovu.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ijBP9DN1I/AAAAAAAAAsg/2m6fabXyUOk/s400/gari+bovu.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424764993025554258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Limebuma&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ioElWZzVI/AAAAAAAAAtw/9glOqzasNWE/s1600-h/limebuma.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ioElWZzVI/AAAAAAAAAtw/9glOqzasNWE/s400/limebuma.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424770547866783058" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Jamaa anashuka......&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0invEzmShI/AAAAAAAAAto/xyDreNVWcHU/s1600-h/ZIMA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0invEzmShI/AAAAAAAAAto/xyDreNVWcHU/s400/ZIMA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424770178353613330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Jamaa hana la kufanya anatafakari.... nyuma foleni kama treni&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ink_gmdCI/AAAAAAAAAtg/x6cUTgP2YXc/s1600-h/ZIMAA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ink_gmdCI/AAAAAAAAAtg/x6cUTgP2YXc/s400/ZIMAA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424770005133063202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Jamaa anafurahia mvua kwa sababu lazima atauza makoti na mabuti ya mvua hahahahhe!!!!! kufa kufaana&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0iiuyNPi1I/AAAAAAAAAsY/TEQL2ikCXDU/s1600-h/makoti.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0iiuyNPi1I/AAAAAAAAAsY/TEQL2ikCXDU/s400/makoti.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424764675802762066" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Vituo vya kuwekea mafuta navyo vimefurika maji, je yakiingia kwenye matanki ya mafuta si tutauziwa maji-balaa hili........&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0iiXRB-1NI/AAAAAAAAAsQ/IOzlJ2Adr-o/s1600-h/petrol+station.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0iiXRB-1NI/AAAAAAAAAsQ/IOzlJ2Adr-o/s400/petrol+station.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424764271760168146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hata zoezi la kuzoa taka hufanyika kwa tabu na jamaa hawana vifaa vya kujikinga angalau gum boot&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0iiMztLVpI/AAAAAAAAAsI/aHTEA1E9s2E/s1600-h/taka.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0iiMztLVpI/AAAAAAAAAsI/aHTEA1E9s2E/s400/taka.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5424764092089587346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4542942423831575890?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4542942423831575890/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4542942423831575890&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4542942423831575890'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4542942423831575890'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/adha-ya-mvua-jijini-dar-es-salaam.html' title='ADHA YA MVUA JIJINI DAR ES SALAAM'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0ikHaVWosI/AAAAAAAAAs4/6ybPCuhTTK4/s72-c/kasheshe.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-169512861889357972</id><published>2010-01-03T10:47:00.005+03:00</published><updated>2010-01-03T11:05:02.287+03:00</updated><title type='text'>MVUA NA MIUNDO MBINU YETU</title><content type='html'>Jamani heri ya mwaka mpya kwenu nyote, namshukuru MUNGU niko buheri wa afya, Leo nitawaonyesha baadhi ya picha zinazoonyesha tabu tunayopata tukiwa field kutokana na madhara ya mvua kwenye barabara ambazo si za lami, kwa kweli kuna sehemu hata gari ikiwa na 4wheel drive inaweza isipite, pia kunatakiwa uzoefu wa kuendesha kwenye barabara hizo, kama wewe ni dereva wa mjini kwenye lami tu basi kazi utakuwa nayo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TANGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BPK66m2YI/AAAAAAAAAr4/qyKUWGHC35Y/s1600-h/TANGA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 253px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BPK66m2YI/AAAAAAAAAr4/qyKUWGHC35Y/s400/TANGA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422421000386435458" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BPST9uQRI/AAAAAAAAAsA/xZn_litM-sI/s1600-h/TANGA1.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 264px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BPST9uQRI/AAAAAAAAAsA/xZn_litM-sI/s400/TANGA1.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422421127369474322" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MANYARA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BNwE-XLOI/AAAAAAAAArY/w3G19k8UqpU/s1600-h/Mererani-survey+Manyara.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BNwE-XLOI/AAAAAAAAArY/w3G19k8UqpU/s400/Mererani-survey+Manyara.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422419439718444258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;RUKWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BN8gHuWkI/AAAAAAAAArg/842l16iJaNQ/s1600-h/Site+survey+Rukwa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BN8gHuWkI/AAAAAAAAArg/842l16iJaNQ/s400/Site+survey+Rukwa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422419653163899458" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BOHKRJzxI/AAAAAAAAAro/Bg-nrsTUxcc/s1600-h/site+survey+rukwa2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BOHKRJzxI/AAAAAAAAAro/Bg-nrsTUxcc/s400/site+survey+rukwa2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422419836276428562" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;RUVUMA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BOTxVDp_I/AAAAAAAAArw/B_7IXk3SXcA/s1600-h/Site+Survey+Ruvuma.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BOTxVDp_I/AAAAAAAAArw/B_7IXk3SXcA/s400/Site+Survey+Ruvuma.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422420052920215538" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi mnategemea kwa kutumia barabara hizi mkulima ataweza kweli kusafirisha mazao yake na kuyapeleka mjini kwenye masoko au mazao hasa yale yanayooza haraka kama matunda na mboga mboga si yataharibikia shambani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-169512861889357972?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/169512861889357972/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=169512861889357972&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/169512861889357972'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/169512861889357972'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2010/01/mvua-na-miundo-mbinu-yetu.html' title='MVUA NA MIUNDO MBINU YETU'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/S0BPK66m2YI/AAAAAAAAAr4/qyKUWGHC35Y/s72-c/TANGA.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3698208324915639351</id><published>2009-12-30T18:26:00.003+03:00</published><updated>2009-12-30T22:06:21.778+03:00</updated><title type='text'>MNYAUKO FUSARI - COFFEE FUSARIUM</title><content type='html'>Ugonjwa huu husababishwa na vimelea vya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;fusari&lt;/span&gt;. Hushambulia mashina, machipukizi na hata punje. Ugonjwa wa mnyauko fusari unashamiri kwenye mashamba ambayo hayatunzwi vizuri inavyopasa. Viini vya ugonjwa huu vinauwezo mdogo sana wa kushambulia&lt;br /&gt;mkahawa wenye afya nzuri, ukiona shamba limeshambuliwa na uonjwa huu jua moja kwa moja kwamba shamba hilo halitunzwi vizuri kwa kufuata kanuni za kilimo bora.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;DALILI KUU:&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Machipukizi yaliyoshambuliwa na ugonjwa huu hunyauka, na majani hubadilika na kuwa na rangi ya kahawia. Matawi na mashina yakishambuliwa hunyauka na kufa. Ukitaka kuthibitisha dalili za fusari kata shina utaona miviringo ya kahawia. (Brown ring)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JINSI YA KUZUIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Palizi ni muhimu kwenye shamba.&lt;br /&gt;• Ukataji sahihi wa matawi.&lt;br /&gt;• Matumizi ya mbolea kwa kiwango kinachoshauriwa.&lt;br /&gt;• Ng’oa na choma moto mikahawa iliyokufa.&lt;br /&gt;• Iwapo ni matawi yanayoonyesha dalili za ugonjwa matawi hayo yakatwe na kuchomwa moto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NB:&lt;/span&gt; Miche mingine ya kahawa isipandikizwe sehemu ilikong’olewa&lt;br /&gt;mikahawa yenye ugonjwa kabla ya miezi sita.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;SALAMU ZA MWAKA MPYA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Jamani kwa mwaka huu hii ni makala yangu ya mwisho, mwenyezi Mungu akinijaalia nitaendelea mwakani kuwaletea makala nyingine, mwaka huu Mungu aliniwezesha kutuma jumla ya makala 77 ambazo naamini kuna watu zimewasaidia na kuwanufaisha, kuna wengine wamekuwa wakiniuliza maswali kwa faragha na hawakupenda nichapishe majina yao nawashukuru sana, kuna wale walioanzisha mashamba mapya au walikuwa na mashamba na walihitaji ushauri wa kitaalam nao nilishirikiana nao vizuri, kuna ambao walitaka msaada wangu walipata lakini walishindwa gharama za mradi nawaombea kwa Mungu awawezeshe kupata pesa za kuanzisha miradi hiyo, Kuna nilio wakwanza kwa kushindwa kuwasaidia, inawezekena nilibanwa na ratiba au ushauri wangu haukuwa na manufaa kwao na wale walioshindwa gharama za ushauri (ingawa ni sawa na bure) &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NAOMBA WANISAMEHE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Szt10z4vJeI/AAAAAAAAAq8/yr029oDlAmw/s1600-h/Chris.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Szt10z4vJeI/AAAAAAAAAq8/yr029oDlAmw/s400/Chris.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5421056126612350434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3698208324915639351?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3698208324915639351/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3698208324915639351&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3698208324915639351'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3698208324915639351'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/12/mnayuko-fusari-coffee-fusarium.html' title='MNYAUKO FUSARI - COFFEE FUSARIUM'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Szt10z4vJeI/AAAAAAAAAq8/yr029oDlAmw/s72-c/Chris.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2807265776825552324</id><published>2009-12-28T19:16:00.003+03:00</published><updated>2009-12-28T19:21:32.876+03:00</updated><title type='text'>KUTU YA MAJANI - COFFEE LEAF RUST</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Huu ni mwendelezo wa magonjwa makuu ya kahawa&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kutu ya Majani ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya ukungu jamii ya Hemileia vastatrix; Ugonjwa huu ushambulia karibu aina zote za kahawa; hasa katika nyanda za chini ambako kuna joto zaidi. Ugonjwa wa kutu ya majani hujitokeza kabla ya mvua za masika kuanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Szja7CAIr6I/AAAAAAAAAq0/6n0I7B6haOs/s1600-h/rust.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 248px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Szja7CAIr6I/AAAAAAAAAq0/6n0I7B6haOs/s400/rust.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5420322859224969122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAZINGIRA MAZURI YA VIMELEA VYA KUTU YA MAJANI:&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Joto lililo ambatana na unyevu nyevu mwingi angani.&lt;br /&gt;• Kivuli kinachosababishwa na miti mingi shambani au matawi&lt;br /&gt;ya kahawa.&lt;br /&gt;• Magugu jamii ya Oxalis.&lt;br /&gt;• Kahawa zilizozeeka kupita kiasi nazo hushambuliwa kwa urahisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MASHAMBULIZI NA DALILI  &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Kutu au rangi ya machungwa iliyochanganyika na manjano huonekana upande wa chini wa majani ya kahawa.&lt;br /&gt;• Kudondoka kwa majani yangali bado machanga.&lt;br /&gt;• Kudumaa kwa matawi.&lt;br /&gt;• Kukauka kwa ncha za matawi.&lt;br /&gt;• Hatimaye mavuno hupungua kwa kiasi kikubwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UGONJWA UNAVYOSAMBAZWA:&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Upepo huongeza kasi ya kusambaa kwa vimelea vya kutu ya majani.&lt;br /&gt;• Wanyama (ndege) wadudu, husambaza vimelea vya kutu ya majani toka mmea mmoja hadi mwingine.&lt;br /&gt;• Miezi michache kabla ya Vuli vimelea vya kutu ya majani huanza kukua;&lt;br /&gt;- Vimelea hivi hujihifadhi kwenye magamba ya shina la kahawa na matawi makubwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Primary branches)&lt;/span&gt; hasa kahawa zilizozeeka.&lt;br /&gt;- Kipindi hiki huwa na joto.&lt;br /&gt;• Vuli husaidia kuongeza kasi ya kukua kwa vimelea hivyo na kusambaza.&lt;br /&gt;- Kutokana na unyevunyevu uliopo kwenye majani na kahawa kwa ujumla.&lt;br /&gt;• Vimelea vya ukungu wa aina hii vinapoendelea kusambaa ndivyo na ashambulizi ya mmea yanavyoongezeka.&lt;br /&gt;• Mashambulizi huendelea kipindi chote cha joto hadi masika, kipindi ambacho vimelea hukosa nguvu.&lt;br /&gt;• Nguvu ya vimelea vya kutu ya majani huanza tena kidogo kidogo&lt;br /&gt;baada ya masika kwisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SzjavBKZaxI/AAAAAAAAAqs/PKPPT288prY/s1600-h/kuntu.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 248px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SzjavBKZaxI/AAAAAAAAAqs/PKPPT288prY/s400/kuntu.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5420322652841143058" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUPAMBANA NA KUTU YA MAJANI:&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Shamba liwe safi wakati wote.&lt;br /&gt;- Punguza kivuli cha miti na migomba kwenye shamba la kahawa.&lt;br /&gt;- Punguza matawi ya kahawa (pruning); wakati wa kukata matawi kata matawi yote yalivyozeeka; na yaliyo na ugonjwa.&lt;br /&gt;- Lima ili kupunguza magugu hasa jamii ya oxalis.&lt;br /&gt;• Hakikisha udongo una unyevunyevu wa kutosha, wakati wote: &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(weka matandazo, mbolea na kumwagilia maji)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Ondoa magamba kwenye kahawa kwa kutumia brush / magunzi mbalimbali.&lt;br /&gt;• Jaribu sumu za asili kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;utupa&lt;/span&gt; (rejea makala zangu).&lt;br /&gt;• Sumu za viwandani (mrututu) zitumike pale tu ambapo ni lazima kufanya hivyo kufuatana na hali ya hewa;&lt;br /&gt;- mrututu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(copper)&lt;/span&gt; utumike kama kinga mara baada ya mvua za masika kama joto liko juu likiambatana na unyevunyevu angani.&lt;br /&gt;- Endapo kutu ya majani imeshamiri tumia Bayleton kama tiba (control) lakini si zaidi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;mara 2 kwa msimu&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;NB: Wakati wa kunyunyuzia sumu elekeza bomba chini ya majani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2807265776825552324?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2807265776825552324/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2807265776825552324&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2807265776825552324'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2807265776825552324'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/12/kutu-ya-majani-coffee-leaf-rust.html' title='KUTU YA MAJANI - COFFEE LEAF RUST'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Szja7CAIr6I/AAAAAAAAAq0/6n0I7B6haOs/s72-c/rust.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-8400915875120522421</id><published>2009-12-26T20:21:00.003+03:00</published><updated>2009-12-26T20:37:33.238+03:00</updated><title type='text'>MAGONJWA MAKUU YA KAHAWA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Magonjwa makuu ya kahawa ni haya yafuatayo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;- Chule buni (CBD)&lt;br /&gt;- Kutu ya majani (Coffee leaf rust)&lt;br /&gt;- Mnyauko fuzari (Fusarium)&lt;br /&gt;Leo nitaongelea ugonjwa wa chule buni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHULE BUNI (CBD- Coffee Berry Disease&lt;/span&gt;)&lt;br /&gt;Chule Buni (CBD) ni ugonjwa wa matunda ya kahawa ambao umeenea sehemu nyingi nchini hasa zile za miinuko ya juu. Ugonjwa huu husababishwa na fangas wajulikanao kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;colletotrichum kahawae&lt;/span&gt;. Ushambuliaji huwa ni mkubwa zaidi wakati wa mvua za masika kwani wakati huu hali ya unyevu unyevu kwenye hewa ni mkubwa na hali ya hewa ni ya baridi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MFANO WA TUNDA LILISHAMBULIWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SzZJrhfJm_I/AAAAAAAAAqk/bqSkL96ip8Q/s1600-h/kahawa.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SzZJrhfJm_I/AAAAAAAAAqk/bqSkL96ip8Q/s400/kahawa.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5419600213659196402" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MADHARA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu ni mbaya sana na huenea kwa kasi. Mbuni ulioshambuliwa haufi bali  mkulima anaweza kupoteza mpaka &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;asilimia 90&lt;/span&gt; ya mavuno kwa mwaka kama hatazingatia namna bora ya kuuzuia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ugonjwa huu hushambulia mibuni katika hatua tatu muhimu nazo ni:&lt;br /&gt;• Maua yanapochanua.&lt;br /&gt;• Punje zikiwa changa na laini.&lt;br /&gt;• Punje zinazoiva.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madhara makubwa hutokea wakati punje zikiwa changa na laini.&lt;br /&gt;Mara nyingi mibuni iliyoshambuliwa na Chule Buni matunda yake huwa na vidonda vyeusi na vilivyobonyea na hudondoka na mengine hubakia kwenye mibuni. Yale matunda yanayobakia yanakauka na kuwa chanzo cha uambukizaji kwenye mavuno ya msimu unaofuata. Picha ya mbuni ulioshambuliwa na Chule Buni &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JINSI YA KUZUIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ili mkulima aweze kudhibiti vizuri ugonjwa huu anashauriwa:&lt;br /&gt;• Kupunguza matawi yasiyotakiwa ili sumu iweze kupenya vizuri&lt;br /&gt;na kufikia matunda yote.&lt;br /&gt;• Kutumia sumu sahihi zilizopendekezwa kutumika kwenye kahawa.&lt;br /&gt;• Kutumia kiasi na kipimo sahihi kilichopendekezwa.&lt;br /&gt;• Kunyunyizia sumu wakati sahihi yaani:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kabla ya ugonjwa haujatokeza.&lt;br /&gt;2. Unyunyuziaji dawa uanze wiki tatu kabla ya mvua za vuli kuanza &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Oktoba - Novemba)&lt;/span&gt; na kurudiwa tena mwezi mmoja baadae &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Disemba)&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;3. Unyunyiziaji unaofuata ufanyike tena wiki tatu kabla ya mvua za masika &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Machi)&lt;/span&gt; na kurudiwa kila mwezi hadi matunda yakomae &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(Julai)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Aelekeze dawa kwenye matunda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SzZJJYIoFWI/AAAAAAAAAqc/eqIxFjY4LbA/s1600-h/kahawae1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SzZJJYIoFWI/AAAAAAAAAqc/eqIxFjY4LbA/s400/kahawae1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5419599627033253218" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mkulima anashauriwa kunyunyizia sumu mojawapo ya hizi zifuatazo&lt;/span&gt;:&lt;br /&gt;1. Jamii ya mrututu - hasa zile nyekundu na za bluu zilizopendekezwa kudhibiti Chule buni. Mfano: &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nordox, Cobox, Funguran-OH.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;2. Jamii isiyo ya mrututu - hizi mara nyingi ni zile za maji maji zilizopendekezwa kutumika kwenye kahawa mfano: &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Bravo, Daconil na Dyrene.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;FAIDA YA KUDHIBITI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mkulima akidhibiti vizuri Chule Buni anapata faida zifuatazo:&lt;br /&gt;1. Atakuwa amepunguza uwezekano wa kuendelea kuongeza kasi ya huu ugonjwa mwaka hadi mwaka.&lt;br /&gt;2. Atakuwa ameongeza wingi na ubora wa kahawa.&lt;br /&gt;3. Atakuwa amejiongezea kipato chake na kuwa na maisha bora zaidi.&lt;br /&gt;4. Atakuwa ameongeza pato la taifa kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAMBO YA KUZINGATIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Mwisho wa msimu hakikisha unaondoa matunda yote haswa yale yaliyoshambuliwa na chule buni.&lt;br /&gt;• Tambua wakati sahihi wa kuzuia huu ugonjwa.&lt;br /&gt;• Nunua sumu sahihi zilizopendekezwa.&lt;br /&gt;• Hakikisha matunda yote yanapata sumu vizuri.&lt;br /&gt;• Epuka ununuzi holela wa sumu kwani unaweza kununua hata zile zilizokwisha muda wake.&lt;br /&gt;• Mara upatapo tatizo onana na mtaalamu wa kilimo/afisa ugani aliyekaribu nawe.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-8400915875120522421?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/8400915875120522421/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=8400915875120522421&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8400915875120522421'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8400915875120522421'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/12/magonjwa-makuu-ya-kahawa.html' title='MAGONJWA MAKUU YA KAHAWA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SzZJrhfJm_I/AAAAAAAAAqk/bqSkL96ip8Q/s72-c/kahawa.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3056254083221892415</id><published>2009-12-19T07:44:00.003+03:00</published><updated>2009-12-19T08:12:45.361+03:00</updated><title type='text'>LEHEMU - CHOLESTEROL</title><content type='html'>Dada Mary Chuwa alipenda kujua kuhusu lehemu kwenye mafuta, kwa lugha ya kiingereza lehemu ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;cholesterol&lt;/span&gt;, kwa kawaida kuna aina mbili za cholestrol &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;low density lipoprotei&lt;/span&gt;n na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;high density lipoprotei&lt;/span&gt;n aina zote mbili zinatokana na balance ya kemikali mbili za mafuta zijulikanazo kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;polyunsaturated fats na monounsaturated fats&lt;/span&gt;. kama hizi kemikali mbili zitabalance zitatengeneza &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;low saturated fats&lt;/span&gt; ambazo ni high density lipoprotein, &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;hii ni cholestrol nzuri&lt;/span&gt; kwa mwili wa binadamu kwa sababu haina madhara, ila kama polyunsaturated fats na monounsaturated fats hazita balance zitaengeneza low density lipoprotein ambayo ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;cholestrol mbaya&lt;/span&gt; na inamadhara katika mwili wa binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lehemu mbaya (low density lipoprotein) ikiingia mwilini huganda kwenye kuta za mishipa ya damu na kwenye moyo hivyo kufanya njia za damu kuwa nyembamba na kusababisha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;magonjwa ya moyo au kiharusi (stroke&lt;/span&gt;)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mafuta yatokanayo na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Alizeti, karanga na mahindi&lt;/span&gt; kwa asili huwa hayana lehemu mbaya an hivyo kuwa salama kwa matumizi ya binadamu. Mafuta ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;mawese, nazi&lt;/span&gt;, na yale yatokanayo na wanyama pamoja na mazao ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;maziwa&lt;/span&gt; huwa na lehemu mbaya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mikoa ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Singida na Manyara &lt;/span&gt;imekuwa ikizalisha kwa wingi sana alizeti na kuna viwanda vya kukamua mafuta sehemu hizo, kwa hiyo nashauri kama unaweza agizia mafuta halisi ya alizeti toka sehemu hizo, mbegu za alizeti hukamuliwa ilikupata mafuta na baada ya hapo mafuta huchemshwa na kuchujwa kisha kuwekwa kwenye madumu tayari kwa kuuzwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kupunguza lehemu mwilini mwako inashauriwa kutumia &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;asali&lt;/span&gt; kijiko kimoja na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;mdalasini&lt;/span&gt; nusu kijiko kila asubuhi kabla hujala chochote, unaweza kutia kwenye chai au maji ya moto mchanganyiko huu.&lt;br /&gt;nakaribisha maoni kwa wenye ufahamu zaidi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3056254083221892415?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3056254083221892415/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3056254083221892415&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3056254083221892415'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3056254083221892415'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/12/lehemu-cholesterol.html' title='LEHEMU - CHOLESTEROL'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5853389015383658414</id><published>2009-12-14T20:21:00.005+03:00</published><updated>2009-12-14T20:34:19.376+03:00</updated><title type='text'>NDIGANA KALI - EAST COAST FEVER (ECF)</title><content type='html'>Huu ni ugonjwa wa ng’ombe, nyati na nyati wa India wakaao kwenye maji (water buffalo) ambao umeenea sana hapa nchini kwetu, msambazaji mkuu ni kupe (rephicephalus appendiculatus) na ng’ombe huanza kuugua siku 10 – 25 (wastani siku 14) toka kuambukizwa ugonjwa huu, protozoa aina ya theileria parva ndiye husababisha ugonjwa huu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyZ1qhh9rEI/AAAAAAAAAqU/EyO7ENu-qDE/s1600-h/KUPE.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 358px; height: 348px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyZ1qhh9rEI/AAAAAAAAAqU/EyO7ENu-qDE/s400/KUPE.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5415144975375379522" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DALILI KUU ZA NDIGANA KALI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;-Joto kali hadi kufikia 42c kwa kawaida ng’ombe huwa na joto 38c&lt;br /&gt;-Manyoya ya mgongoni husimama muda wote na huwa na rangi ya udongo (brown) kwa mbali&lt;br /&gt;-Kuharisha&lt;br /&gt;-Kutoa makamasi laini&lt;br /&gt;-Matezi ya shingo kuvimba&lt;br /&gt;-Kupe aina ya rephicephalus appendiculatus utawaona kwenye masikio ya mnyama (sio lazima)&lt;br /&gt;-Mnyama hushindwa kula vizuri&lt;br /&gt;-Pua (muzzle) huwa kavu bila unyevu unyevu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyZ0bBA1PvI/AAAAAAAAAqM/2yLJ0sWPxtQ/s1600-h/ndama.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 271px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyZ0bBA1PvI/AAAAAAAAAqM/2yLJ0sWPxtQ/s400/ndama.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5415143609436815090" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TIBA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Dawa aina ya BUTALEX ni maarufu sana hapa nchini kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa huu, ni muhimu dalili za mwanzo zinapoonekana kumtaarifu mtaalam wa mifugo na ikithibitika ni Ndigana kali tiba ianze mara moja ikiambatana na OTC 20% ili kushusha homa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KINGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kinga kubwa ni kuogesha mifugo yako mara kwa mara, dawa ya ruzuku ijulikana yo kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;PARANEX&lt;/span&gt; hupatikana katika maduka yote ya kilimo na mifugo. Dawa nyingine nazo zinafaa kuogeshea kwa kufuata masharti ya mtengenezaji.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5853389015383658414?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5853389015383658414/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5853389015383658414&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5853389015383658414'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5853389015383658414'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/12/ndigana-kali.html' title='NDIGANA KALI - EAST COAST FEVER (ECF)'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyZ1qhh9rEI/AAAAAAAAAqU/EyO7ENu-qDE/s72-c/KUPE.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4752667361196019399</id><published>2009-12-11T18:56:00.005+03:00</published><updated>2009-12-11T19:06:42.013+03:00</updated><title type='text'>TANGAWIZI</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; 1.0 UTANGULIZI:&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Jina la kitaalamu ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Zingiber officinale&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Tangawizi ni aina ya zao la kiungo ambalo sehemu inayotumika ni tunguu (rhizome) ambalo huonekana kama mizizi ya mmea. Asili ya zao hili ni maeneo ya kitropiki ya bara la Asia na hasa katika nchi za India na China. Zao hili linazalishwa kwa wingi kutoka katika nchi ya Jamaica. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Kigoma, Tanga, Morogoro, Pwani, Mbeya na Kilimanjaro. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJt6P12BTI/AAAAAAAAAqE/WLslK-hPiFo/s1600-h/tanga.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 352px; height: 241px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJt6P12BTI/AAAAAAAAAqE/WLslK-hPiFo/s400/tanga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5414010549504967986" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangawizi hutumika kama kiungo katika kuongeza ladha, harufu na kuchangamsha katika vinywaji (kama chai, soda, juisi, vilevi n.k) na vyakula mbalimbali kama mikate, biskuti, keki, nyama za kusaga, achari n.k. Hutumika pia katika viwanda vinavyotengeneza madawa ya tiba mbalimbali kama dawa za meno, kikohozi, tumbo na muwasho wa ngozi n.k. pia hutumika katika vipodozi kama poda n.k). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2.0 AINA ZA TANGAWIZI &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Hakuna uthibitisho wa aina za tangawizi ambazo hulimwa hapa nchini ila kuna dalili ya kuwa na aina za White Africa (Jamaica) na Cochin (flint); hii huwa na tunguu ngumu zenye nyuzi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3.0 TABIA YA MMEA &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Tangawizi ni mmea unaotambaa chini ya ardhi, wakati wa masika hutoa majani juu ya ardhi. Jamaica ina rangi hafifu ya kahawia na tunguu fupi wakati Cochin ina tunguu fupi zaidi lenye ngozi ya rangi iliyo kati ya kijivu na nyekundu. Mmea una urefu wa futi mbili na majani yake ni membamba marefu ambayo hufa kila mwaka yakiacha tunguu ardhini likiwa hai. Maua ya mmea huu yana rangi nyeupe au manjano. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4.0 HALI YA HEWA NA UDONGO &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Zao hili hustawi katika maeneo yenye hali ya kitropiki, kutoka usawa wa bahari hadi mwinuko wa mita 1,500 au zaidi. Huhitaji mvua kiasi cha mm.1,200-1,800 na joto la wastani wa nyuzi za sentigredi 20-25. Hustawi vema katika udongo tifutifu wenye rutuba na usiotuamisha maji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MMEA WA TANGAWIZI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJtbNmJRXI/AAAAAAAAAp8/9cYOJ1FW5go/s1600-h/tanga+mche.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 354px; height: 349px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJtbNmJRXI/AAAAAAAAAp8/9cYOJ1FW5go/s400/tanga+mche.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5414010016326305138" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5.0 UPANDAJI &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Zao la tangawizi hupandwa kwa kutumia vipande vya tunguu vyenye kichipukizi kizuri angalau kimoja na huweza kukatwa katika urefu wa sm.2.5-5. Wakati mwingine, vichipukizi vinavyopatikana katika kumenya tangawizi huweza kuhifadhiwa na kutumika kwa kupanda. Kiasi cha kilo 840-1700 cha vipande vya tunguu huweza kutumika kwa kupanda katika hekta moja. Nafasi inayotumika kupanda ni kati ya sentimita.23-30 kwa 15-23 na kina cha sentimita.5-10 na mara nyingi hupandwa katika matuta. Baadhi ya mazao huweza kupandwa katika shamba la tangawizi ili kuweka kivuli chepesi ingawa si lazima kivuli kiwepo. Inashauriwa kumwagilia maji endapo mvua inakosekana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wiki 1-2 kabla ya kupanda weka mbolea ya samadi au mboji kiasi cha tani 25-30 kwa hekta na kwa kukuzia weka kiasi cha NPK kwa uwiano wa kilo 36:36:80. Tandaza nyasi shambani kuhifadhi unyevunyevu hasa pale kivuli kinapokosekana. Palizi hufanywa mara magugu yanapoota, dawa ya kuua magugu, kama simazine au round up hutumika. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MKATE WA TANGAWIZI NA LIMAO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJs-ukeSCI/AAAAAAAAAp0/5GAsAdQZQvo/s1600-h/mkate.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 333px; height: 266px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJs-ukeSCI/AAAAAAAAAp0/5GAsAdQZQvo/s400/mkate.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5414009526961457186" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;6.0 Magonjwa na wadudu: &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Madoa ya majani yanayosababishwa na viini vya magonjwa viitwavyo Colletotrichum zingiberis na Phyllosticta zingiberi. &lt;br /&gt;• Kuoza kwa tunguu; kunasababishwa na viini viitwavyo Pithium spp &lt;br /&gt;• Mizizi fundo; inasababishwa na Meloidegyne spp. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;7.0 UVUNAJI &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Tangawizi huweza kuwa tayari kwa kuvuna kati ya miezi 9-10 baada ya kupanda, wakati majani yake yanapogeuka rangi kuwa njano na mashina kusinyaa. Tangawizi inayohitajika kwa kuhifadhi kwenye kemikali (preserved ginger in brine) huvunwa kabla haijakomaa kabisa, wakati ile iliyokomaa kabisa huwa kali zaidi na huwa na nyuzi hivyo hufaa kwa kukausha na kusaga. Mavuno hutofautiana kulinganana na huduma ya zao, mavuno yanaweza kuwa kiasi cha tani 20-30 cha tangawizi mbichi huweza kupatikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;8.0 USINDIKAJI &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Tangawizi ikisindikwa utapata unga, mafuta maalum (essential oils) n.k. Tangawizi iliyovunwa huweza kumenywa, kukatwa na kukaushwa juani au mara nyingine huchovywa katika maji yaliyochemka kwanza na ndipo kukaushwa au hukamuliwa mafuta. Pia tangawizi husindikwa na kuhifadhiwa kwenye chupa zikiwa zimechanganywa na sukari na/au chumvi au bila kuweka kitu chochote. Hata hivyo tangawizi ina Kiasi cha mafuta cha 16.0-18.0%. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJswZaHYxI/AAAAAAAAAps/UwY4Hr3QYIU/s1600-h/wizi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 333px; height: 260px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJswZaHYxI/AAAAAAAAAps/UwY4Hr3QYIU/s400/wizi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5414009280762700562" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;9.0 SOKO LA TANGAWIZI &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Soko la tangawizi lipo ndani na nje ya nchi, kiasi kikubwa kinauzwa nchini. Bei yake ni kati sh. 300-1,500/- kutegemeana na msimu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;10.0 GHARAMA ZA UZALISHAJI NA MAPATO &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;GHARAMA YA HEKTA MOJA:&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Mbegu Tshs. 240,000/- &lt;br /&gt;Vibarua 250,000/- &lt;br /&gt;Mbolea(mboji/samadi) 150,000/- &lt;br /&gt;Jumla 640,000/- &lt;br /&gt;MAPATO: &lt;br /&gt;Kilo 20,000 X300 =&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;6,000,000/-&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4752667361196019399?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4752667361196019399/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4752667361196019399&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4752667361196019399'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4752667361196019399'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/12/tangawizi.html' title='TANGAWIZI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SyJt6P12BTI/AAAAAAAAAqE/WLslK-hPiFo/s72-c/tanga.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-8502741360917257318</id><published>2009-12-05T08:11:00.009+03:00</published><updated>2009-12-05T08:59:30.607+03:00</updated><title type='text'>MIHOGO - NJIA BORA ZA UKAUSHAJI NA USINDIKAJI</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1.&lt;/span&gt; &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mambo Muhimu Ya Kuzingatia Katika Utayarishaji Wa Mihogo&lt;br /&gt;Mibichi Na Ukaushaji&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1.1 UTAYARISHAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mihogo mibichi iliyovunwa huoshwa mara mbili. Uoshaji wa kwanza ni ule wa kuondoa udongo baada ya kuvuna, na uoshaji wa pili ni baada ya kumenya mihogo kabla ya kukausha.Baada ya kuoshwa mihogo humenywa kwa kutumia kisu kikali, na kutumbukizwa ndani ya maji safi. Baada ya kumenya kiasi kinachotakiwa mihogo huoshwa na maji safi hadi kuwa myeupe.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;1.2 UTENGENEZAJI WA CHIPSI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mihogo iliyo safi huwekwa ndani ya mashine ya kuzungushwa kwa mikono au mashine ya kuzungushwa kwa mota ya umeme, kisha huparuliwa na kutoka vipande vidogo vidogo ambavyo huanikwa katika makaushio bora.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxntcIRbPqI/AAAAAAAAApk/w7lA7rwBFWk/s1600-h/MIBICHI.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 236px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxntcIRbPqI/AAAAAAAAApk/w7lA7rwBFWk/s400/MIBICHI.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5411617494775053986" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1.3 KWA MIHOGO MICHUNGU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuparuwa mihogo kuwa chipsi, huwekwa katika mifuko safi (viroba) na kuwekwa mahali penye kivuli kwa muda usiopungua saa sita ili kuacha sumu iliyoko kwenye mihogo kupotea kabla ya kukausha.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;1.4 UKAUSHAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mihogo safi ambayo imeparuliwa au kukatwa vipande vidogo vidogo hukaushwa katika makaushio bora kwenye jua kali. Makaushio bora huwa ni yale ambayo yamejengewa kichanja kilichoinuliwa mita mbili kutoka ardhini, na kutandazwa chekeche ya plastiki juu yake, yenye matundu madogo yasiyoweza kupitisha chembechembe za mihogo mikavu Kitambaa safi cha kaniki au mikeka safi huweza kutumika pia kama tandiko la juu ya kichanja ambapo chipsi za mihogo huweza kukaushwa kwa hali ya usafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;VICHANJA BORA VYA KUKAUSHIA MIHOGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxnszyN01NI/AAAAAAAAApM/saNwgQvwqKU/s1600-h/vichanja.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 290px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxnszyN01NI/AAAAAAAAApM/saNwgQvwqKU/s400/vichanja.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5411616801659606226" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Epuka kukaushia chipsi za mihogo katika majamvi mabovu juu ya ardhi kwani uchafu utakaoingia ndani ya mihogo hautakuwa rahisi kuondoa tena na husababishsa bidhaa ya unga kutokuwa na ubora.Ukaushaji duni wa mihogo Uharibifu au upotevu unaosababishwa na ukaushaji duni husababisha muhogo kubadilika rangi na kupata ukungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UKAUSHAJI DUNI WA MIHOGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxnsVqpOBCI/AAAAAAAAApE/8x2gfLxDZPk/s1600-h/ukaushaji+duni.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 289px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxnsVqpOBCI/AAAAAAAAApE/8x2gfLxDZPk/s400/ukaushaji+duni.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5411616284230943778" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;1.5 NJIA BORA ZA KUKAUSHA MIHOGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mihogo iliyoparuliwa (chipsi) hukaushwa na baadaye kusindikwa ilikupata unga.&lt;br /&gt;VIFAA NA MALIGHAFI&lt;br /&gt;• Mihogo safi&lt;br /&gt;• Kisu kikali kisichoshika kutu.&lt;br /&gt;• Mashine ya kuparua (grater)&lt;br /&gt;• Kaushio bora&lt;br /&gt;• Kitambaa cheusi kikubwa cha kutosha na kilicho safi au majamvi safi&lt;br /&gt;• Vifungashio.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MASHINE YA KUPARUA MIHOGO(grater)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sxnr9T2sTXI/AAAAAAAAAo8/bKnfFBb0JDM/s1600-h/grater.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 310px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sxnr9T2sTXI/AAAAAAAAAo8/bKnfFBb0JDM/s400/grater.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5411615865796578674" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;UTENGENEZAJI WA MAKOPA YA MIHOGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Menya mihogo safi kuondoa maganda&lt;br /&gt;• Parua kwa kutumia mashine kupata chipsi.&lt;br /&gt;• Anika kwenye kichanja au kaushio bora lilotandikwa kitambaa cheusi kilicho safi au jamvi safi ili kuzuia uchafu kuingia ndani ya chipsi.&lt;br /&gt;• Sambaza na geuzageuza vipande hivyo ili kuharakisha ukaukaji.&lt;br /&gt;• Muda wa kukausha hutegemea hali ya jua na ukubwa wa vipande. Vipande vidogo hukauka upesi na huwa bora kwa mlaji. Vipande vikubwa huchelewa kukauka na hupoteza ubora&lt;br /&gt;• Fungasha vipande vilivyokaushwa kwenye magunia safi, kasha hifadhi kwenye maghala bora.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1.6 KUHIFADHI MIHOGO MIKAVU (Chipsi Au Makopa)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Njia pekee ya kuhifadhi mihogo kwa muda mrefu ni kwa kuhifadhi mihogo iliyokaushwa. Muhogo uliokaushwa huweza kuhifadhiwa kwa muda wa miezi 6 hadi 12 bila kuharibika. Makopa yanashambuliwa na dumuzi zaidi kuliko chipsi, hivyo inashauriwa kuhifadhi mihogo iliyoparuliwa na kukaushwa (chipsi) ambayo inakuwa katika hali ya unga unga na kufanya mashambulizi ya dumuzi yapungue kabisa.&lt;br /&gt;Chipsi za mihogo zinaweza kuhifadhiwa katika magunia safi ya juti na kupangwa ndani ya ghala juu ya chaga. Pia chipsi zinaweza kuhifadhiwa katika hali ya kichele ndani ya sailo au kihenge bora. Mihogo haihifadhiwi kwa kutumia madawa ya viwandani. Hifadhi kwa hali ya ukavu, usafi na kagua ghala mara kwa mara kuona kama kuna mashambulizi ya panya na chukua tahadhari kuepuka upotevu wa chakula hicho. Aidha hifadhi kwa muda ulioshauriwa ili kudumisha ubora wa bidhaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2 KUSINDIKA MIHOGO ILIYOKAUSHWA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.1 Kusindika muhogo uliokaushwa kupata unga&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;VIFAA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Mashine ya kusaga&lt;br /&gt;• Mifuko ya kufungasha&lt;br /&gt;• Mashine ya kufungia mifuko&lt;br /&gt;• Chekeche&lt;br /&gt;• Mizani&lt;br /&gt;• Muhogo safi uliokaushwa vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MASHINE YA KUSAGIA MIHOGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxntJ0a34GI/AAAAAAAAApU/C_nlqRlSi3Y/s1600-h/kusaga.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 314px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxntJ0a34GI/AAAAAAAAApU/C_nlqRlSi3Y/s400/kusaga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5411617180208324706" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JINSI YA KUSINDIKA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Saga muhogo uliokaushwa kwenye mashine ili kupata unga.&lt;br /&gt;• Chekecha kwa kutumia chekeche laini. Ukubwa wa matundu ya chekechekeche hutegemea kiwango cha ubora wa unga kinachotakiwa na soko.&lt;br /&gt;• Weka unga kwenye mifuko kutegemea matakwa ya soko (kilo 1,2,5,10, au 50)&lt;br /&gt;• Funga vyema kwenye mifuko ya kufungashia ili hewa isiingie&lt;br /&gt;• Hifadhi kwenye chaga au fremu zilizowekwa mahali pakavu na pasipokuwa na mwanga mkali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2.2 &lt;/span&gt;Viwango vya ubora wa unga wa muhogo uliokaushwa Unga laini&lt;br /&gt;• Unga huu unapochekechwa kwa kutumia chekeche yenye matundu madogo&lt;br /&gt;(milimita 0.60) hupenya karibu wote (asilimia 90)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unga wenye ulaini kati&lt;br /&gt;• Unga huu unapochekechwa kwa kutumia chekeche yenye matundu makubwa (milimita) 1.20) hupenya karibu wote (asilimia 90).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2.3&lt;/span&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; MATUMIZI YA UNGA WA MIHOGO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Hutumika kupika ugali, uji na katika kutengeneza maandazi, tambi, keki, biskuti,kababu, donati, mkate, chapati na chapati maji.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxntTkxXchI/AAAAAAAAApc/JP8aina_GBE/s1600-h/unga.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxntTkxXchI/AAAAAAAAApc/JP8aina_GBE/s400/unga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5411617347806392850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Virutubisho vinavyopatikana kwenye gramu 100 za unga wa muhogo ni kama ifuatavyo&lt;br /&gt;Maji asilimia 13&lt;br /&gt;Nguvu kilokalori 320&lt;br /&gt;Protini gramu 1.7&lt;br /&gt;Vitamini C miligramu 4&lt;br /&gt;Kalsiamu miligramu 4&lt;br /&gt;Fosiforasi miligramu 135&lt;br /&gt;Potasiamu miligramu 885&lt;br /&gt;W anga gramu 84&lt;br /&gt;Madini ya chuma miligramu 2&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-8502741360917257318?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/8502741360917257318/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=8502741360917257318&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8502741360917257318'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8502741360917257318'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/12/1.html' title='MIHOGO - NJIA BORA ZA UKAUSHAJI NA USINDIKAJI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxntcIRbPqI/AAAAAAAAApk/w7lA7rwBFWk/s72-c/MIBICHI.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-3143085349569506380</id><published>2009-11-30T19:15:00.004+03:00</published><updated>2009-11-30T19:23:16.433+03:00</updated><title type='text'>MABADILIKO YA TABIA YA NCHI KIKWAZO CHA KILIMO KWANZA</title><content type='html'>Katika miongo kadhaa ijayo kutakuwa na mabadiliko ya kitabia ya nchi katika hali ya hewa, hii inasababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha joto katika dunia. Hali hii ina madhara ya moja kwa moja  katika maji na uzalishaji wa chakula katika hali mbali mbali. Kuna dalil zilizo wazi zinazoonyesha kwamba nchi masiki zinazoendelea ikiwamo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Tanzania&lt;/span&gt; ndizo zitakazo athirika zaidi kutokana na mabadiliko haya ya hali ya hewa kitabia.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Jamii zilizoko vijijini ambako ndio kuna watu wengi zaidi na wanategemea kilimo kama ajira yao au chanzo cha mapato ndiyo itakayo athirika zaidi na kusababisha wimbi la kuhamia mijini kuongezeka, Katika kilimo maji ndiyo hutumika sana na kutokana na mabadiliko haya kiasi cha mvua kitapungua kunyesha, kuna watakao amua kuhamia kulima kwenye vyanzo vya maji au maeneo tengefu ili kuweza kuhimili hali ya ukame, kwa kufanya hivyo basi hata upatikanaji wa maji kwenye mito na chemi chemi pia utaathiriwa kwa kiwango kikubwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxPwn45uKyI/AAAAAAAAAo0/ROKQ_cbwUpg/s1600/mahindi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 257px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxPwn45uKyI/AAAAAAAAAo0/ROKQ_cbwUpg/s400/mahindi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5409932145482148642" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kukoseka kwa maji ya uhakiwa kwa wakazi wa vijijni kutasababisha magonjwa ya milipuko kama kuhara, kichocho na hata kipindupindu kuibuka na hivyo wana vijiji kupoteza maisha, visima vichache ambavyo ni vyaasili na hata vile vya kuchimbwa ambavyo ni vifupi navyo vitakuwa havina maji kwa kipindi kirefu cha Mwaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna haja kubwa kwa mamlaka husika za serekali kama Hali ya hewa, kilimo, mifugo, uvuvi, misitu na nyinginezo kujiandaa mapema na kuwaanda wanavijiji na hali hiyo, kuna njia kama kubadili aina ya mazao na wanyama, namna ya ulimaji mfano kuanza kilimo cha umwagiliaji cha uhakika, pia kunahitajika aina mpya za mbegu kulingana na mahitaji ya hali ya hewa zaidi ikiwa ni za muda mfupi na zenye kuhitaji mvua pungufu lakini zenye kuzaa zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aina  za miti tuayopanda kwa ajili ya misitu yetu pia inabidi ibadilike, baadhi ya miti imelalamikiwa kwamba inaondoa maji mengi sana ardhini na hivyo kuwa chanzo cha ukame, ingawa bado utafiti unaendelea lakini  miti kama mikaratusi na misoji ni dhahiri inatumia maji mengi katika ukuaji wake&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-3143085349569506380?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/3143085349569506380/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=3143085349569506380&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3143085349569506380'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/3143085349569506380'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/11/mabadiliko-ya-tabia-ya-nchi-kikwazo-cha.html' title='MABADILIKO YA TABIA YA NCHI KIKWAZO CHA KILIMO KWANZA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SxPwn45uKyI/AAAAAAAAAo0/ROKQ_cbwUpg/s72-c/mahindi.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4860919329412672656</id><published>2009-11-26T17:47:00.010+03:00</published><updated>2009-11-26T18:04:48.798+03:00</updated><title type='text'>VITUNGUU</title><content type='html'>Ndugu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Bunyanza&lt;/span&gt; kwa mara nyingine tena alitaka kujua kuhusu zao la vitunguu, na mimi bila hiyana naelezea yale machache ninayoyafahamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6Wr2rAnoI/AAAAAAAAAoc/Q_KWu6a2fWM/s1600/vitunguu+shamba.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 383px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6Wr2rAnoI/AAAAAAAAAoc/Q_KWu6a2fWM/s400/vitunguu+shamba.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5408425882672995970" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zao la vitunguu hulimwa karibu kila mahali hapa nchini. Hata hivyo, mikoa inayolima kwa wingi ni Tanga, Arusha, Iringa, Kilimanjaro, Singida, Morogoro, Mara, Mbeya Dodoma na Manyara. Zao hili ni la biashara na chakula. Ekari moja inaweza kuzalisha gunia &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;80 – 100&lt;/span&gt; za vitunguu zikitunzwa kitaalam, na mkulima anaweza kulima mara mbili kwa Mwaka kwa mbegu kubwa ambazo huchukua hadi miezi mitano (5) shambani. Bei ya wastani kwa gunia moja ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Tsh 60,000&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;MAMBO YA KUZINGATIA WA K ATI WA UZALISHAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Ili kupata vitunguu bora na vingi ni muhimu kuzingatia kanuni za kilimo bora cha vitunguu.Baadhi ya kanuni hizo ni kama zifuatazo: -&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6W23NsKcI/AAAAAAAAAok/pBbHiHXsjkw/s1600/tunguu.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 360px; height: 314px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6W23NsKcI/AAAAAAAAAok/pBbHiHXsjkw/s400/tunguu.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5408426071797017026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1 - Kuchagua aina ya mbegu&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Chagua aina bora kulingana na matakwa ya soko&lt;br /&gt;• Pamoja na mahitaji ya soko ni muhimu pia kuchagua aina inayovumilia magonjwa, wadudu,kukomaa mapema na kutoa mazao mengi na bora.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2 - Kuweka mbolea&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Vitunguu hustawi vizuri kwenye udongo wenye rutuba ya kutosha.&lt;br /&gt;• Tumia mbolea za asili ili kurutubisha udongo kwa lengo la kupata mazao mengi na bora.&lt;br /&gt;• Iwapo ni lazima kutumia mbolea za viwandani muone mtaalam wa kilimo ili akuelekeze namna ya kutumia. Mbolea ikizidi huharibu ubora wa vitunguu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3 - Kumwagilia maji&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Kagua shamba kuona kama udongo una unyevu wa kutosha. Iwapo unyevu ni mdogo mwagilia maji kufuata mahitaji ya mmea. Vitunguu vinapoanza kukomaa punguza kumwagilia ili kuepuka kuoza&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6XE7TTJsI/AAAAAAAAAos/ArH1Jfpp1Ps/s1600/vitunguu.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 360px; height: 360px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6XE7TTJsI/AAAAAAAAAos/ArH1Jfpp1Ps/s400/vitunguu.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5408426313412454082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;4 - Kupalilia&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Palilia mara kwa mara ili kudhibiti magugu na kuwezesha vitunguu kutumia vizuri unyevu na virutubishi vilivyoko kwenye udongo. Pia magugu mengine huficha wadudu waharibifu kama vile utitiri mwekundu.&lt;br /&gt;• Wakati wa kupalilia epuka kukata mizizi ya mimea.&lt;br /&gt;• Pandishia udongo na kufunika shina la kitunguu wakati wa kupalilia ili kuzuia jua lisiunguze mizizi na kubabua vitunguu. Vitunguu vilivyoungua na kubabuliwa ubora wake hushuka napia huharibika upesi wakati wa kuhifadhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5 - Kudhibiti magonjwa na wadudu&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Vitunguu hushambuliwa na magonjwa na wadudu mbalimbali ambao huweza kusababisha upungufu na ubora wa mazao. Ili kudhibiti tatizo hilo kagua shamba mara kwa mara kuona dalili za mashambulizi. Endapo kuna dalili za mashambulizi, chukua tahadhari ya kunyunyuzia dawa mapema kabla madhara hayajaleta upotevu mkubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;6 - Kupanda kwa nafasi:&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Zingatia nafasi ya kupanda inayopendekezwa ili kupata vitunguu vyenye ukubwa uliokusudiwa. Wastani ni inchi 4 - 5 kutoka kitunguu kimoja hadi kingine, na inchi 12 - 18 kutoka mstari hadi mstari na kipandwe inchi 1 - 1.5 chini ya udongo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAANDALIZI KABLA YA KUVUNA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1 - Kukagua shamba&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;• Kagua shamba ili kuhakikisha kuwa vitunguu vimekomaa. Vitunguu huwa tayari kuvunwa miezi mitatu hadi mitano tangu kusia mbegu kutegemea aina ya mbegu na hali ya hewa.Dalili za vitunguu vilivyokomaa:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Majani hunyauka na kuanza kukauka&lt;br /&gt;• Asilimia kumi hadi 20 ya mimea huanguka majani na shingo hulegea.&lt;br /&gt;• Majani hubadilika rangi kuwa ya manjano na baadaye kaki&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;VITUNGUU VILIVYOKAUKA MAJANI TAYARI KWA KUVUNA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6WPKh0TgI/AAAAAAAAAoU/lprefsVMMq8/s1600/vitunguu1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 242px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6WPKh0TgI/AAAAAAAAAoU/lprefsVMMq8/s400/vitunguu1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5408425389786942978" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2 - Kuvuna&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Vitunguu vinapaswa kuvunwa mapema mara tu vinapokomaa ili kupata mazao mengi na bora.Uvunaji hufanyika kwa mikono ambapo jembe uma hutumika kuchimbua au kulainisha udongo.Udongo ukishalainishwa vitunguu hung’olewa kwa mkono. Inashauriwa uvunaji uanze asubuhi ili vitunguu viweze kunyauka na kukomaza ngozi sehemu za michubuko. Vitunguu visiwekwe juani na inapobidi kukomaza ngozi shambani, majani ya vitunguu yatumike kufunika vitunguu ndani ya matuta yake wakati wa mchana ambapo kuna jua. Kusanya vitunguu kwenye vikapu kisha vipeleke sehemu ya kukaushia. Vitunguu vya kukaushia kwenye kichanja ni bora zaidi, mizizi na majani hupunguzwa na kuachwa urefu wa robo inchi . Vitunguu vya kukausha kwa kunining’iniza havikatwi majani bali hufungwa kwenye mafungu na kupelekwa sehemu ya kukaushia.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4860919329412672656?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4860919329412672656/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4860919329412672656&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4860919329412672656'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4860919329412672656'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/11/vitunguu.html' title='VITUNGUU'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Sw6Wr2rAnoI/AAAAAAAAAoc/Q_KWu6a2fWM/s72-c/vitunguu+shamba.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-10672844148725682</id><published>2009-11-21T09:13:00.006+03:00</published><updated>2009-11-21T09:24:47.357+03:00</updated><title type='text'>MAHINDI NA MPUNGA KIPI KINA FAIDA ZAIDI</title><content type='html'>Kutokana na maombi ya Ndugu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Buyanza&lt;/span&gt; ya kutaka kufahamu kati ya kilmo cha mahindi na Mpunda kipi kina faida zaidi, nami nimejaribu kuchambua kidogo kati ya mazao haya mawili&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MPUNGA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Katika hecta moja ya mpunga unaweza kuzalisha mpaka &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kilo 3675&lt;/span&gt; kwa mkupuo mmoja, kama shamba ni jipya itakuchukua &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miezi 6&lt;/span&gt; mpaka kuanza uvunaji, hii ni kwa sababu ya kuliandaaa shamba lako, baada ya mvuno wa kwanza utaweza kuvuna &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;mara 3 kwa Mwaka.&lt;/span&gt; Hii inamaanisha kwamba unaweza kuvuna kiasi cha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;tani 10 -11&lt;/span&gt; kwa Mwaka kama utafanya kilimo cha umwagiliaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGu1NxMnI/AAAAAAAAAoM/GyGLxuhql5I/s1600/mpunga1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 247px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGu1NxMnI/AAAAAAAAAoM/GyGLxuhql5I/s400/mpunga1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5406438016798503538" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kilo ya mpunga sasa hivi ni shilingi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;700 – 800 &lt;/span&gt;ingawa bei hupanda baadae kama utahifadhi mpunga wako kwa maana hiyo kwa Mwaka unaweza kupata kati ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;shilingi milioni 7 mpaka milioni 8&lt;/span&gt;, gharama za kulima mpunga ni wastani wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;asilimia 20- 22&lt;/span&gt; ya mauzo, kwa maana hiyo kwa Mwaka kilimo chako kitatumia si zaidi ya shilingi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;milioni 2&lt;/span&gt; kwa mara zote &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3&lt;/span&gt; utakazolima, hii ikijumuisha vibarua na mbolea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGi6RTitI/AAAAAAAAAoE/_FJe_xSDQRE/s1600/mpunga.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGi6RTitI/AAAAAAAAAoE/_FJe_xSDQRE/s400/mpunga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5406437811997084370" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAHINDI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGXSPleRI/AAAAAAAAAn8/NYCLJeqcZVU/s1600/mahindi1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 298px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGXSPleRI/AAAAAAAAAn8/NYCLJeqcZVU/s400/mahindi1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5406437612273891602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama utalima mahindi, ambayo unaweza kulima &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;mara 2&lt;/span&gt; kwa Mwaka kwa ukanda wa pwani na mara moja kama nisehemu zenye baridi, MAvuno kwa hecta moja ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kilo 7500&lt;/span&gt; kwa maeneo yenye baridi na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kilo 5000&lt;/span&gt; kwa ukanda wa pwani ambapo utavuna &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kilo 10,000&lt;/span&gt; kwa Mwaka. Bei ya mahindi kwenye soko ni wastani wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;shilingi 400&lt;/span&gt; kwa maana hiyo unaweza kupata shilingi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;milioni 4&lt;/span&gt; kwa Mwaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGPBFwZOI/AAAAAAAAAn0/GA9o-BguP6g/s1600/hindi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGPBFwZOI/AAAAAAAAAn0/GA9o-BguP6g/s400/hindi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5406437470230308066" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matumizi ya mbolea za viwandani ni lazima ili kufikia mavuno haya, Mbolea kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UREA&lt;/span&gt; itawekwa mara mbili wakati wa kupandia na kukuzia ikichanganywa na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DAP&lt;/span&gt; (diamonium phosphate) ghara jumla ya mbolea hizi kwa mpando mmoja hufikia kiasi cha shilingi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;laki 7&lt;/span&gt; mara mbili ni shilingi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1,400,000 &lt;/span&gt;ukongeza na gharama za kuandaa shamba na kupalilia kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;200,000&lt;/span&gt; unapata jumla ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1,600,000&lt;/span&gt; kwa hiyo utabakiwa na kama shilingi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2,400,000&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGE3c_cZI/AAAAAAAAAns/L-yUYVV4CtA/s1600/mahindi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 386px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGE3c_cZI/AAAAAAAAAns/L-yUYVV4CtA/s400/mahindi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5406437295844716946" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HITIMISHO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mpunga ukilimwa kitaalam unawezza kukupatia faida shilingi milioni 5 kwa Mwaka, wakati mahindi yatakupatia shilingi milioni 2.5, faida ya mpunga inakuwa kubwa kwa sababu utalima mara 3 kwa Mwaka lakini kama utategema mvua utalima mamra 2 tu kwa Mwaka na utapata faida ya shilingi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3,300,000&lt;/span&gt; kwa Mwaka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hizi data ni kwa uzoefu wangu tu wa haraka haraka, bei ya mazao inaweza kupanda au kushuka na kiasi cha uzalishaji kwa hecta kinaweza kupanda au kushuka kutokana na aina ya mbegu, hali ya hewa na uzoefu wa mkulima mwenyewe. Kwa sasa hivi kilo ya unga wa mahindi ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;shilingi 700&lt;/span&gt; na debe la mpunga wa kyela ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;shilingi 20,00&lt;/span&gt;0, unaweza kupata faida zaidi kama utaachana na madalali na kupeleka mazzao yako sokoni mwenyewe&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-10672844148725682?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/10672844148725682/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=10672844148725682&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/10672844148725682'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/10672844148725682'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/11/mahindi-na-mpunga-kipi-kina-faida-zaidi.html' title='MAHINDI NA MPUNGA KIPI KINA FAIDA ZAIDI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SweGu1NxMnI/AAAAAAAAAoM/GyGLxuhql5I/s72-c/mpunga1.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-9160230757199281942</id><published>2009-11-19T07:24:00.005+03:00</published><updated>2009-11-19T07:31:32.181+03:00</updated><title type='text'>MIGRAVILLEA</title><content type='html'>Kutokana na maombi ya ndugu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Leonard Kisen&lt;/span&gt;ha mwenye shamba lake pale Goba, alitaka kujua kati ya Mitiki/misoji na migavilea &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(GRAVILLEA ROBUSTA)&lt;/span&gt;, je ni miti gani itamfaa kupanda kwenye shamba lake? Jibu ni rahisi ukuaji mpaka kuvuna umri ni karibia sawa sawa ila wakati wa kuvuna mwenye mitiki atapa faida nyingi sana (maradufu) kutokana na bei ya mitiki kuwa juu sana, pia hali ya hewa ya pwani kwenye joto inafaa zaid kwa mitiki tofauti na migravilea ambayo hukua vizuri zaidi kwenye baridi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SwTJHxfnK_I/AAAAAAAAAnk/yA6WpLmx_Ak/s1600/gravilea.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 303px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SwTJHxfnK_I/AAAAAAAAAnk/yA6WpLmx_Ak/s400/gravilea.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5405666588133633010" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Asili ya miti hii ni nchini Australia lakini nchini Coasta rica na Guantemala &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(mita  1000 kutoka usawa wa bahari)&lt;/span&gt; Afika Mashariki (1200m – 1800m) Sri lanka &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(600m – 2000&lt;/span&gt;m) Israel, Cyprus na Afrika ya Kusini huota yenyewe ikichanganyika na miti ya mikaratusi. Miti hii hustawi zaidi kwenye maeneo yasiyo na joto na inahimili hali ya hewa hata kufikia kuganda ndio maana ukanda wetu hustawi zaidi mikoa ya Mbeya, iringa, Songea, Arusha, Kilimanjaro, Tanga (Lushoto)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miti hii hukua hadi kufikia mita &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;30 – 35&lt;/span&gt; ikiwa na kipenyo cha wastani  &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;50cm – 60cm&lt;/span&gt;, inakuwa na majani kipindi chote cha Mwaka huwa na magamba ya kahawia huku mbao zake zikiwa na rangi nyekundu kuelekea hudhurungi iliyo kolea, huweza kuhimili kuota kwenye mchanga na udongo wenye asidi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5 – 7ph&lt;/span&gt; ingawa hukua vizuri zaidi kwenye udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SwTI_tL11UI/AAAAAAAAAnc/SZ2WZJBg3Ng/s1600/gravillea3.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 302px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SwTI_tL11UI/AAAAAAAAAnc/SZ2WZJBg3Ng/s400/gravillea3.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5405666449538012482" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiasi cha mvua kinachohitajika ni wastani  wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1200mm – 1800m&lt;/span&gt;m kwa mwaka, hutoa maua yenye rangi ya njano na kishubaka cha mbegu huwa na urefu wa senti meta 2 ambazo kwa Tanzania hukomaa kuanzia mwezi 5 mpaka 8, mbegu zake ni nyembamba kama karatasi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(kilo moja huwa na mbegu 50,000 mpaka 150,000&lt;/span&gt;)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umri mzuri wa kuvuna tangu kupandwa ni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miaka &lt;/span&gt;15 ambapo mbao nzuri hupatikana, lakini  mti unaweza kuvunwa kabla ya hapo kama utahitajika kwa matumizi mengine kama kuni au nguzo za kujengea, mti huu unaweza kupandwa kwa ajili ya kivuli, mapambo au hata mipaka ya shamba na kuzuia upepo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SwTIzdjIg0I/AAAAAAAAAnU/pTciKH5gorc/s1600/gravillea2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 302px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SwTIzdjIg0I/AAAAAAAAAnU/pTciKH5gorc/s400/gravillea2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5405666239182308162" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gamba la mbegu zake huwa gumu kiasi, njia nzuri ya kuhakikisha zinaota kwa wingi ni kwa kuzipitisha kwenye moto kidogo (heat seed scarification) mbegu zikiachwa wazi huweza kukaa bila kuharibika kwa miezi 2 – 3 lakini kama zitahifadhiwa kwenye mifuko ya plastic kwenye hali joto ya sentigredi 4 na unyevu kiasi cha asilimia 60 kisha mfuko ukazikwa kwenye mchangamkavu ulio ndani ya chombo maalum, basi mbegu huweza kuhifadhiwa mpaka miaka miwili&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-9160230757199281942?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/9160230757199281942/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=9160230757199281942&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9160230757199281942'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/9160230757199281942'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/11/migravillea.html' title='MIGRAVILLEA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SwTJHxfnK_I/AAAAAAAAAnk/yA6WpLmx_Ak/s72-c/gravilea.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5515379914496995417</id><published>2009-11-12T19:04:00.003+03:00</published><updated>2009-11-12T19:08:28.188+03:00</updated><title type='text'>KASUKU - DONDOO ZA KUMFUNDISHA KUONGEA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Svwy53cho1I/AAAAAAAAAnM/P9S5gdZNCTU/s1600-h/kasuku.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 306px; height: 294px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Svwy53cho1I/AAAAAAAAAnM/P9S5gdZNCTU/s400/kasuku.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5403249622655279954" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wengi wamekuwa wakipenda kufuga kasuku lakini utakuta wanalalamika kwamba kasuku wake haongei, nimeamua kuweka vidokezo muhimu ili mfugaji aweze kuzingatia wakati wa kumfundisha&lt;br /&gt;Kuna aina nyingi za kasuku duniani wengine wakiwa na rangi za kawaida na wengine wakivutia sana, kwa kawaida huwa hawaishi sehemu zenye baridi kali kwani hupendelea hali ya joto wastani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UCHAGUZI WA KASUKU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mbegu kubwa ni waongeaji wazuri, mbegu ndogo ni wavivu kujifunza, &lt;br /&gt;Akiwa mdogo anajifunza vizuri zaidi, ukiweza mpate yule anayetoka kulelewa kwenye kiota na ndio anajifunza kuruka/kupaa&lt;br /&gt;Kasuku muoga hawezi kujifunza vizuri.&lt;br /&gt;Kasuku mwenye tabia ya kung'ata anauwezo mkubwa wa kujifunza kungea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Svwymj1o0yI/AAAAAAAAAnE/JZAGsvzcoKc/s1600-h/kasuku3.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 243px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Svwymj1o0yI/AAAAAAAAAnE/JZAGsvzcoKc/s400/kasuku3.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5403249290974384930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAZINGIRA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kumbuka kasuku hujifunza maneno machache tu hawezi kuongea kama mtu.&lt;br /&gt;Sehemu nzuri ya kumuweka nyumbani ni jikoni, kwa sababu kuna shughuli nyingi.&lt;br /&gt;Huanza kuongea katika umri wa miezi 4-6.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Svwyddqz6JI/AAAAAAAAAm8/Lz_GTCljcOc/s1600-h/kasuku2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 252px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Svwyddqz6JI/AAAAAAAAAm8/Lz_GTCljcOc/s400/kasuku2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5403249134699538578" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UFUNDISHAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa kumfundisha zima radio na TV (kusiwe na kelele)&lt;br /&gt;Muda mzuri wa mafunzo ni asubuhi na jioni.&lt;br /&gt;Mfundishe kupiga miluzi baada ya kuweza kuongea baadhi ya maneno na si kabla ya hapo.&lt;br /&gt;Kumbuka kasuku hujifunza vizuri zaidi kwa vitendo mfano unamtoa nje ya kibanda chake huku unamwambia " toka nje mmmh" ukirudia rudia, jitahidi kutumia Mmmh kila baada ya neno, hii humsaidia kujifunza kwa urahisi.&lt;br /&gt;Hakikisha anapata mlo kamili maji na matibabu&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5515379914496995417?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5515379914496995417/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5515379914496995417&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5515379914496995417'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5515379914496995417'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/11/kasuku-dondoo-za-kumfundisha-kuongea.html' title='KASUKU - DONDOO ZA KUMFUNDISHA KUONGEA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Svwy53cho1I/AAAAAAAAAnM/P9S5gdZNCTU/s72-c/kasuku.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-4409141269519232159</id><published>2009-11-07T07:44:00.007+03:00</published><updated>2009-11-07T08:15:00.662+03:00</updated><title type='text'>SAANEN MBUZI BORA WA MAZIWA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SvT-goxrzQI/AAAAAAAAAm0/Q2nz4IVn0xw/s1600-h/saanen.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 304px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SvT-goxrzQI/AAAAAAAAAm0/Q2nz4IVn0xw/s400/saanen.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5401221689779145986" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ASILI&lt;/span&gt; Switzerland katika ukanda wa Saanen&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;RANGI&lt;/span&gt; nyeupe au maziwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UZITO&lt;/span&gt; kilo 65-68&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAZINGIRA&lt;/span&gt; yasiyo na joto, wanapendelea baridi chini ya sentigredi 15c&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SvT-UdAQpbI/AAAAAAAAAms/qttxor_AkOs/s1600-h/saanen+kiwele.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 313px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SvT-UdAQpbI/AAAAAAAAAms/qttxor_AkOs/s400/saanen+kiwele.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5401221480460625330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UZAZI&lt;/span&gt; mtoto moja au mapacha (kila mwaka mara mbili)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UZALISHAJI&lt;/span&gt; lita 4 mpaka 7 kwa siku (mikamuo miwili)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MASIKIO&lt;/span&gt; yamesimama wima&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MKIA&lt;/span&gt; umelala tofauti na mbuzi wengi ambao husimamisha mkia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NDEVU&lt;/span&gt; majike yana ndevu mara chache ingawa si nyingi kama madume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;PEMBE&lt;/span&gt; ndefu zilizosimama wima&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SvT9yB0FdQI/AAAAAAAAAmk/exbLVV2406o/s1600-h/saanen1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 333px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SvT9yB0FdQI/AAAAAAAAAmk/exbLVV2406o/s400/saanen1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5401220889046250754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-4409141269519232159?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/4409141269519232159/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=4409141269519232159&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4409141269519232159'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/4409141269519232159'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/11/saanen-mbuzi-bora-wa-maziwa.html' title='SAANEN MBUZI BORA WA MAZIWA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SvT-goxrzQI/AAAAAAAAAm0/Q2nz4IVn0xw/s72-c/saanen.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-1531082568930788303</id><published>2009-11-02T18:40:00.010+03:00</published><updated>2009-11-02T19:08:33.522+03:00</updated><title type='text'>BORAN - MBEGU BORA YA NG'OMBE WENYE ASILI YA AFRIKA MASHARIKI</title><content type='html'>Asili yake ni maeneo ya borana kusini mwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ethiopia&lt;/span&gt; ambako alipatikana baada ya mbegu tatu za ng’ombe zilichanganyika  kwa bahati mbaya kutoka kwa wafugaji wa kienyeji waliotoa ngombe wao kutoka pande tofauti za afrika, hiyo ilikuwa zaidi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miaka 1300&lt;/span&gt; iliyopita lakini sasa hivi kuna taasisi inayoitwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Boran cattle breeder’s society&lt;/span&gt; iliyopo nchini Kenya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DUME BORA LA BORAN&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8DKWXy7uI/AAAAAAAAAmc/4URX_SfzX60/s1600-h/dume.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 277px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8DKWXy7uI/AAAAAAAAAmc/4URX_SfzX60/s400/dume.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399537954579476194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taasisi hii iliamua sasa itafute mbegu bora ya Boran kwa kutumia njia za kitaalam tofauti na hapo mwanzo ambako Boran alitokea tu bila hata wafugaji kujua kwamba wanatengeneza mbegu bora ya ng’ombe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JIKE BORA LA BORAN&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8C4cAUvGI/AAAAAAAAAmU/4VXNXaDqyEA/s1600-h/jike.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 281px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8C4cAUvGI/AAAAAAAAAmU/4VXNXaDqyEA/s400/jike.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399537646853995618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waalamu wa kupandisha &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(breeders)&lt;/span&gt; waliamua kuangalia vinasaba bora zaidi na kumfanya Boran awe wa kisasa zaidi na kuweza kuhimili hali ya Afrika mashariki huku uzalishaji wa maziwa na nyama ukiongezeka zaidi kuliko ule wa ng’ombe wetu wa kienyeji, Boran wa kisasa ana damu za aina tatu katika uwiano ufuatao N’gombe wa ulaya wasio na nundu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(european bos taurus) 24%&lt;/span&gt; Ng’ombe wa Afrika mashariki wenye nundu wajulikanao kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Zebu (bos indicus)64%&lt;/span&gt; na ngombe wafrika wasio na nundu &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(african bos taurus ) 12%&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8Ch69f2bI/AAAAAAAAAmM/n0_1B07lrWY/s1600-h/dume1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 270px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8Ch69f2bI/AAAAAAAAAmM/n0_1B07lrWY/s400/dume1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399537260026649010" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SIFA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;-Ni mkubwa kuliko ng’ombe wa kienyeji&lt;br /&gt;-Ana kiwele cha wastani na chuchu ni kubwa  kidogo &lt;br /&gt;-Anazaa ndama wa wastani &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(kilo 25 – 28)&lt;/span&gt; kwa hiyo hakuna matatizo wakati wa kujifungua lakini watoto hukua haraka na ni mara chache sana ndama kufariki&lt;br /&gt;-Anahimili hali ya mazingira ya Afrika kuliko ng’ombe wa kisasa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(joto na magonjwa)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;-Ngombe jike anaweza kuzaa bila matatizo mpaka akiwa na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miaka 15&lt;/span&gt;, madume yanauwezo wa kuzalisha mpaka &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;miaka 16&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;-Majike hubalehe baada ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;siku 385&lt;/span&gt; (mwaka na siku chache)&lt;br /&gt;-Ni wapole na wenye nguvu kwa hiyo hufaa kwa shughuli za kulima na kukokota mikokoteni &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(maksai)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;-Anaongezeka uzito haraka hata kama anakula majani makavu, majike yanayo nyonyesha hupungua uzito kidogo sana kipindi cha kunyonyesha&lt;br /&gt;-Wanakula kwa mshikamano na hawatawanyiki wakiwa machungoni kiasi kwamba inakuwa vigumu kumuiba mmoja au kumtenganisha na wenzake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BORAN WAKICHUNGWA KATIKA KUNDI LENYE MSHIKAMANO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8CUmHvEuI/AAAAAAAAAmE/L-DPp-t6y8Q/s1600-h/kundi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8CUmHvEuI/AAAAAAAAAmE/L-DPp-t6y8Q/s400/kundi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399537031094145762" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wafugaji wengine wamejaribu kuchanganya mbegu hii na mbegu nyingine za kisasa kutoka bara la ulaya ili kuongeza uzalishaji wa maziwa au nyama kama wanavyoonekana hapo chini kwenye picha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BORAN NA FRIESIAN (maziwa)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8CHh1zMwI/AAAAAAAAAl8/1atqLmIUBVc/s1600-h/friesian.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 280px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8CHh1zMwI/AAAAAAAAAl8/1atqLmIUBVc/s400/friesian.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399536806606877442" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BORAN NA BEEFMASTER (nyama)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8BmBJB-3I/AAAAAAAAAl0/FaRTaLeUQVs/s1600-h/beefmaster.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8BmBJB-3I/AAAAAAAAAl0/FaRTaLeUQVs/s400/beefmaster.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399536230893484914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BORAN NA JERSEY (maziwa)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8BcvrEtbI/AAAAAAAAAls/_tsMo9N6cTg/s1600-h/jersey.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 281px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8BcvrEtbI/AAAAAAAAAls/_tsMo9N6cTg/s400/jersey.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399536071585609138" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;BORAN NA DRANKENSBERGER (nyama na maziwa)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8BRW4V7VI/AAAAAAAAAlk/9bUyGCLjykg/s1600-h/Drankensberger.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8BRW4V7VI/AAAAAAAAAlk/9bUyGCLjykg/s400/Drankensberger.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5399535875951816018" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-1531082568930788303?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/1531082568930788303/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=1531082568930788303&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1531082568930788303'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1531082568930788303'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/11/boran-mbegu-bora-ya-ngombe-wenye-asili.html' title='BORAN - MBEGU BORA YA NG&apos;OMBE WENYE ASILI YA AFRIKA MASHARIKI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Su8DKWXy7uI/AAAAAAAAAmc/4URX_SfzX60/s72-c/dume.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2388278023468314898</id><published>2009-10-30T19:41:00.001+03:00</published><updated>2009-10-30T19:43:30.387+03:00</updated><title type='text'>MABUA YA MAHINDI, NG'OMBE NA SAMADI-KUNA FAIDA HAPA</title><content type='html'>Unafahamu ni kiasi gani cha mabua kinabaki baada ya kuvuna shamba lako la mahindi? Jaribu kutazama vizuri shamba lako kwa macho na hutaamini !!!!!!!!!!! karbu nusu ya kile ulichovuna kimebaki shambani kama mabua yaani ile mbolea ya samadi uliyoweka bado iko shambani katika mfumo mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabua yanaweza kulishwa tena wakati wa ukame yakikatwa katwa na kuchamnganywa na molasses, ekari moja ya mabua intosha kumlisha ng’ombe mmoja mwenye kilo 500 kwa miezi miwili. Hili ni zoezi lenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza faida lakini linahitaji umakini kidogo, ninashauri mara tu baada ya kumaliza kuvuna mabua haya nayo yavunwe na kuhifadhiwa sehemu yenye kivuli, na hao utaweza kumlisha mnyama wako mabua yakiwa na 65% chakula chakula mmeng’enyo (digestable food) huku kukiwa na protini kiasi cha 7%&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SusXmjxJYQI/AAAAAAAAAkk/pLdNudeXr6Y/s1600-h/untitled.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SusXmjxJYQI/AAAAAAAAAkk/pLdNudeXr6Y/s400/untitled.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5398434529537515778" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hunasehemu ya kuhifadhi mabua haya unaweza kuwachungia humo humo shambani ng’ombe wako ili wale wenyewe ila utahitajika kuwawekea mawe yenye madini ili walambe, kwa kuwachungia shambani ng’ombe wako utapata faida zifuatazo, kwanza hutahitaji kusafirisha mbolea ya samadi  na kuirudisha shambani, pia nombe wanapo kanyaga shamba husaidia kupunguza mmong’onyoko wa udongo. Kama msimu uliopita ambao ndio mahindi yalilimwa kulikuwa na upungufu wa mvua inabidi uwe makini maana mabua yatakuwa na kiwango kikubwa cha madini ya nitrate ambayo yana madhara hasa kwa wanyama wanaokua wenye mimba au kunyonyesha, ili kuepuka hili unaweza kuwalisha wanyama wako chakula kingine kwanza na kumalizia na mabua au kama umeyakata basi changanya na majani mengine kasha ndio uwalishe. KUMBUKA ng’ombe mwenye kilo 500 anaweza kuzalisha molea hadi kilo 12 kwa siku je hii si faida kubwa?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2388278023468314898?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2388278023468314898/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2388278023468314898&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2388278023468314898'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2388278023468314898'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/10/mabua-ya-mahindi-ngombe-na-samadi-kuna.html' title='MABUA YA MAHINDI, NG&apos;OMBE NA SAMADI-KUNA FAIDA HAPA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SusXmjxJYQI/AAAAAAAAAkk/pLdNudeXr6Y/s72-c/untitled.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-8004162080107115638</id><published>2009-10-14T20:01:00.004+03:00</published><updated>2009-10-14T21:19:28.793+03:00</updated><title type='text'>TARATIBU NA MASHARTI YA MIKOPO YA KUNUNUA TREKTA JIPYA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StYVz0wjknI/AAAAAAAAAkc/kdR-t7Gmxms/s1600-h/marsey.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 299px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StYVz0wjknI/AAAAAAAAAkc/kdR-t7Gmxms/s400/marsey.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5392521583902560882" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;1.&lt;/span&gt; Mwombaji atajaza fomu maalum ya maombi inayopatikana katika Ofisi za kilimo za Halmashauri za Wilaya na Makao makuu ya Mfuko wa Pembejeo, jijini Dar-es-salaam na katika tovuti ya wizara ya kilimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2.&lt;/span&gt; Fomu za maombi zilizojazwa na kuambatanishwa na vielelezo vinavyohitajika zitapitishwa/kuidhinishwa na Afisa Kilimo wa Maendeleo ya Mifugo wa Wilaya na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya husika na baadaye kutumwa mapema kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3.&lt;/span&gt; Mikopo ya kununua matrekta inatolewa na Mfuko wa Pembejeo, baadhi ya benki na taasisi za fedha na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SCCULT (T)&lt;/span&gt; Ltd. kwa niaba ya Mfuko, mwombaji sharti atimize yafuatayo:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(A)&lt;/span&gt; Awe na dhamana yenye hati miliki isiyohamishika iliyoandikishwa kwa jina la  mwombaji.&lt;br /&gt;   &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(B)&lt;/span&gt; Awe na shamba binafsi lisilopungua hekta 50 na awe tayari kutoa huduma ya kuwalimia wakulima wengine&lt;br /&gt;   &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(C)&lt;/span&gt;Awe tayari kutekeleza masharti yote ya Mfuko wa Pembejeo au taasisi ya fedha na SCCULT yanayohusu mkopo wa ununuzi wa trekta jipya.&lt;br /&gt;   &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(D)&lt;/span&gt;Awe tayari kulipa asilimia moja &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(1%)&lt;/span&gt; ya mkopo kama gharama za nyaraka za mkopo na kusajili trekta kwa pamoja kwa jina lake na Mfuko&lt;br /&gt;   &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(E)&lt;/span&gt; Riba inayotozwa ni asilimia nane &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(8%)&lt;/span&gt; na marejesho hufanyika kwa muda wa miaka mitatu kila baada ya miezi mitatu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StYVdhLTE2I/AAAAAAAAAkU/4UJZ-AXTg24/s1600-h/deer.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 281px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StYVdhLTE2I/AAAAAAAAAkU/4UJZ-AXTg24/s400/deer.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5392521200688894818" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-8004162080107115638?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/8004162080107115638/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=8004162080107115638&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8004162080107115638'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8004162080107115638'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/10/taratibu-na-masharti-ya-mikopo-ya.html' title='TARATIBU NA MASHARTI YA MIKOPO YA KUNUNUA TREKTA JIPYA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StYVz0wjknI/AAAAAAAAAkc/kdR-t7Gmxms/s72-c/marsey.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-5551500101686075693</id><published>2009-10-10T09:34:00.005+03:00</published><updated>2009-10-10T09:42:09.691+03:00</updated><title type='text'>KUKATA PEMBE NA KUZUIA PEMBE KUOTA</title><content type='html'>Mnyama asiye na pembe hasa ng’ombe hupunguza uwezekano wa wanyama kuumizana na hata kuwadhuru binadamu, wanyama wadogo kama miezi miwili hadi mitatu ni vizuri wakachomwa ili kuzuia pembe kuota &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(disbudding)&lt;/span&gt; lakini kama pembe zimetokeza hamna jinsi ila kuzikata kwa kutumia msumeno au waya maalum &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(phatetomy wire)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;DISBUDDING IRONS&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StArc8aakoI/AAAAAAAAAjY/bwRjBRWa3XQ/s1600-h/dis.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StArc8aakoI/AAAAAAAAAjY/bwRjBRWa3XQ/s400/dis.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5390856530215735938" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zoezi la kuzuia pembe kuota hufanyika kwa kutumia vyuma maalum &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(disbudding iron)&lt;/span&gt; ambavyo hupashwa moto na kuwa vyekundu, ndama huandaliwa kwa kulazwa chini na kisha kupunguzwa manyoya sehemu itakayochomwa ambapo ni pale pembe zinakoota, unaweza kuitambua sehemu hii kwa kupapasa na utaona kama pembe ndogo ndani ya ngozi. Sehemu husika isafishwe kwa spirit au eusol kabla ya zoezi kuanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StAsC11n1zI/AAAAAAAAAjo/SO0-R0oZpHA/s1600-h/3.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StAsC11n1zI/AAAAAAAAAjo/SO0-R0oZpHA/s400/3.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5390857181285832498" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtaalamu wa mifugo ndiye atakaye fanya zoezi hili kwa kufuata kanuni za kitaalam, kabla ya kuanza zoezi ni muhimu mnyama kupigwa sindano ya ganzi, kisha sehemu husika huchomwa na chuma cha moto, na  chuma kuzungushwa kila upande na mwisho kama anazibua ataondoa kile kipande kinachoota na kumalizia kwa kukausha sehemu iliyobaki kwa kutumia chuma kile kile, baada ya hapo dawa za kupulizia za vidonda, &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;iodine tincture&lt;/span&gt; au dawa za kufukuza wadudu hupakwa sehemu husika na mnyama huachiwa huru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StAsO6sWSNI/AAAAAAAAAjw/I98h6XsEpOg/s1600-h/5.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StAsO6sWSNI/AAAAAAAAAjw/I98h6XsEpOg/s400/5.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5390857388747540690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu ukataji wa pembe ambayo imeshaota, baada ya mnyama kufungwa na kulazwa chini huchomwa ganzi na ukataji huanza. Kama utatumia msumeno lazima damu nyingi itatoka, zuia damu hii kwa kuunguza sehemu ndogo ya pembe iliyobaki kwa kuichoma na disbudding iron au chuma chochote cha moto. Inashauriwa kutumia &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;phatetomy wire&lt;/span&gt; kwa sababu wakati unakata pembe waya huu huunguza pembe na kufanya damu isitoke kabisa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StAryFsQh-I/AAAAAAAAAjg/-akyo89Ne5s/s1600-h/mimi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 301px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StAryFsQh-I/AAAAAAAAAjg/-akyo89Ne5s/s400/mimi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5390856893483747298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna baadhi ya aina za ngombe wa kisasa hazina pembe kabisa mfano &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hereford&lt;/span&gt; na mbegu kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Friesian&lt;/span&gt; baadhi yao huwa hawana pembe, kwa mbegu za kienyeji kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;zebu (SHZ&lt;/span&gt;)huwa na pembe fupi fupi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-5551500101686075693?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/5551500101686075693/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=5551500101686075693&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5551500101686075693'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/5551500101686075693'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/10/kukata-pembe-na-kuzuia-pembe-kuota.html' title='KUKATA PEMBE NA KUZUIA PEMBE KUOTA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/StArc8aakoI/AAAAAAAAAjY/bwRjBRWa3XQ/s72-c/dis.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2651776450584278358</id><published>2009-10-03T17:39:00.008+03:00</published><updated>2009-10-03T17:56:53.882+03:00</updated><title type='text'>KUKU WA KIENYEJI - UFUGAJI BORA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Ssdj3Kf5B7I/AAAAAAAAAjI/B8KW6zBsz_A/s1600-h/kuku2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Ssdj3Kf5B7I/AAAAAAAAAjI/B8KW6zBsz_A/s400/kuku2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5388385278534158258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuku hutoka kwenye kizazi kinachojulikana kitaalam kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;gallus gallus&lt;/span&gt;, Ufugaji huu nitaoelezea ni wa kienyeji  kabisa ila huu umeboreshwa kidogo ili kuleta faida zaidi, kwanza itabidi uwe na eneo lakutosha kama ekari mbili &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(70m *140m)&lt;/span&gt; banda la kuku liwe linalohamishika na liwe limejengwa juu juu, hii husaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa kwa sababu kinyesi cha kuku kikilundikana huweza kubeba vimelea vya magonjwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BANDA BORA LINALOHAMISHIKA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsdjHokxoqI/AAAAAAAAAiw/qppSuUCBl5k/s1600-h/banda.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsdjHokxoqI/AAAAAAAAAiw/qppSuUCBl5k/s400/banda.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5388384461973988002" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Banda liwekewe viota vya kutagia na unaweza kuwafundisha kuku kuvitumia mapema kabla ya kuanza kutaga kwa kuchelewa kuwafungulia asubuhi. Kwa kawaida kuku hupenda kulala bandani wakiwa juu juu kwa hiyo uweke baadhi ya fito au mbao nyembamba zikining’inia pia kuwe na vyombo vya chakula nje ya banda&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakikisha banda halivuji na wanyama wakali hawaingii lakini liwe na hewa ya kutosha na lisiwe na joto wala baridi kali, ni vizuri ukiliweka chini ya miti&lt;br /&gt;Ili kuboresha ufugaji huu inashauriwa kutumia majogoo ya kisasa ambayo yana patika kwa mazalishaji wa kuku kote nchini, pia unaweza kutumia majogoo ya kuku aina ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUCHI&lt;/span&gt; wanaopatikana zaidi miko ya Singida na Shinyanga. Majogoo ya kisasa huweza kuhudumia wastani wa majike &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;20-25&lt;/span&gt; na kuchi huweza kuhudumia majike&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; 10 -15&lt;/span&gt; kwa sababu ni wavivu kidogo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAJOGOO YA KISASA INA YA CORNISH&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsdjdsS_ZZI/AAAAAAAAAi4/zWlEDqJ4IMM/s1600-h/cornish.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsdjdsS_ZZI/AAAAAAAAAi4/zWlEDqJ4IMM/s400/cornish.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5388384840930256274" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Andaa na banda la kukuziA watoto ambalo litawakinga na wanyama wakali na mwewe, banda linakuwa wazi juu hukulikizuiwa na waya kwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;75%&lt;/span&gt; na &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;25%&lt;/span&gt; iwe imezibwa kwa mbao ili kuwapatia kivuli wanapohitaji, banda hili lina hitaji kuhamishwa hamisha angalau mara 5 kwa siku kutika mahali pamoja hadi pengine, hakikisha banda la watoto lina maji na chakula muda wote, pia kumbuka kuwawekea mabaki ya mboga za majani kama mchicha, kunde, kisamvu n.k&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsdmGpKedfI/AAAAAAAAAjQ/L1R4CK6WTXE/s1600-h/BANDA+LA+WATOTO1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 290px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsdmGpKedfI/AAAAAAAAAjQ/L1R4CK6WTXE/s400/BANDA+LA+WATOTO1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5388387743487129074" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;FAIDA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(A)&lt;/span&gt; Mfumo hauhitaji chakula maalum kama kuku wa ndani&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(B)&lt;/span&gt; Wadudu kama utitiri na virobot hushambulia kuku mara chache&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(C)&lt;/span&gt; Kuku hupata muda wa mazoezi kwa kutembea tembea&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(D)&lt;/span&gt; Gharama za uendeshaji ni kidogo&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(E)&lt;/span&gt; Hautumii muda mwingi &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(F)&lt;/span&gt; Kiasi cha uchafu ni kidogo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HASARA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt; &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(A)&lt;/span&gt;Vifaranga huweza kuliwa na mwewe au wanyama&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(B)&lt;/span&gt; Mayai huweza kupotea yakitagwa nje ya banda&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(C)&lt;/span&gt;Kuku huweza kula mbegu zilizopandwa mashambani&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(D)&lt;/span&gt;Vifo vya kuku ni vingi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHANJO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kuku wapewe chanjo ya kideri/mdondo kila baada ya miezi mitatu chanjo hii hupatikana nchini kote ukifika dukani ulizia chanjo ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;newcastle&lt;/span&gt;, utapata maelekezo ya jinsi ya kuwawekea kuku kwenye maji ya kunywa, chanjo hii wapewe kuku wazima tu na wagonjwa watengwe mbali&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MINYOO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kuku hunyweshwa dawa ya minyoo kila baada ya miezi mitatu, kuna dawa kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;piperazine&lt;/span&gt; na nyinginezo ambazo huwekwa kwenye maji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHAWA NA UTITIRI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Unaweza kutumia dawa za kuogeshea mifugo kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ecotix&lt;/span&gt; au dawa ya unga unga ya kunyunyuzia kama &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;akheri powder&lt;/span&gt;, dawa ya akheri unaweza kuimwaga bandani  na kisha kumnyunyuzia kuku mwilini ukiwa umemning’iniza kichwa chini miguu juu ili mayoya yaacha nafasi ya dawa kuingia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAGONJWA YA MAPAFU&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kuna magonjwa mengi yanayoshambulia mfumo wa hewa, dawa ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;tylosin&lt;/span&gt; inauwezo mkubwa wa kupambana na magonjwa karibu yote, wape dawa hii mara tu unapoanza kuona dalili za mafua&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Ssdjs_ZHVeI/AAAAAAAAAjA/WHMvpQjdWvA/s1600-h/kuku.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Ssdjs_ZHVeI/AAAAAAAAAjA/WHMvpQjdWvA/s400/kuku.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5388385103754253794" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2651776450584278358?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2651776450584278358/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2651776450584278358&amp;isPopup=true' title='10 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2651776450584278358'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2651776450584278358'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/10/kuku-wa-kienyeji-ufugaji-bora.html' title='KUKU WA KIENYEJI - UFUGAJI BORA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Ssdj3Kf5B7I/AAAAAAAAAjI/B8KW6zBsz_A/s72-c/kuku2.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>10</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2407065761337679352</id><published>2009-09-29T18:30:00.005+03:00</published><updated>2009-09-29T19:05:11.409+03:00</updated><title type='text'>SEHEMU YA 4 - MATUNZO YA WATOTO WA NGURUWE</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIugsgZ59I/AAAAAAAAAig/D6yv_C40TtY/s1600-h/piglets.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIugsgZ59I/AAAAAAAAAig/D6yv_C40TtY/s400/piglets.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5386919243526301650" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida hunyonya kwa wiki 5 -8, na baada ya hapo hutengwa na mama yao na kuanza kupewa chakula chenye protini 30% kwa muda wa wiki 6 za mwanzo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUKATA MENO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mara baada ya kuzaliwa watoto wakatwe meno kwa kutumia mkasi mkubwa au kifaa cha kukatia waya (wire cutter) umuhimu wa zoezi hili ni kwa sababu nguruwe huzaliwa na meno na mara wanapoanza kunyonya huumiza chuchu za mama yao na kumsababishia ugonjwa wa chuchu (mastitis)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIuRgrm_OI/AAAAAAAAAiY/JnI_u6VuRhg/s1600-h/nyonya.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIuRgrm_OI/AAAAAAAAAiY/JnI_u6VuRhg/s400/nyonya.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5386918982654033122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUHASI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Madume ambayo yatakuzwa kwa ajili ya nyama ni vizuri yakahasiwa, hii husaidia ukuaji wa haraka na pia huondoa harufu ya balehe, Zoezi hili lifanyike wakati wakiwa na wiki 3 inapofika wiki ya 5 zoezi huanza kuwa gumu kwa sababu watoto wanakuwa wakubwa na litahitaji sindano za ganzi, zoezi hili linahitaji mtaalamu wa mifugo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MINYOO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mzazi anapokaribia kujifungua wiki ya mwisho achomwe sindano ya kuondoa minyoo na magonjwa ya ngozi ijulikanayo kama IVOMEC SUPER au IVERMECTIN zinazopatikana kote nchini, dawa hii husaidia kuwalinda watoto na minyoo hadi wanapoacha kunyonya ndio na wao wapigwe sindano hii ambayo pia itasaidia kuua minyoo ya mapafu, minyoo ya macho, viroboto na kuondoa ukurutu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIuBLSHccI/AAAAAAAAAiQ/ZneW9S2ITF4/s1600-h/vitoto.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 290px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIuBLSHccI/AAAAAAAAAiQ/ZneW9S2ITF4/s400/vitoto.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5386918702032056770" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHAKULA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Baada ya wili chache vitoto vitaanza kula chakula kidogo kidogo kwa kuanzia na kile anachopewa mzazi, hakikisha mzazi anapewa chakula kingi na chakutosha kwa sababu atakuwa anakula yeye na watoto wake&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2407065761337679352?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2407065761337679352/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2407065761337679352&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2407065761337679352'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2407065761337679352'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/09/sehemu-ya-4-matunzo-ya-watoto-wa.html' title='SEHEMU YA 4 - MATUNZO YA WATOTO WA NGURUWE'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIugsgZ59I/AAAAAAAAAig/D6yv_C40TtY/s72-c/piglets.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-8590633145170189525</id><published>2009-09-29T17:36:00.006+03:00</published><updated>2009-09-29T18:11:38.673+03:00</updated><title type='text'>KITIMOTO SEHEMU YA 3 - NGURUWE JIKE (MZAZI)</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UCHAGUZI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Yawe na chuchu zisizopungua &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;18 &lt;/span&gt;na chuchu ziwe nene na ndefu, chuchu fupi na ndogo huleta matatizo wakati wa kunyonya , kumbuka mtoto wa nguruwe chuchu  atakayo nyonya siku ya kwanza ndiyo hiyo hiyo atakayonyinya mpaka atakapoacha kunyonya&lt;br /&gt;Awe na miguu  ya wastani yenye nguvu na isiwe na kasoro kama matege au kukaa upande na kucheche mea, hii humsaidia kuhimili madume makubwa&lt;br /&gt;Uke uwe na ukubwa wa kutosha na umbo la kawaida, pia upimwe na mtaalamu kwa kuingiza vidole na kuangalia kama wakati wa kuvitoa vina kwama kwama, hii huwa dalili ya majike dume (hermaphrodites)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIis5Wo3yI/AAAAAAAAAiI/e7xuAu-E0HY/s1600-h/majike.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 304px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIis5Wo3yI/AAAAAAAAAiI/e7xuAu-E0HY/s400/majike.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5386906258993897250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHAKULA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Maji yalishwe chakula cha kunenepesha mpaka yakifikisha uzito wa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;kilo 80&lt;/span&gt;, baada ya hapa yapewe chakula maalum cha wazazi ambacho kitasaidia wasinenepeane na kuwa na mafuta mengi kwenye njia ya uzazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BANDA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Majike hukaa moja moja au mengi kwenye banda moja muda wote &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(kipimo ni 2.5m *1.5m )&lt;/span&gt; kwa kila nguruwe kasoro tu yanapokaribia kuzaa ndio huhamishiwa kwenye banda la kuzalia &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NGURUWE AKIWA KWENYE BANDA LA KUZALIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIiRRVuXDI/AAAAAAAAAiA/Hr03uJKva-o/s1600-h/mzazi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIiRRVuXDI/AAAAAAAAAiA/Hr03uJKva-o/s400/mzazi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5386905784396176434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UPANDISHAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Majike yapandishwe yakifikisha  umri wa  wiki 28 na uzito wa kati ya kilo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;120 – 140&lt;/span&gt;, nguruwe aachwe mpaka aingie joto kwa mara ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3&lt;/span&gt; ndio apelekwe kwa dume ambapo  kila baadda ya siku 21 nguruwe huingia kwenye joto&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUINGIA KWENYE JOTO&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Dalili za joto ni guruwe kupiga kelele hovyona kuhangaika lakini ukimkandamiza kiunoni na mikono yako hutulia, uke huwa na rangi nyekundu na hutoa ute mweupe. Baada ya dalili za mwanzo nguruwe huwa tayari kupandwa baada ya masaa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;38 – 42&lt;/span&gt; na hudumu kwa masaa  kama manne &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(4)&lt;/span&gt; inashauriwa ukiona tu dalili za mwanzo umpeleke jike kwenye banda la dume&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MIMBA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mimba huchukua siku 114 mpaka watoto kuzaliwa &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(miezi 3 wiki 3 siku 3)&lt;/span&gt; kipindi cha ujauzito nguruwe jike hula sana mpaka kiasi cha kilo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;5 -7&lt;/span&gt; kwa siku apewe mlo kamili lakini kuwe na umakini asinenepe sana na ikifika wiki ya mwisho ahamishiwe kwenye banda la kuzalia (furrowing pen)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BANDA LA KUZALIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIhizAYsLI/AAAAAAAAAh4/1o7uxMXEPBM/s1600-h/123.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 283px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIhizAYsLI/AAAAAAAAAh4/1o7uxMXEPBM/s400/123.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5386904985979629746" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Liwe na ukubwa usiopungua &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3m * 2m,&lt;/span&gt; liwe na sehemu ya watoto ambayo mama mtu hawezi kufika watoto waingie huko kwa kupenya, hii husaidia nguruwe asiweze kuwalalia watoto wake. Sehemu ya watoto iwe na chanzo cha joto kama vile jiko, hii husaidia kufundisha watoto wakimbilie kule muda wote&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-8590633145170189525?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/8590633145170189525/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=8590633145170189525&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8590633145170189525'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/8590633145170189525'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/09/kitimoto-sehemu-ya-3-nguruwe-jike-mzazi.html' title='KITIMOTO SEHEMU YA 3 - NGURUWE JIKE (MZAZI)'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SsIis5Wo3yI/AAAAAAAAAiI/e7xuAu-E0HY/s72-c/majike.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-1673329946915177903</id><published>2009-09-25T19:42:00.003+03:00</published><updated>2009-09-25T19:52:29.153+03:00</updated><title type='text'>UFUGAJI WA NGURUWE - SEHEMU YA PILI</title><content type='html'>Sehemu ya pili ya maelezo kuhusu ufugaji wa nguruwe tuaangalia nguruwe dume ambaye ndiye atakuwa natumika kwa ajili ya kupandishia majike kwenye mradi wa nguruwe, wengine huwa wanatumia madume ya kukodi, lakini kama utakuwa na majike zaidi ya 10 utahitaji kuwa na dume kwenye mradi wako, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UCHAGUZI WA DUME&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Dume litoke kwenye kizazi ambacho hakina historia ya magonjwa na wana historia ya kuzaa watoto wengi ,wenye afya bora, na ukuaji mzuri, angalia kizazi/ukoo wake uwe na chuchu nyingi zisizopungua 14 zikiwa 18 ni nzuri zaidi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BANDA LA DUME&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Liwe na ukubwa usiopungua &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;3 m * 2.5m&lt;/span&gt; geti liwe lachuma na linafunguka kuelekea kwa ndani na nje pande zote mbili, siku zote majike ya pelekwe kwa dume na si kinyume chake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CHAKULA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Dume alishwe  kilo &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;2 – 3 &lt;/span&gt;za mlo kamili wenye kiasi cha wastani cha protini, epuka kumlisha mashudu  mengi kwa sababu yana kuwa na kemikali inayojulikana kama omega 3 fatty acids ambayo hupunguza kiasi cha manii kwa nguruwe, tumia mimea kama lukina na desmodiam  au dagaa kama chanzo cha protini&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;UPANDISHAJI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;dume aina ya saddle back akimpanda jike aina ya landrace&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Srz0vbFSU6I/AAAAAAAAAhw/AAlDtJXnmeI/s1600-h/mating.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 282px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Srz0vbFSU6I/AAAAAAAAAhw/AAlDtJXnmeI/s400/mating.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5385448349989229474" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madume huanza kupanda yakifikisha umri wa miezi &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;12 – 14&lt;/span&gt; hupanda  jike moja mara 2 kwa siku na hupanda majike &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;6&lt;/span&gt; kwa kila siku &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;8&lt;/span&gt; na majike yasifululize kwa zaidi ya siku mbili zinazofuatana, majike yapelekwe asubuhi mapema kabla ya dume kula chakula&lt;br /&gt;Dume linaweza kuendelea kutumika kwa upandishaji mpaka likifikisha miaka&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; 3 – 4&lt;/span&gt; ndipo unaweza kuanza kutumia dume lingine, uzoefu unaonyesha nguruwe chotara huwa na uwezo wa kupanda mara nyingi na kwa muda mrefu zaidi. Dume moja huweza kuhudumia majike &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;20&lt;/span&gt; lakini kwa matokeo mazuri  tumia dume moja kwa kila majike &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;15 – 18&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-1673329946915177903?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/1673329946915177903/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=1673329946915177903&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1673329946915177903'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/1673329946915177903'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/09/ufugaji-wa-nguruwe-sehemu-ya-pili.html' title='UFUGAJI WA NGURUWE - SEHEMU YA PILI'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/Srz0vbFSU6I/AAAAAAAAAhw/AAlDtJXnmeI/s72-c/mating.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-2936117178493138905</id><published>2009-09-25T19:31:00.004+03:00</published><updated>2009-09-25T19:41:47.040+03:00</updated><title type='text'>UFUGAJI WA NGURUWE - SEHEMU YA KWANZA</title><content type='html'>Kutokana na maombi ya &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Bw John Mwaipopo&lt;/span&gt; kuhusu ufugaji wa Nguruwe na kuku, leo nimeamua kuanza kumuelezea njia bora na sahihi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;AINA ZA NGURUWE (baadhi)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;LARGE WHITE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SrzyigmxOcI/AAAAAAAAAho/Iu6CODihQGc/s1600-h/large+white.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 281px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SrzyigmxOcI/AAAAAAAAAho/Iu6CODihQGc/s400/large+white.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5385445929110288834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Hii ndiyo aina kubwa zaidi ya nguruwe wa kufugwa nyumbani&lt;br /&gt;-Kama jina lake lilivyo ana rangi nyeupe mwili mzima&lt;br /&gt;-masikio yake yamesimama wima&lt;br /&gt;-Ana sura iliyobonyea kwa ndani &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;(dish faced)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;LANDRACE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SrzyX_eQY4I/AAAAAAAAAhg/fncdZ8um5KM/s1600-h/landrace.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 285px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SrzyX_eQY4I/AAAAAAAAAhg/fncdZ8um5KM/s400/landrace.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5385445748417520514" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Weupe mwili mzima&lt;br /&gt;-masikio yamelala kabisa&lt;br /&gt;-Wana ukubwa wa wastani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SADDLEBACK&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SrzyO42xGvI/AAAAAAAAAhY/eXMaXv7BjVI/s1600-h/saddleback.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 282px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SrzyO42xGvI/AAAAAAAAAhY/eXMaXv7BjVI/s400/saddleback.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5385445592022457074" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;-Ni wakubwa&lt;br /&gt;-Wana rangi nyeusi na mstari mweupe kuzunguka shingo na miguu ya mblele&lt;br /&gt;-Masikio yamelala kiasi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/1671225836300997226-2936117178493138905?l=mitiki.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mitiki.blogspot.com/feeds/2936117178493138905/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=1671225836300997226&amp;postID=2936117178493138905&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2936117178493138905'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/1671225836300997226/posts/default/2936117178493138905'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mitiki.blogspot.com/2009/09/ufugaji-wa-nguruwe-sehemu-ya-kwanza.html' title='UFUGAJI WA NGURUWE - SEHEMU YA KWANZA'/><author><name>Bennet</name><uri>http://www.blogger.com/profile/08960029434137064419</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='23' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_vBzObC3V9bI/SDVD61qApdI/AAAAAAAAAEc/D_5nGHMsEsw/S220/me.bmp'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SrzyigmxOcI/AAAAAAAAAho/Iu6CODihQGc/s72-c/large+white.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-603674214063330606</id><published>2009-09-22T10:53:00.002+03:00</published><updated>2009-09-22T11:00:05.476+03:00</updated><title type='text'>KILIMO KWANZA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;  AZIMIO LA KILIMO KWANZA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_vBzObC3V9bI/SriDr35xW-I/AAAAAAAAAhQ/4RGv48PxP1g/s1600-h/prezidaa.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10p
