tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post5554802442878468334..comments2024-02-22T11:42:50.824+03:00Comments on MITIKI -KILIMO KWANZA: BIO -GAS / HEWA VUNDEBennethttp://www.blogger.com/profile/08960029434137064419noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-82348757514715985882010-08-09T18:31:01.017+03:002010-08-09T18:31:01.017+03:00Shukrani kwa kunifungua macho.
Swali dogo,
Wanahit...Shukrani kwa kunifungua macho.<br />Swali dogo,<br />Wanahitajika ngombe wangapi ili kupata gesi ya kukidhi mahitaji ya familia ya watu wanne?<br />Natanguliza shukrani.<br /><br />PKaberwaAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-16322230907159856472010-05-30T15:49:41.968+03:002010-05-30T15:49:41.968+03:00Kaka Bennet, nashukuru kwa elimu hii nzuri.
Kwa ...Kaka Bennet, nashukuru kwa elimu hii nzuri. <br /><br />Kwa wastani, mfumo huu mzima unaweza kugharimu kiasi gani cha fedha? Bila shaka, wataalamu wanatakiwa, katika eneo langu nitawezaje kuwapata wataalamu?<br />Nashukuru ndugu Bennet.Albert Kissimahttps://www.blogger.com/profile/12931488222535021826noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-1671225836300997226.post-25656004333744130372010-05-30T09:57:34.467+03:002010-05-30T09:57:34.467+03:00We jamaa ni noma maana naona umekamilika kila idar...We jamaa ni noma maana naona umekamilika kila idara ya mkulima, hongera sanaAnonymousnoreply@blogger.com