KURASA

Thursday, December 22, 2016

SOKO LA SUNGURA

Watu wengi wangependa kuingia kwenye ufugaji wa sungura kwa sababu ni rahisi kuwafuga na hawahitaji muda mwingi wa kuwaangalia na zile kazi maalum zinaweza kufanyika siku za mwisho wa wiki. Lakini tatizo limekuwa soko la uhakika mfano leo unataka kuwauza au kupeleka nyama nani ananunua?


Kama una soko la uhakika la Sungura weka contact zako humu kila mtu ajue namna ya kukupata?


4 comments:

farumedia said...

0757441463

Unknown said...

Habari za jioni ndugu,jamaa na rafiki. Naitwa Mr Eligius Ndjovu Mimi ndoo nimeanza kufuga sungura toka mwezi wa 10 mwaka Jana.Nilianza na sungura 4 na sasa wako jumla 15. Ikimaanisha wakubwa 4 na wadogo 11.Shida ni wapi nitaweza kupata soko la uhakika pale sungura watapokuwa wengi. Mimi nipo Dar es Salaam.Napatikana kwenye number 0652416926.Naomba msaada wako

Pendael said...

Nimefunga sungura sasa ninao wadogo wa miezi 3 je soko nitapataje

Pendael said...

Namba yangu ni 0620308613 nipo kivule Mwembeni