KURASA

Wednesday, April 6, 2011

SALAMU TOKA KWA MELTON KALINGA - MOROGORO

Wanachuo toka SUA wakipata maelezo toka kwa Bw Kalinga walipotembelea kituo cha utafiti na uzalishaji samaki Kingolwira Morogoro



Vifaranga wa sato wakiwa tayari kwa kupandikizwa kwenye bwawa



Uvunaji wa sato toka kwenye matanki ya kujengea na saruji eneo la Kingolwira


Sato waliokwisha vuliwa tayari kwa kuwa kitoweo


Kambale jike mwenye mayai tayari kwa ajili ya kufanya upandishaji na mbegu za dume kwa njia bandia ambao hufanyika nje ya mwili wa samaki hawa kwa kutumia mtambo maalum (rejea makala zangu)


Ndugu Melton Kalinga ni mtaalam wa ufugaji wa samaki toka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, anapatikana Morogoro Kwa mawasiliano zaidi mpigie kupitia 0757891761 au 0787596798 ili kupata maelezo kama ya ufugaji bora wa samaki, namna ya kupata vifaranga vya samaki anavyo zalisha, jinsi ya kulisha samaki wako, uchimbaji na ujenzi wa mabwawa n.k