KURASA

Monday, April 2, 2012

HALI YA KILIMO ILIVYO SASA MKOANI SINGIDA

Hawa ni wale ambao walifuata ushauri wa kitaalam ikiwamo aina ya mbegu, utabiri wa kiasi cha mvua inayotegemewa kunyesha, muda wa upandaji na matumizi sahihi ya mbolea