KURASA

Friday, July 20, 2012

KUKU WA KIENYEJI WANAUZWA


Kuku wa kienyeji wenye uzito kati ya kilo moja na nusu na kuendelea wanauzwa bei ni kuanzia shilingi elfu kumi mpaka elfu kumi na tano tu (10,000 - 15,000) kutegemeana na ukubwa wa kuku mwenyewe kuku wanapatikama wengi kama 200, 


Pia mayai ya kuku wa kienyeji yapo , kwa trei moja ni shilingi elfu kumi tu (10, 000)kwa maulizio piga namba 0755-462970 ulizia Livin Matabaro

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa taarifa hii nzuri..na sasa najua wapi kuanzia..

Nayma said...

Asante kwa taarifa na no za simu nahitaji mayai ya kienyeji nizalishe kuku wa kienyeji wengi kwa haraka