KURASA

Friday, November 22, 2013

NDIO MAANA SIPATIKANI KWA MUDA














4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa taarifa na pia kws mandhari nzuri. Nimetamani maandazi hayooo Lol

Bennet said...

hapo panaitwa Pande Mpirani njiani kuelekea Mjesani watani zangu wadigo wakanilisha maandazi badala ya vyakula vya asili kama mihogo na ndizi

Unknown said...

hongerasana kaka kwa harakati zako niliwahi kukuuliza nawezaje kuzalisha goldfish hukunipa jibu

Unknown said...

habari kaka nilikuwa nataka nijue soko la mitiki. mitiki inauzikaje kwa bei?? na wakati gani naamisha ikifika miaka mingapi? na je naweza kukopa bank kwa kutumia shamba langu la mitiki?