KURASA

Tuesday, January 24, 2017

SALT WATER SHRIMPS












Hi kaka Bennet habari za siku na pirika za hapa na pale Ben naomba msaada wako katika kujipanga nimejaribu kufunguwa mradi wa shrimp farms tatizo linalonikabili hadi hivi sasa nimekosa vifaranga wa kamba ambao nimejaribu kufatiliya DAR muhusika ambaye anauza amesafiri JEE WAPI NAWEZA KUWAPATA SALT SHRIMP aina yoyote naomba unipatiye tel no ya wahusika kila pond lina ukubwa wa haktar 1 jee naweza kuhitaji vifaranga wangapi kila pond najaribu kaka ben wapi naweza kupata chakula cha kuwalisha ?jee naweza kuwalisha cha kuku ? pole kwa usumbufu

No comments: