KURASA

Saturday, January 9, 2010

ADHA YA MVUA JIJINI DAR ES SALAAM


Kuwasha taa ni muhimu maana madereva hawaoni vizuri mbele kwa sababu ya ukungu kwenye vioo vya mbele





Hapo hata dala dala hazitanui maana inaweza kudumbukia kwenye mtaro, njia haionekani




Ukiwa na mwamvuli hautaloana labda miguuni ndio kasheshe


Magari (hasa ya petroli) nayo hupata hitilafu na kuzimika, hii husababisha adha kwa wenye kuyamiliki na gharama za ziada kama kusukumwa na kuyatengeneza tena


Limebuma


Jamaa anashuka......


Jamaa hana la kufanya anatafakari.... nyuma foleni kama treni


Jamaa anafurahia mvua kwa sababu lazima atauza makoti na mabuti ya mvua hahahahhe!!!!! kufa kufaana


Vituo vya kuwekea mafuta navyo vimefurika maji, je yakiingia kwenye matanki ya mafuta si tutauziwa maji-balaa hili........



Hata zoezi la kuzoa taka hufanyika kwa tabu na jamaa hawana vifaa vya kujikinga angalau gum boot

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Duh! kazi ipo, lakini ni jambo la kumshukuru mungu kwani inaonekana ni mwaka wa mazao mengi. Ni kinyume na hapa au niseme sawa ila tofauti kidogo hapa ni baridi kali mno na pia theluji imeanguka si mchezo kama ingekuwa sawa basi ingekuwa mvua kama hii.