KURASA

Thursday, September 23, 2010

KILA KAZI NA HATARI ZAKE

Leo nilikuwa nimekwenda kutibu mbwa 9 katika kampuni ya usafirishaji ijulikanayo kama Ruvuvu transport huko kurasini, mbwa hao walikuwa wanasumbuliwa na ugonjwa wa minyoo ya kwenye ngozi ujulikanao kama MANGE, ugonjwa huu husambazwa na viroboto wa mbwa


HAPA MBWA ANAANDALIWA



KUCHOMA SINDANO MBWA

2 comments:

Anonymous said...

DU mbwa 9 wanini wote,utafikiri zizi la mbuzi

Bennet said...

Unaweza kusema ni wengi lakini eneo wanalolinda ni yard ya kulaza malori ni eneo kubwa kwa kweli na siku hizi walinzi hawaaminiki sana