KURASA

Tuesday, July 3, 2012

PAN 4M-19 MBEGU BORA YA MAHINDI





aka MKOMBOZI mbegu bora kutoka kampuni ya mbegu ya PANNAR, mbegu hii ya chotara inafaa sana kwenye maeneo mbali mbali ya ukanda wa chini na kati wenye mvua kidogo na inavumilia sana ukame. mbegu hii ndiyo mkombozi wauhakika na itakufanya uepukana na njaa haswa katika kipindi hiki ambacho hali ya hewa haitabiriki





  • Punje zake ni ngumu za zinakoboleka vizuri, haishambuliwi na wadudu kwa urahisi na inauwezo wa kutoa magunia 25 kwa ekari moja
  • Inafaa kwenye maeneo mengi yenye hali mbaya ya hewa hasa ukame
  • Inavumilia sana magonjwa ya majani kama maize strips
  • Ni matamu sana kwa kuchoma
  • Inakomaa mapema sana siku 90 - 100 tangu kupanda
  • Inauwezo wa kutoa mahindi mawili mawili


Kwa wanaokwenda saba saba watembelee nyuma ya banda la PTA kwenye bustani za jeshi la magereza
na kwa mawakala wa jumla wasiliana nao kwa mawasiliano haya
P.O.BOX 10677 Arusha Tanzania
Tel +255 (0)27 250 4669
Fax +255 (0) 27 254 4669
info@pannar.co.tz
www.pannar.com

No comments: