KURASA

Tuesday, July 3, 2012

SABA SABA - WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

  Hii ni sehemu ya kwanza mara baada ya kuingi akwenye banda hili ambapo utakutana na sanamu kadhaa za wanyama wa mbugani













 Hii ni sehemu ya nyuma kwenye wakala wa mbegu za miti, hii ni baadhi ya miche inayopatikana kwenye vitalu vyao



Huu mti unaitwa msabuni au mhalinta





Mzinga wa nyuki wa kufugwa, huu ni mzinga wa kisasa kabisa







Mdau akinunua mbegu za miti ya misoji (mitiki) kutoka kwa wakala wa mbegu za miti (TTSA) kwa ajili ya kuotesha mwenyewe


1 comment:

Anonymous said...

Mdau nimependa sana hii idea ya ufugaji wa nyuki. Ni wapi naweza pata muongozo zaidi? bahati mbaya sabasaba sikufika. Kama una contact zozote naomba tafadhali nitumie @ patrickfoya@gmail.com